Hivi umesoma vizuri ulichokiandika!Mimi nimeishi mita chache kutoka msikiti huu, kwa zaidi ya miaka 25 tangu unajengwa huu msikiti ni mkubwa wa kifahari ila umejengwa sababu ya watalii na imetengwa sehemu kwa ajili ya kusali hapo mtu yoyote hata mtalii haingii na viatu au bila viatu ila sehemu kubwa ni la utalii jaribuni kusoma na kuelewa sio kuja kupiga kelele na magovi yenu
Mchokozi huyo ...Wewe jamaa unapenda sana mada za kukashifu waislamu. Acha udini sio mzuri
Achana na dini,deal na Yesu aliye Njia,Kweli na UzimaKweli kabisa kama ilivyo upande wa pili wanasema ikiwa hulipi kodi ya jumuiya ndogondogo, kodi ya kanisa au ukiwa huhudhurii huko basi ukifa hawakuziki.
Lakini sasa ukiwa tajiri hata kama hufanyi lolote kati ya hayo, ukifa wanajipendekeza kukufanyia ibada kadri familia itakavyotaka 😄😄
Hizi dini tulipigwa nawaambia
Nifundishe kuhusu Yesu mkuu maana bado sijaelewa japo katika sala nyingi neno Yesu lipoAchana na dini,deal na Yesu aliye Njia,Kweli na Uzima
Mwanazuoni vipi tena huna details? Umekuja na mada kwakukurupuka?Trump akitembelea msikiti mkubwa wa Sheikh Zaidi huko Abu Dhabi.
Wanauliza mbona huyu kafiri hajavua viatu? Nani alikuambia tajiri anavua viatu? Maskini ndio anaitwa kafiri na sio rahisi kumwingiza msikitini na viatu. Kumbuka hata Papa anazama (ga) msikiti na shoes zake bila wasiwasi.
View attachment 3334936
Mfuasi wa makanisa ya kiroho,huwa wanawashwa sana, kuna sehemu anawashwa anataka kunwa na jambiaWewe jamaa unapenda sana mada za kukashifu waislamu. Acha udini sio mzuri
Wee jamaaa wwKuna jamaa yangu aliniambia viatu havikatazwi lkn viwe simple vinavyoweza kukunjika.
Ila kwa mafundisho ya huku ukifanya hivyo unaweza kujikuta umezungukwa na bikra 72 bila kutarajia.
Mkuu magovi yameingiaje tena ..Mimi nimeishi mita chache kutoka msikiti huu, kwa zaidi ya miaka 25 tangu unajengwa huu msikiti ni mkubwa wa kifahari ila umejengwa sababu ya watalii na imetengwa sehemu kwa ajili ya kusali hapo mtu yoyote hata mtalii haingii na viatu au bila viatu ila sehemu kubwa ni la utalii jaribuni kusoma na kuelewa sio kuja kupiga kelele na magovi yenu
Kanji una nini we jamaaHapo angevua mashekh wenzangu wa ikwiriri wangetumiana kwenye magroup ya wasap
Trump ni mwenzetu shekh😅
Yaan unatoa comment fupi ila ina maana na mantiki sana hi si mara ya kwanza nakufatilia we jamaaHata wenyeji wake pia hawajavua viatu maana yake yupo eneo linaloruhusiwa kuvaa viatu
Mkorofi wwViatu vikiwa vipyaaa havijatumika unaingia navyo tu
Nakusaka we jamaaViatu visafi havivuliwi:
Mtume alikuwa anaswali na viatu msikitini siku zote:
Hakuwahi kuvivua
DaaaahMfuasi wa makanisa ya kiroho,huwa wanawashwa sana, kuna sehemu anawashwa anataka kunwa na jambia
Zuria liheshimiwe😂😂😂Trump akitembelea msikiti mkubwa wa Sheikh Zaidi huko Abu Dhabi.
Wanauliza mbona huyu kafiri hajavua viatu? Nani alikuambia tajiri anavua viatu? Maskini ndio anaitwa kafiri na sio rahisi kumwingiza msikitini na viatu. Kumbuka hata Papa anazama (ga) msikiti na shoes zake bila wasiwasi.
View attachment 3334936