FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Juzi nilikuwa katika semina fupi ya mambo ya ndoa ,kila mwanamke aliyekuwa akisimama ana-complain mahusiano mabaya ya mmewe na H/G
Mwisho wa mada yetu wakinamama waliokuwepo wakasema wanaamini 95% ya kina baba wanamahusiano na ma H/G
@ Mama wa kwanza alisimama na kulalamika mie nilishangaa mme wangu alipokinga kifua na kulazimisha msichana wao aongezwe mshahara huku akidai anataka aanze kumsomesha haraka iwezekanavyo na n kitanda kilichopo chumbani kibadilishwe wakati mwanzo mzee alikuwa anamuomba mama amuondoe alipofanya uchunguzi zaidi ndipo bomu lilipolipuka mme ( Mama anakula sahani moja na H/G
@ Mama wa pili alifuma msg za mmewe kwenye simu ya H/G maana binti alikuwa hajui ku-delete akamrudisha kwao baada ya muda akapokea taarifa binti yuko mjini tena kufanya uchunguzi kumbe mme kampangishia H/G mtaa wa pili baada ya kufukuzwa kwake
@ Mama wa tatu yeye aliona binti ana mimba alipomuhoji kwanza akamdanganya ni ya kijana House/Boy wa jirani na kwao ..Mama alipomfata H/B kijana akatoboa siri kuwa ni ya mmewe na kumpa evidence ya mmewe ,Binti kuulizwa akakubali huku analia na kuomba samahani
@Mama wa nne yeye akadai watoto wakitoka kwao wanafundishwa mbinu na wazazi wao kama wakifika wahakikishe wanakuwa na uhusiano na baba mwenye nyumba ili mambo yawe mtelemko katika familia yako na wengine wanasisitizwa wajitahidi kupalilia ili wao wakamate usukani.
Wazazi tunaelekea wapi hata kutoa ushauri huu kwa watoto wetu?
Mie Binafsi nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya kina baba mnaamua kuwa na uhusiano na M/G wakati mnajua kabisa kitendo hiki kinamdhalilisha sana Firstlady wako hata kumfanya H/G aanzishe dharau na choko choko ndani ya nyumba???
I salute!
Mwisho wa mada yetu wakinamama waliokuwepo wakasema wanaamini 95% ya kina baba wanamahusiano na ma H/G
@ Mama wa kwanza alisimama na kulalamika mie nilishangaa mme wangu alipokinga kifua na kulazimisha msichana wao aongezwe mshahara huku akidai anataka aanze kumsomesha haraka iwezekanavyo na n kitanda kilichopo chumbani kibadilishwe wakati mwanzo mzee alikuwa anamuomba mama amuondoe alipofanya uchunguzi zaidi ndipo bomu lilipolipuka mme ( Mama anakula sahani moja na H/G
@ Mama wa pili alifuma msg za mmewe kwenye simu ya H/G maana binti alikuwa hajui ku-delete akamrudisha kwao baada ya muda akapokea taarifa binti yuko mjini tena kufanya uchunguzi kumbe mme kampangishia H/G mtaa wa pili baada ya kufukuzwa kwake
@ Mama wa tatu yeye aliona binti ana mimba alipomuhoji kwanza akamdanganya ni ya kijana House/Boy wa jirani na kwao ..Mama alipomfata H/B kijana akatoboa siri kuwa ni ya mmewe na kumpa evidence ya mmewe ,Binti kuulizwa akakubali huku analia na kuomba samahani
@Mama wa nne yeye akadai watoto wakitoka kwao wanafundishwa mbinu na wazazi wao kama wakifika wahakikishe wanakuwa na uhusiano na baba mwenye nyumba ili mambo yawe mtelemko katika familia yako na wengine wanasisitizwa wajitahidi kupalilia ili wao wakamate usukani.
Wazazi tunaelekea wapi hata kutoa ushauri huu kwa watoto wetu?
Mie Binafsi nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya kina baba mnaamua kuwa na uhusiano na M/G wakati mnajua kabisa kitendo hiki kinamdhalilisha sana Firstlady wako hata kumfanya H/G aanzishe dharau na choko choko ndani ya nyumba???
I salute!