Wanaopiga simu redioni kila siku wanatoa wapi fedha na muda?

Wanaopiga simu redioni kila siku wanatoa wapi fedha na muda?

Mbona wewe hukosi muda na bundle kuingia jamii forum? Ikipita siku sijatia timu humu, hata kusoma tu nahisi kuna information kibao zimenipita.

Kila mtu ana addiction fulani katika maisha yake, ili mradi humuumizi mtu kwa kile anachofanya.
 
Miaka ya nyuma enzi za RTD Kulikuwa na watuma salamu maarufu kwa njia ya kadi na baadaye simu zilipoanza bado walikuwemo. Waliokuwa maarufu sana enzi hizo ni wajad fundi wajad wa mahuta shimon, Jumanne Sebarua Tingisha, Hawa Hassan Kilongo "super white orijino", Lusian Lems Ndambo wa Iringa, Mbago mhamed Mbago wa duka la mbolea pale Mbeya, wakulima wa ming'oko toka lindi nk. Sijui watu hawa kama wapo siku hizi
 
Miaka ya nyuma enzi za RTD Kulikuwa na watuma salamu maarufu kwa njia ya kadi na baadaye simu zilipoanza bado walikuwemo. Waliokuwa maarufu sana enzi hizo ni wajad fundi wajad wa mahuta shimon, Jumanne Sebarua Tingisha, Hawa Hassan Kilongo "super white orijino", Lusian Lems Ndambo wa Iringa, Mbago mhamed Mbago wa duka la mbolea pale Mbeya, wakulima wa ming'oko toka lindi nk. Sijui watu hawa kama wapo siku hizi
Sebarua tingisha mpaka digitali alikuwepo
 
Wenzangu mnapataje muda wa kusikiliza redio?
 
Mamaa pendo mama afrika wa haidom Manyara na jackson paka. Hawa kila siku usiku saa saba au nane nilikua nawasikia kupitia radio free Afrika. Kipindi kile alikua Muongoza kipindi ni Elika Elias au the simple man deokaji makomba.
 
Back
Top Bottom