interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,410
Umenena ukweli na ni mchungu sana huu kwa hawa Wanawake wa kizazi hiki[emoji4]Wako wanaume wengi udhani wameoa mke kumbe wameoa shetani. Mwanamke anakuwa na mdomo na ujuaji hataki kukaa sehemu yake kama mke na anataka kumtawala Mme. Nashauri vijana wanaooa siku hizi bora mkae mpenzi wako angalau miaka 5 ndo mfunge ndoa vinginevyo wanawake wa siku hizi ukikutana na haya mashetani utajuta au utafungwa au utaua. Unakuta mmeishazaa na watoto ukiwaangalia bado wanahitaji malezi yenu wakati limwanamke aliambiliki ndo maana wanaume unaamua ulitwange kisago cha maana akili ikae sawa. Maana ukisema ulifukuze yanakuja masheria ya kugawana mali wakati Mali hiyo jasho na nguvu za kuipata ni mwanaume. Mzee! Nakwambia ni shiidaaaaah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app