This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Hili jamaa linacheza na upepo,linajua kwa vyovyote kura zitaibwa na CCM kubaki madarakani,na huenda kukawa na rais kufumua baadhi ya idara na taasisi za serikali na teuzi mpya kuwepo,so linawinda kauteuzi.Sasa Paskali unaenda mbele na kurudi nyuma? Kwamba wewe ndio ulimshauri agombee urais halafu unakuja tena kuleta hoja za kuenguliwa kwake. Hujioni kama ni mnafiki fulani hivi mahiri ambaye unataka kuwa Mr. Nice upendwe na kila mtu?
Declaration yako kuwa "kwa sasa ni kada wa ccm", inalenga nini?