Nimeshawai fanya hii mambo...
Kusikika kama clouds fm kuna muda wa kutuma sms mfano kila siku saa saba na dk 16 lazima itasomwa...
Ukipiga simu ukiona iko busy unakata haraka unapiga tena hivo hivo tena na tena mpaka utadaka line...
Unakuta mnafahamiana watu salamu mpaka simiyu uko ndani ndani hata redio zingine huzijui ila mnarushiana namba na kushtuana mtume sms ama kupiga simu wakati gani na mada inahusu nini....
Faida
Watuma salam na ma requester maarufu wanakua wanajulikana na wasanii na ma dj..
Mfano
Daudi wa kota
Young mreno wa ilala
Talavi talavencha
Mtoto wa vitoto
Brenda tesha
Rasi sanlee
Fundi khamis wa migebuka
Taita la mzumbe
Baba tovu mkali wa kuingiza vocha zilizotumika,
Mohamed jongo
Lawena nsonda
Amadi machaku
Ni wengi sana na wanajua ila faida ya kwanza
1:shoo nyingi wanaingia bure
2:wan
apata mda wa ku hang na wasanii mfano waziri dello na young mreno
3:unalipwa kuchagua nyimbo ili iendelee kuskika redion na ibaki top ten..kama ni cash, credit na bundle..
Baadhi ya wasanii waliokua wanafanya hii Belle 9, Hakeem five, stamina, kobba, stive rnb n.k
Enzi hizo kwa sasa sijui wanafaidikaje