Wanaume kama naongea uongo njooni mpinge hapa.

Wanaume kama naongea uongo njooni mpinge hapa.

Habari zenu wanajf.
Nilikuwa najiuliza kwa nini wanaume wanchepuka nikagundua wanawake tumejishau kidogo.

Katika kufanya kautafiti kidogo nimejikuta nimekuja na hili hapa.
Hitaji la mwanaume la kwanza ni KUFANYA NGONO, KUSEX, (KUFANYA MAPENZI)...

NA LAZIMA TUJUE WANAUME HAWATAKI SEX ILA WANAHITAJI SEX.
Kwa hiyo wanawake wenzangu tuache kujidanganya kuwa sijui umbo.
Chakula sijui out looo...
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....

stop cheating ourselves let just give him his need.

Have a lovely weekend.

!
!
matokeo ya utafiti wako yako karibu sana na ukweli hasa nikireflect. Kuna demu nilikuwa sio kiviile lakini nilikuwa sisikii la mtu. Alikuwa ananipa kila muda nikitaka.
 
Ni kweli kabisa miss chagga,nimejaribu kumuelewesha mara nyingi sana umuhimu wa kushughulika lkn anasema hawezi,sijachepuka,ila nami nimejua siri za watu wengine kuchepuka kuwa ni hizo,JMN TOENI SOMO KWA WNWK WENZENU.ila sorry kwa kutoa cr.
 
Vipi wale ambao wanachepuka kwa kukosa chakula kizuri na usafi wa nyumba?
 
Ni kweli kabisa miss chagga,nimejaribu kumuelewesha mara nyingi sana umuhimu wa kushughulika lkn anasema hawezi,sijachepuka,ila nami nimejua siri za watu wengine kuchepuka kuwa ni hizo,JMN TOENI SOMO KWA WNWK WENZENU.ila sorry kwa kutoa cr.

Sawa mkuu men they need sex ndiyo maana mnatoa hela yeyote kupata sex
 
Ningekuwa Tyta au EMT au watu8 ningefukunyua threads za wanaume wanaolalamika kuwa wake zao wanataka 'too much sex' au hata wadada wanaolalamika kutopewa misosi yao ya usiku.

Michepuko inasababishwa na vitu vingi sana kiasi kwamba sio rahisi kupin point kimoja na kuassume ni kisababishi kwa wote.
 
Last edited by a moderator:
Halafu kwa kuwaita wanaume washuhudie, hivi unafikiri watasema kuwa baadhi yao hawameet sexual needs za wake zao? Hujui egos zao, wote watasema hawatosheki.

Again ukiwaita wamama, msemo wa lara 1 wengi hawataanika mapungufu ya sex life zao (matokeo yake utapata, story za kuchoshwa na sex). Mtu yakimfika atafungua new id ndio aje na uzi.

So I guess waweza usijue kwa uhakika.
 
Last edited by a moderator:
men need sex women need to be cared ...

invalid post specified!

Wanawake wa siku hizi wanakwambia they can take care of themselves! you just throw away money to them! just money!

Mwanaume hata uwe na sura nzuri vipi, without money, its just like pushing the wall...

Naamini nikigombania demu na wassira, kwanza kabisa S-wassira atapewa first priority kwa kigezo cha mkwanja!

Then mimi nitakula second hand...
 
Halafu kwa kuwaita wanaume washuhudie, hivi unafikiri watasema kuwa baadhi yao hawameet sexual needs za wake zao? Hujui egos zao, wote watasema hawatosheki.

Again ukiwaita wamama, msemo wa lara 1 wengi hawataanika mapungufu ya sex life zao (matokeo yake utapata, story za kuchoshwa na sex). Mtu yakimfika atafungua new id ndio aje na uzi.

So I guess waweza usijue kwa uhakika.

Umwsema kweli mamy
 
Last edited by a moderator:
mi ninakubali kwa kweli,kama mwanamke angelijua hilo hakika mumewe kutoka nje ingekuwa historia. mwanaume ingekuwa ni amri yake kila wakati afanye,unakuta mwanamke anambania mara nimechoka, mara sijisikii, mara kila siku unataka! sa unataka niende wapi? zipo dharura ambaro hata mwili wa mwanaume huziona nahapo hata iweje hajisikii kama hedhi,uzazi,kuumwa, kufiwa,na kusafiri. lakini siku za kwaida unaleta visingizio,ni wachache sana wanao waeleweni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom