love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
Uuuuuwiii hata uwape popotee hawa ni sawa na mbbwaa ataenda tuu kwingne. Tena wanadai hawafurai maoishi ya chungu k1 kila saa,miaka nk.
Habari zenu wanajf.
Nilikuwa najiuliza kwa nini wanaume wanchepuka nikagundua wanawake tumejishau kidogo.
Katika kufanya kautafiti kidogo nimejikuta nimekuja na hili hapa.
Hitaji la mwanaume la kwanza ni KUFANYA NGONO, KUSEX, (KUFANYA MAPENZI)...
NA LAZIMA TUJUE WANAUME HAWATAKI SEX ILA WANAHITAJI SEX.
Kwa hiyo wanawake wenzangu tuache kujidanganya kuwa sijui umbo.
Chakula sijui out looo...
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....
stop cheating ourselves let just give him his need.
Have a lovely weekend.
Uuuuuwiii hata uwape popotee hawa ni sawa na mbbwaa ataenda tuu kwingne. Tena wanadai hawafurai maoishi ya chungu k1 kila saa,miaka nk.
hahaaaaa!that's true.... utakuta mdad yupo yupo tu ata kitandami hajui mambo na mbaya zaidi anakuwekea ratiba eti mpaka ijumaa, umesikia hii ni masjid
Cha msingi hapa ni kuishi katika kumcha mungu na mambo yenu yataenda vizuri tu.KWANGU HOJA YAKO SIIKUBARI KABISA.
Hujambo bibiye.
kwangu noo ntampimia papuchi yangu sio ya kuchezea hajanioa unaweza kumpa kila saa na bado akachepuka
it depend tabia ya ntu na ntu
men need sex women need to be cared ...
Hapo red ndio panapohitaji pesa, ndio pesa zenyewe.
Habari zenu wanajf.
Nilikuwa najiuliza kwa nini wanaume wanchepuka nikagundua wanawake tumejishau kidogo.
Katika kufanya kautafiti kidogo nimejikuta nimekuja na hili hapa.
Hitaji la mwanaume la kwanza ni KUFANYA NGONO, KUSEX, (KUFANYA MAPENZI)...
NA LAZIMA TUJUE WANAUME HAWATAKI SEX ILA WANAHITAJI SEX.
Kwa hiyo wanawake wenzangu tuache kujidanganya kuwa sijui umbo.
Chakula sijui out looo...
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....
stop cheating ourselves let just give him his need.
Have a lovely weekend.
miss chagga mbona humu sikuoni kuchangia wewe au huishi BONGO mwenzetu
https://www.jamiiforums.com/katiba-...ba-mpya-katika-ukumbi-wa-ubungo-plaza-53.html
Sitaki kujipa stress wanatafuta kula kama mimi waainizengue wananichukia