Wanaume acheni kupiga wake zenu

Wanaume acheni kupiga wake zenu

Hili jambo huwa hawalielewi. Wanapenda kuleta "lifestyle" walizotoka nazo kwa wazazi ndani ya ndoa!

Sent using Boeing 737-MAX 8
Makofi ni size yao...hutaki rudi kwenu.
Siwezi kuishi na mwanamke anaenipanda kichwani, kuna siku ataniweka kama dhamana achukue mkopo SACCOS.
 
hakuna mwanamke sub,missive anapigwa, washauri waache ujinga wao kuliko kushangaa mwanaume kumpa kipigo; RAFIKI YUPI, sio hao wanawake wenzako

rafiki yupi?
we unakurupuka tu maskini nakuhurumia na poor mindset yako!
ushazioea kuwekewa na kuweka limbwata ndio maana akili kichwani huna
 
Inategemea umemuulizaje ulipomfuma
Ungemwuliza mpenzi huyu nani tena anataka kututenganisha wakati Dini imesema NI kifo tuvkisitutenganishe

Ungeona anacheka anakujibu vizuri
Tatizo unaleta uafande na udikteta kwenye penzi unategemea nini?
Mwanamke hapigwi wala hafokewi
Ujue kuwa mwanamke akianza kukucheat anakuwa ameshakudharau hata ukimuuliza kitu anaweza akakujibu hovyo. Msidhani kuwa wanaume tunarukia na kupiga tu bila kuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dada alipigwa na mumewe akaenda kushitaki kwao. Wazee wake mwanamke walimsikilza wakampa pole tu na wakamwambia apumzike na baba mtu akasema ataenda mjini kumtafutia dawa mtoto wake huyo wa kike asipigwe tena na mumewe. Aliporudi akarudi na kajimkasi kadoogo cha kukatia mauwa kale akampa mtoto wake na kumwambia kesho rudi nyumbani kwa mume wako uuweke huu juu ya dressing munapoweka vipodozi vyenu. Mume wake yule mwanamke alipouliza hichi nini akamwbia kama kapewa na baba yake. Ikawa ndio mwisho wa kupigwa na mume wake.

N:B. Mwanamme akikupiga, msubiri alale usiku mtowe mapumbu!
hilo pumbu ukilishika afu ukakosea kulishika vema....basi ujue ushakufa....maana hasira zake huyo mwanaume zitakuwa bora za mbogo....trust me eneo unalidhamiria kushika maumivu yake ni sawa na kuingiza mkono mdomoni utake kutoa moyo wa jamaa...
 
Wengi wanaowakun'guta wake zao hawapendi. Hukute, wameonya imeshindikana. Wamejaribu kuwa wapole dhidi yao wanapandwa kichwani. Sasa mwanaume gani atakubali apandwe kichwani?...nyakati nyingine mwanamke hupigwa ili mwanaume ajilindie heshima yake. Utakuta mwanamke anapigwa daily lakini harudi kwao kwa kuwa anafahamu yeye ndo mwenye kosa, ila hapendi kujirekebisha. Ofcoarse, kumpiga mwanamke si jambo jema, ni bora muachane pasipo ugomvi. Tatizo linalowakumba wanawake wengi ni kutowatambua vyema waume zao. Kuwajibu kwa maudhi, na kejeli pia ni tatizo. Ila mwanaume ukimpiga mkeo kisa kakuambia uache ulevi kisa hufanyi maendeleo yoyote kwao wewe utakuwa mjinga tu.
 
Wanaume wengi wetu sio waongeaji, hasa kubishana na mwanamke wako. Sasa kuna wanawake wanaongea kama cherehani, hata ujishushe vipi bado atataka tu akudhalilishe. Sasa kitendo cha kumkumbusha kwa makofi huwa kinatokea ghafla tu, (reflex). Unajikita ushamfunika uso na viganja
 
Hayo ni majukumu yetu. Ila ukiwa na mdomo provocative lazma uguswe kidogo urudi kwenye mstari.

Utakubaliana nami kuwa unapokutana na kofi lisilojulikana hata wewe mwenyewe lazima utakaa ujiulize imekuaje kuaje na mwishowe hekima inatumika badala ya hisia.

Sent using Boeing 737-MAX 8
SIJAWAHI KUPIGWA KAKA
 
Back
Top Bottom