- Thread starter
- #221
Now nimepunguza mawasiliano labda anitafute yeye, pia akihitaji tuonane naweka sababu za uongo na kwel mradi tu ,tusionane.ni mwezi sasaTatizo ameyumba, yuko deep kuliko Scania iliopotelea Wami! Ila atajiongeza tu with time...lazma kiwake!