Wanaume kama naongea uongo njooni mpinge hapa.

Wanaume kama naongea uongo njooni mpinge hapa.

Maneno yako hayako mbali na ukweli coz nakumbuka nilikuwa naishi nyumba moja na dem flan,duh yan nilijikuta nampenda gafla kwasabau nilikuwa hata nikimpush kwakutumia kidole changu ili niende nikamgegede alikuwa hakatai labda awe ktk hedhi duh!umenikumbusha we bidada,Ila nanyie hamuangalii kingine zaid ya monney
Habari zenu wanajf.
Nilikuwa najiuliza kwa nini wanaume wanchepuka nikagundua wanawake tumejishau kidogo.

Katika kufanya kautafiti kidogo nimejikuta nimekuja na hili hapa.
Hitaji la mwanaume la kwanza ni KUFANYA NGONO, KUSEX, (KUFANYA MAPENZI)...

NA LAZIMA TUJUE WANAUME HAWATAKI SEX ILA WANAHITAJI SEX.
Kwa hiyo wanawake wenzangu tuache kujidanganya kuwa sijui umbo.
Chakula sijui out looo...
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....

stop cheating ourselves let just give him his need.

Have a lovely weekend.
 
Mapenzi hayana theories,law, wala utafiti tatizo ni moja tu binadamu hawafanani kitabia. Utakuja na utafiti wanawake wanapenda hela kumbe wengine wanapenda care tu wakati wengine wanapenda dushe only. Kunawanaume sex sio big deal sana tembea nchi nyingi utaprove. Kwaushauri sio kila unapopanua miguu ndo unakuwa umempa mwanaume hitaji lake. UTAFITI WAKO INVALID.
 
kwangu noo ntampimia papuchi yangu sio ya kuchezea hajanioa unaweza kumpa kila saa na bado akachepuka

it depend tabia ya ntu na ntu

oyaa hebu twende PM tupange mkakati wa weekend. Haya mapapuchi hata mbuzi wanayo, tena wanayaanika juu juu.
 
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....



Hapo naunga mkono hoja tunda lazima limegwe mahali popote maadamu pana usalama tehetehe!


Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
 
Mapenzi hayana theories,law, wala utafiti tatizo ni moja tu binadamu hawafanani kitabia. Utakuja na utafiti wanawake wanapenda hela kumbe wengine wanapenda care tu wakati wengine wanapenda dushe only. Kunawanaume sex sio big deal sana tembea nchi nyingi utaprove. Kwaushauri sio kila unapopanua miguu ndo unakuwa umempa mwanaume hitaji lake. UTAFITI WAKO INVALID.


mnnnh hata hoja zako unaonekana kweli wewe chuma cha mjerumani! siyo cha Mchina hiki.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13;4
 
Ningekuwa Tyta au EMT au watu8 ningefukunyua threads za wanaume wanaolalamika kuwa wake zao wanataka 'too much sex' au hata wadada wanaolalamika kutopewa misosi yao ya usiku.

Michepuko inasababishwa na vitu vingi sana kiasi kwamba sio rahisi kupin point kimoja na kuassume ni kisababishi kwa wote.

Umenikumbusha mbali. Kila nikimkumbuka yule demu napata allergy ya K. khaaa!!! Unaweza fia kinenani mchana kweuupeee.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wanajf.
Nilikuwa najiuliza kwa nini wanaume wanchepuka nikagundua wanawake tumejishau kidogo.

Katika kufanya kautafiti kidogo nimejikuta nimekuja na hili hapa.
Hitaji la mwanaume la kwanza ni KUFANYA NGONO, KUSEX, (KUFANYA MAPENZI)...

NA LAZIMA TUJUE WANAUME HAWATAKI SEX ILA WANAHITAJI SEX.
Kwa hiyo wanawake wenzangu tuache kujidanganya kuwa sijui umbo.
Chakula sijui out looo...
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....

stop cheating ourselves let just give him his need.

Have a lovely weekend.

Well said
 
Mwanume yupo tayari kusex eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....



Hapo naunga mkono hoja tunda lazima limegwe mahali popote maadamu pana usalama tehetehe!


Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4

ndo maana nayashangaa mabeberu manina zao. Mbuzi wanawawekea K juujuu, hata hawazifuniki kwa mkia.... Yenyewe yanaziangalia tu. Hayaoni wenzao majogoo wanavyozitesekea???
 
ndo maana nayashangaa mabeberu manina zao. Mbuzi wanawawekea K juujuu, hata hawazifuniki kwa mkia.... Yenyewe yanaziangalia tu. Hayaoni wenzao majogoo wanavyozitesekea???

mambo gani tena haya Asprin wewe naona dozi yako haisaidii matatizo ya watu siku hizi bora tuanze brufen au diclofenac.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom