Wanaume kama naongea uongo njooni mpinge hapa.

Wanaume kama naongea uongo njooni mpinge hapa.

You always surpass my expecations towards you! I NEVER IMAGINED YOU HAD IT IN YOU!
 
Changamsheni akili na miili yenu La sivyo tutawaliza kila kukicha!!

nikuulize Kibo10??
Km sex ni popote km miss chaga alivyosema..
aya sex mwanaume anapewa, na bd ana mchepuko nin sababu
 
Habari zenu wanajf.
Nilikuwa najiuliza kwa nini wanaume wanchepuka nikagundua wanawake tumejishau kidogo.

Katika kufanya kautafiti kidogo nimejikuta nimekuja na hili hapa.
Hitaji la mwanaume la kwanza ni KUFANYA NGONO, KUSEX, (KUFANYA MAPENZI)...

NA LAZIMA TUJUE WANAUME HAWATAKI SEX ILA WANAHITAJI SEX.
Kwa hiyo wanawake wenzangu tuache kujidanganya kuwa sijui umbo.
Chakula sijui out looo...
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....

stop cheating ourselves let just give him his need.

Have a lovely weekend.

sasa mwanamke mwenzng nikuulze??
km mwanamme hitaji lake ni sex na unampa kila ahitajipo na bd nje anagegeda !! tatzo nin apo
 
Ningekuwa Tyta au EMT au watu8 ningefukunyua threads za wanaume wanaolalamika kuwa wake zao wanataka 'too much sex' au hata wadada wanaolalamika kutopewa misosi yao ya usiku.

Michepuko inasababishwa na vitu vingi sana kiasi kwamba sio rahisi kupin point kimoja na kuassume ni kisababishi kwa wote.

Mimi leo nimesema ukwel mwanaume hata uwe msafi vipi hapati papuchi umwoni kwako... ukiona ni mchafu alafu kakimbia ujue supply ya papuchi ipo chini
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha mbali. Kila nikimkumbuka yule demu napata allergy ya K. khaaa!!! Unaweza fia kinenani mchana kweuupeee.

Hahahah, kuna wadada ni vichwa aisee. Hukawii kutoa povu badala ya manii.
 
invalid post specified!

Wanawake wa siku hizi wanakwambia they can take care of themselves! you just throw away money to them! just money!

Mwanaume hata uwe na sura nzuri vipi, without money, its just like pushing the wall...

Naamini nikigombania demu na wassira, kwanza kabisa S-wassira atapewa first priority kwa kigezo cha mkwanja!

Then mimi nitakula second hand...

Care facilitated with money
 
Here's my take.

It's human nature to like variety.

Sex with the same person day in day out becomes jaded at some point.

That's where the want to have something different comes into play.

Who wants to smash the same vajayjay or pizzle forever?

You'd be hard pressed to find a person who is down with monotonousness.

As the saying goes...variety is the spice of life (= new and exciting experiences make life more interesting).
 
Maneno yako hayako mbali na ukweli coz nakumbuka nilikuwa naishi nyumba moja na dem flan,duh yan nilijikuta nampenda gafla kwasabau nilikuwa hata nikimpush kwakutumia kidole changu ili niende nikamgegede alikuwa hakatai labda awe ktk hedhi duh!umenikumbusha we bidada,Ila nanyie hamuangalii kingine zaid ya monney

Mwanaume lake papuchi
 
Mapenzi hayana theories,law, wala utafiti tatizo ni moja tu binadamu hawafanani kitabia. Utakuja na utafiti wanawake wanapenda hela kumbe wengine wanapenda care tu wakati wengine wanapenda dushe only. Kunawanaume sex sio big deal sana tembea nchi nyingi utaprove. Kwaushauri sio kila unapopanua miguu ndo unakuwa umempa mwanaume hitaji lake. UTAFITI WAKO INVALID.

Demand ya papuchi na supply yake iwe the same ikienda tofauti tu.inakiwa kinyume na sheria ya mapenzi.... mkuu kama ni mwanaume lijali utanielewa ila kama unapiga kamoja uwezi nielewa
 
sasa mwanamke mwenzng nikuulze??
km mwanamme hitaji lake ni sex na unampa kila ahitajipo na bd nje anagegeda !! tatzo nin apo

Ukiona unampa kila akihitaji na bado anatoka nje basi.huyo mwanaume haridhiki na mnafanya sex kuliko kumake love.... make sure u make love
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom