financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,144
- 40,723
- Thread starter
- #121
Ni wewe tu mkuu ili mradi pepa yao utoboeKwani lazima uwe na center ya kusomea au review?
Ukiamua fanya Solo?
Ni wewe tu mkuu ili mradi pepa yao utoboeKwani lazima uwe na center ya kusomea au review?
Ukiamua fanya Solo?
Intermediate level mkuu wewe upo ipi?We upo level ipi?
OK hivi registration zinaanza lini hadi lini mwisho? Na mtihani lini?Ni wewe tu mkuu ili mradi pepa yao utoboe
Dogo hongera nadhani umetoboa..Mimi kuna ishu namalizia nkimaliza ntaanza hukoo!!Mungu akupiganieIntermediate level mkuu wewe upo ipi?
Nilifiri unataka pindi, ningekuchapa pindi free kabisa uhakika wa kutoboa 100 ya 100.. Kijana wa hovyo hovyo CPA (T)Habari wakuu!
Kwa wanotaka kuanza kusoma na waliosoma CPA karibuni mtushauri lolote, kwanza kabisa nahitaji kufahamu,
1) Intake ni mara ngapi kwa mwaka, yaani unaweza anza mwezi gani? Now tunaingia mwezi June je intake nyingine inaanza lini?
2) Vigezo vya kuanza ni vipi? Najua kuna levels mfano foundation, intermediate na final, je kwanini wengine waanzie foundation level na wengine Intermediate?
3)Je kuna favor yoyote kwa mtu aliyesoma masomo yenye uhasibu kidogo mfano Finance, Banking nk?, je atafanya mitihani mingapi ya foundation?
4) Gharama zake zipoje hasa ?
5) Center ipi ni nzuri kwa Review Classes kwa Dar es salaam na hata kwa walioko mikoani nk?
Karibu mshare na sisi lolote kuhusu CPA wakuu ,tutaappreciate👏
Me naomba msaada wa review class notes, modules books na past papers za kuanzia foundation level kuendeleaNilifiri unataka pindi, ningekuchapa pindi free kabisa uhakika wa kutoboa 100 ya 100.. Kijana wa hovyo hovyo CPA (T)
Ninaanza pia intermediate na ninafikiria kufanya na covenant online lakini Sina idea ya wapi pa kuanzia. Ninaomba kama hutamind unisaidie number yako PM tuwe study mates.Intermediate level mkuu wewe upo ipi?
Na pindi nahitaji mkuu, tena free aah nipo tayari mkuuNilifiri unataka pindi, ningekuchapa pindi free kabisa uhakika wa kutoboa 100 ya 100.. Kijana wa hovyo hovyo CPA (T)
Uje viungani pale nikuchape pindi matataNa pindi nahitaji mkuu, tena free aah nipo tayari mkuu
Viunga vya NBAA mkuu ?Uje viungani pale nikuchape pindi matata
gheto na wakati mwingine pale posta mkuu.. ule pindiViunga vya NBAA mkuu ?
Gheto tena? Kuna pindi kweli huko au mambo mengine😂gheto na wakati mwingine pale posta mkuu.. ule pindi
acha mawazo yako mabaya, gheto ni salama kabisa.. ukichoka kubukua unalala kidogoGheto tena? Kuna pindi kweli huko au mambo mengine😂
Akishamaliza kukufundisha tukutane viunga vya bodi unifundishe na mimi maana wewe ukinifundisha mimi ndo unaelewa zaidiNa pindi nahitaji mkuu, tena free aah nipo tayari mkuu
Nawewe unakuaga viunga vya bodi dear? Ngoja nifundishwe nije nkufundishe piaAkishamaliza kukufundisha tukutane viunga vya bodi unifundishe na mimi maana wewe ukinifundisha mimi ndo unaelewa zaidi
Ee dear ua nakuepoNawewe unakuaga viunga vya bodi dear? Ngoja nifundishwe nije nkufundishe pia
Na huenda nishawahi kukuona ila sababu ya hizi fake I'ds hatutahamiani😂Ee dear ua nakuepo
Inawezekana kabisaaaaaa mm pia nipo covenant paleNa huenda nishawahi kukuona ila sababu ya hizi fake I'ds hatutahamiani
For sure, i know you 😂😂 ila let's keep this anonymous 😂Inawezekana kabisaaaaaa mm pia nipo covenant pale