Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Sitaki, nabaki na msimamo wangu, mnakwama wapiTutake radhi tafadhali.
Tutake radhi kabla hatujafanya maamuzi mazito
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaki, nabaki na msimamo wangu, mnakwama wapiTutake radhi tafadhali.
Tutake radhi kabla hatujafanya maamuzi mazito
Kwaajili ya kuhamasisha ngono tu, hii inaonesha kwamba kuna wanaume wengi sana wanamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume. Tatizo wengi wanakula piza badala ya dona wanakula chips badala ya kula mihogo,karanga, miwa, salad, mafenes,malimau,matunda ya asili ,mboga za majani, maharage, uyoga, na mengine mengi. Acheni kujidhalilisha wanaume. Una mke unampa kimoja tu umelala why?Ninacho jamani hiko kiungo
Haukuyala? Itakuwa hayakuwa karibu na shule uliyowahi kusoma. Ungeyala tuu.Japo nilikuwa nikiyaona kila siku nikiwa mdogo, Ila sina kumbukumbu ya kuwahi kuyala. Ninachokimbuka ni hiyo "Tabia yake" ambayo ilimbatanishwa kwenye jina lake.
Haha ! Mleta uzi kasema wale wanaume tu waliopo kwenye ndoa. Bahati mbaya zaidi sipo kwenye ndoa. Nikiwa kwenye ndoa ntakuja na mrejesho haha kama kweli yanaleta furaha haha !
Unahamasisha uzinzi sio?!Haukuyala? Itakuwa hayakuwa karibu na shule uliyowahi kusoma. Ungeyala tuu.
Jaribu tuu kabla haujaoa, si una girlfriend? Test tuone. Ndoa ni makaratasi tuu (udhibitisho).
Kwaajili ya kuhamasisha ngono tu, hii inaonesha kwamba kuna wanaume wengi sana wanamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume. Tatizo wengi wanakula piza badala ya dona wanakula chips badala ya kula mihogo,karanga, miwa, salad, mafenes,malimau,matunda ya asili ,mboga za majani, maharage, uyoga, na mengine mengi. Acheni kujidhalilisha wanaume. Una mke unampa kimoja tu umelala why?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yalikuwepo mtaani. Hata shule niliyosoma O-level eneo nililokuwa nafanya house chores kulikuwa na garden ambayo yalikuwa yamejaa hapo, Ila sikumbuki kuwahi kuyala.Haukuyala? Itakuwa hayakuwa karibu na shule uliyowahi kusoma. Ungeyala tuu.
Jaribu tuu kabla haujaoa, si una girlfriend? Test tuone. Ndoa ni makaratasi tuu (udhibitisho).
Sitaki, nabaki na msimamo wangu, mnakwama wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Tutafanya maamuzi magumu
Kwanini agome kuolewa? Na wakati ndiyo atakuganda vya kutosha.Yalikuwepo mtaani. Hata shule niliyosoma O-level eneo nililokuwa nafanya house chores kulikuwa na garden ambayo yalikuwa yamejaa hapo, Ila sikumbuki kuwahi kuyala.
Eti ndoa ni makaratasi tu. Nisije nikatest kwa girlfriend halafu akagoma kuolewa bure.
Mtoa uzi katoa angalizo. Mtu anaweza ghairi kwa kuhofia kuteseka ndani ya ndoa. Maana akitafakari ni kwa namna gani ataweza kabiliana na hizo shuruba asubuhi, mchana na usiku for the rest of her life.Kwanini agome kuolewa? Na wakati ndiyo atakuganda vya kutosha.
Au unamaanisha hauna mpango wa kumuoa wewe so atagoma kuolewa na mwanaume mwingine.?
Basi itabidi umsubiri umuoe kwanza.Mtoa uzi katoa angalizo. Mtu anaweza ghairi kwa kuhofia kuteseka ndani ya ndoa. Maana akitafakari ni kwa namna gani ataweza kabiliana na hizo shuruba asubuhi, mchana na usiku for the rest of her life.
Kwa kweli. Ngoja nifanye hivyo. Au uzoefu wako unasemaje ?Basi itabidi umsubiri umuoe kwanza.
Asije kukimbia.
Uzoefu wangu unaniambia jaribu tuu.Kwa kweli. Ngoja nifanye hivyo. Au uzoefu wako unasemaje ?


Wanawake tukitumia inakuwaje? Mimi nimeyala sana enzi hizo nikiwa mdogo mdogo. Tulikuwa tunayaita 'mafurahishaa". Hivyo vimiba vyake vikikuingia ni kero , unawashwa sana.
Sikuona madhara
Basi ngoja nifuate uzoefu wako. Nitakuja na mrejesho.Uzoefu wangu unaniambia jaribu tuu.
Kama anakupenda hakuachi.