ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,765
- 3,597
ha ha ha njoo home tumalizane....haya ya chumbani kipenzi
kumbe ndio maana
kumbe ndio maana
men need sex women need to be cared ...
unaangalia kipimo or kuridhika mkuu.kinachosababisha michepuko sio sex tu kuna mengi zaid
je wajua si kila ua linanukia ila warid tu?na si kila mti unamea jangwan bali mtende tu....cant say mo u know....
umenena mkuu thanks allot kila mwanaume na tabia yake ukimpa sana anakuona cheap kwanini afuge ng'ombe while maziwa unapata kila unapotaka????alipie na awweke ndani service apate full
shake well before use for better future...nisipompa akaniweka ndani nikakuta hana mgegedo ntamlaumu nani??nataka kujua anacho na kinanitosha ndo mana siimpi kila siku
ha ha ha viungo vyako kibaology vipo active sana kibabu na papuchi sio main factor kikubwa mke/mme mwema
No correction on that you replied..cares comprise money
ukitoa toa yote, wenzio hadi ya nyongeza wanatutaftiakwangu noo ntampimia papuchi yangu sio ya kuchezea hajanioa unaweza kumpa kila saa na bado akachepuka
it depend tabia ya ntu na ntu
aaaahhhh! tuachage kuwapa attention sana. hata umpe kama dozi mara tatu kwa siku kama hajiheshimu atachepuka tu.
Habari zenu wanajf.
Nilikuwa najiuliza kwa nini wanaume wanchepuka nikagundua wanawake tumejishau kidogo.
Katika kufanya kautafiti kidogo nimejikuta nimekuja na hili hapa.
Hitaji la mwanaume la kwanza ni KUFANYA NGONO, KUSEX, (KUFANYA MAPENZI)...
NA LAZIMA TUJUE WANAUME HAWATAKI SEX ILA WANAHITAJI SEX.
Kwa hiyo wanawake wenzangu tuache kujidanganya kuwa sijui umbo.
Chakula sijui out looo...
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....
stop cheating ourselves let just give him his need.
Have a lovely weekend.
Haya mbona matusi, hata kama tunapenda sex lakini kusema tupo tayari kusex ENEO LOLOTE NA MDA WOWOTE SIO KWELI.
unaangalia kipimo or kuridhika mkuu.kinachosababisha michepuko sio sex tu kuna mengi zaid
je wajua si kila ua linanukia ila warid tu?na si kila mti unamea jangwan bali mtende tu....cant say mo u know....
umenena mkuu thanks allot kila mwanaume na tabia yake ukimpa sana anakuona cheap kwanini afuge ng'ombe while maziwa unapata kila unapotaka????alipie na awweke ndani service apate full
shake well before use for better future...nisipompa akaniweka ndani nikakuta hana mgegedo ntamlaumu nani??nataka kujua anacho na kinanitosha ndo mana siimpi kila siku
ha ha ha viungo vyako kibaology vipo active sana kibabu na papuchi sio main factor kikubwa mke/mme mwema
Research nyingine za Kichina, sijui zinafanyikiaga wapi! Yaan hapo ina maana wanaume zipu zao ziko open full time? Sasa si mzaha huo jamani?
Mkuuu tatizo ukweli hamtaki mwanume kama ni lijali sex ndiyo inaweza kufanya ukalast longer na mwanamke over
men need sex women need to be cared ...