financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,144
- 40,723
- Thread starter
- #141
Mmh why tusiende viunga vya NBAA mkuu, gheto huko nisijerudi na mapacha mimi😂acha mawazo yako mabaya, gheto ni salama kabisa.. ukichoka kubukua unalala kidogo
Mmh why tusiende viunga vya NBAA mkuu, gheto huko nisijerudi na mapacha mimi😂acha mawazo yako mabaya, gheto ni salama kabisa.. ukichoka kubukua unalala kidogo
sawa hakuna shidahFor sure, i know you ila let's keep this anonymous
😁😁😁😁 acha woga, kuna mazuri mengi ukisomea gheto.. NBAA tunakuwa tunaenda kwenye discussion tuMmh why tusiende viunga vya NBAA mkuu, gheto huko nisijerudi na mapacha mimi😂
Ha ha ha,, ila Sipiei ni nzuri sana,, mimi baada ya kumaliza primary, nilienda kusoma hiyo sipiei,, saa hizi maisha yangu kwa kweli nimefanikiwa sana,, nimeweza kumiliki ng'ombe 10,mbuzi 5,Kwahiyo sisi wa lasaba "B" hatutakiwi hapa kwenye sipiei...
Jamani😂😂 alisikika motivation speaker mmojaHa ha ha,, ila Sipiei ni nzuri sana,, mimi baada ya kumaliza primary, nilienda kusoma hiyo sipiei,, saa hizi maisha yangu kwa kweli nimefanikiwa sana,, nimeweza kumiliki ng'ombe 10,mbuzi 5,
Na hekali tatu za kulima mpunga
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sawa ntakuona mkuu😁😁😁😁 acha woga, kuna mazuri mengi ukisomea gheto.. NBAA tunakuwa tunaenda kwenye discussion tu
Karibu sana mkuu tubukue ukitaka na CFA fresh.. nakupanga vizuri 😂😂😂Sawa ntakuona mkuu
Sawa tutor na CPB tutaunganishaKaribu sana mkuu tubukue ukitaka na CFA fresh.. nakupanga vizuri 😂😂😂
Yote hayoo.. inabidi ukipiga hizo nikuchomeke mahala.. niongee na mama.. tuweke fitna uwe CFO.. 😁😁Sawa tutor na CPB tutaunganisha
Mtihani mmoja kiasi gani kufanya kule bodiWakuu mnaotarajia kuanza Kusoma, leo wameanza Review Classes, fanya maamuzi sasa
Ukiwa na degree ya IT, ukisoma CPA unaweza kuajiriwa kama mhasibu?For sure, i know you 😂😂 ila let's keep this anonymous 😂
Kuna watu bado wanawaza kupoteza hela na mda.Ningejua kuwa Maisha ni hivi, either nilivyomaliza lasaba ningeingia kitaa au walau ile form 4 tu yaani.
Huku kwingine I wasted my time kwa kweli.
Ukiwa na degree ya IT, ukisoma CPA unaweza kuajiriwa kama mhasibu?
Ni kweli ila pia siyo tu kuwa na cheti bali pia tunaongeza ujuzi kwenye sector ya uhasibu, mfano mimi chuo nimesomea Banking ila kazi nafanya kama mhasibu, kidogo vitu vingi vya kiuhasibu sikuvisoma ile deep, so kuamua Kusoma CPA najiongezea wigo zaidi and ofcourse naona kabisa vitu nnavovifanya ofisini ndiyo tunavofundishwa darasani so ni muhimu.Kuna watu bado wanawaza kupoteza hela na mda.
Mtaanii kuna CPA nying sana hskafu wengine wameajiriwa wanalipwa laki 7 sawa na wasio na CPA.
Jifunzeni uwekezaji mapema watu wengi siku hizi wanacheti kwa hio wala si tishio kwa waajili.
Yes inawezekana kabisa tena ni wanakua deep sana maana Accounting packages zote ni IT issues sasa uwe na CPA tena dah utakua vizuri sana.Ukiwa na degree ya IT, ukisoma CPA unaweza kuajiriwa kama mhasibu?
Kaxi ni connection na competence.Ni kweli ila pia siyo tu kuwa na cheti bali pia tunaongeza ujuzi kwenye sector ya uhasibu, mfano mimi chuo nimesomea Banking ila kazi nafanya kama mhasibu, kidogo vitu vingi vya kiuhasibu sikuvisoma ile deep, so kuamua Kusoma CPA najiongezea wigo zaidi and ofcourse naona kabisa vitu nnavovifanya ofisini ndiyo tunavofundishwa darasani so ni muhimu.
Pia kama unasema wengi wapo it means huko mbeleni wasio na CPA hawatokua na nafasi sana ya kupata kazi so bora kuwa CPA T ili kwenye hizo nafasi chache uwepo.pia Unaweza kujiajiri kwa kuanzisha Auditing firms, kuwa Tax consultant etc, Nadhani kusoma bado ni muhimu. Tupambane.
Nimetoboa dear, namshukuru Mungu,naingia hatua nyingine sasaDogo hongera nadhani umetoboa..Mimi kuna ishu namalizia nkimaliza ntaanza hukoo!!Mungu akupiganie
Kuna watu bado wanawaza kupoteza hela na mda.
Mtaanii kuna CPA nying sana hskafu wengine wameajiriwa wanalipwa laki 7 sawa na wasio na CPA.
Jifunzeni uwekezaji mapema watu wengi siku hizi wanacheti kwa hio wala si tishio kwa waajili.
Tuwaache wasome tu mkuu hurnda wakajakuwa CAG.Watu wanapenda sana vyeti.
Ajira za maana kwa uhasibu wanapewa wale waliopitia big 4 auditing firms sababu wana uzoefu na kazi sana.
Na big 4 auditing firm zinaajiri wasio na cpa wanapomaliza vyuo tu kwa kigezo cha gpa kubwa za best students. Cpa wanawasomesha wao na sababu ni vichwa darasani na wanapewa mbinu na tution kazin kwao huwa wanazipata fasta hizo cpa.
Kwa mtu ambaye hajawai kuajiriwa big 4 cpa zama hizi haina msaada kwake kwenye kupata ajira yenye kipato kizuri