Wanaovua viatu misikitini ni masikini

Wanaovua viatu misikitini ni masikini

The security details ndio nimependa...miamba opp kuleee mbali inaangalia kulia na kushoto....kushoto....JICHANGANYE
 
Unyenyekevu upo moyoni dogo. Hayo mengine ni mila na tamaduni tu za dini za wenye nazo
Mimi sio dogo Niko sawa umri na babako, unyenyekevu uko moyoni lakini Mungu alimsihi Musa avue viatu...use your sense
 
ALIVUA
 

Attachments

  • TRUMP IN UAE.png
    TRUMP IN UAE.png
    887.4 KB · Views: 12
Marafiki wa kudumu haooo
Hao wananukia pesa tu
Hapo tramp kaenda kuongea mipango tu,
Tramp hawez kuja nchi zenu za omba omba

Oba
Haswa
Hapo Trump mwenyewe kaenda kwa maslahi ya kuuza silaha akijua order mbili tu ni hela za kufa mtu

Sasa aje nchi masikini kutafuta nini
Nchi ambayo ukiuliza jeshi lina ndege ngapi unaambiwa "Utafungwa wewe kuhoji"
Eti ni mambo ya Usalama zaidi 😆 😂 😆

Wengine wanajisifia kabisa kuwa wamenunua drones 300 na ndege za kivita zaidi ya 10
 
Mimi sio dogo Niko sawa umri na babako, unyenyekevu uko moyoni lakini Mungu alimsihi Musa avue viatu...use your sense
Dogo huelewi kitu. Alipomwambia Mussa avue viatu je kila alipokuwa anatembea sasa akawa anatembea pekupeku? Unafiq umekujaa dogo hujui kitu. Ile sehemu ndo alipoambiwa avue viatu sababu ya uwepo ule maalum.
 
Trump akitembelea msikiti mkubwa wa Sheikh Zaidi huko Abu Dhabi.

Wanauliza mbona huyu kafiri hajavua viatu? Nani alikuambia tajiri anavua viatu? Maskini ndio anaitwa kafiri na sio rahisi kumwingiza msikitini na viatu. Kumbuka hata Papa anazama (ga) msikiti na shoes zake bila wasiwasi.


View attachment 3334936
Wanauliza au unajiuliza wewe usie jua mambo?
 
Dogo huelewi kitu. Alipomwambia Mussa avue viatu je kila alipokuwa anatembea sasa akawa anatembea pekupeku? Unafiq umekujaa dogo hujui kitu. Ile sehemu ndo alipoambiwa avue viatu sababu ya uwepo ule maalum.
Sababu sio uwepo maalum sababu ni eneo takatifu...
 
Nakubaliana na wewe.
Unakuta mtu anatawaza kisha anavua viatu anazama msikitini kuswali baada ya hapo kesho yake unamkuta kwa mchepuko.
Kama anaswali mwache asali, itafika siku ataacha hayo maovu...kuna watu hufikiwa na uponywaji wa Mungu polepole!
 
Il
Musio tahiriwa muko busy kuukashf Uislam, lakini hamtaweza.
Nawashaurini mukatoe magovi hayo, ndio murudi hapa tujadili.
Kuna mkristo asie tahiriwa?? Ushawahi sikia wa Israel hawatahiriwi?? Unajua adhabu kwa mtu asie tahiriwa

Wa Israel wote ni tamaduni yao kutahiriwa na ndio maana mpk Leo na sisi tunatahiriwa
Tena mtoto anatahiriwa na siku 7 tu anapelekwa kwenye Hekalu

Sasa magovi ni watu gani wanayo mkuu??
 
Hata wenyeji wake hawakuvua maana walikwenda kukagua na siyo kuswali....
Ila kwa mbaali nyuma namuona kada wa chama chetu...!
 
Kama utatafsiri Kila neno kwa wakati wote utaingizwa Chaka maana hata huyo Mussa ni mara moja tu Aliambiwa hivyo na wakati yeye ndio alikuwa akiwasiliana na Mungu mara zote basi angekuwa anavua kila mara

Hata na hivyo Yesu alipokufa msalabani kila kitu kiliisha,, pazia la hekalu lilipasuka ikimaanisha ukombozi ulipatikana hatupo tena chini ya sheria.. Hatusubiri mtu mmoja atuwakilishe kuongea na Mungu kama ilivyokuwa kipindi cha manabii

Hatutoi sadaka ya mnyama wala ya kuteketezwa…
Aaaah tusiende mbali mkuu tusije bishana mwisho tukaishia kutusiana

Na ukiona mtu ameshindwa kutetea imani yake badala yake anatumia matusi muone kama mshenzi
 
Trump atavuaje viatu wakati ni bosi na mshitiri wa wenye misikiti yote duniani? Waarabu wanaujua na kuutimiza Uislam wakiongozwa na Trump. Angekuwa kengeee toka kwetu, angevua hata suti na kuvishwa kanzu. Bravo chizi wangu Trump.
ALIVUA
DONALD TRUMP.png
 
Mbona naona kavaa soksi sio viatu,

Au ni macho yangu
 
Back
Top Bottom