Nexltshahda
JF-Expert Member
- Jun 1, 2026
- 384
- 757
Mwenendo wote wa leo, Agosti 31, 2026
SEHEMU YA PILI
Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu
[Majaji wanaingia Mahakamani.]
[Mheshimiwa Mnyika na Mheshimiwa Lissu wapo Mahakamani.]
WAKILI WA SERIKALI: Waheshimiwa Majaji, kwa upande wa Jamhuri tupo tayari. Shauri linakuja kwa ajili ya maswali ya dodoso, tupo tayari kuendelea.
JAJI NDUNGURU: Mshtakiwa.
LISSU: Waheshimiwa Majaji, nipo tayari kuendelea.
[Nassoro Katuga anasimama.]
KATUGA: Kwa upande wa Jamhuri, nitakuwa na maswali machache kwa shahidi.
JAJI NDUNGURU: Tuendelee.
KATUGA: Nitakuwa na maswali machache sana kwa upande wake.
Nina imani utakiheshimu kile kiapo chako kwa sababu wewe ni Mkristo sana.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema kwa cheo chako wewe ni Mtendaji Mkuu?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Nikisikia unasema kwamba CHADEMA inaongozwa kwa instruments nne za Katiba na nini?
MNYIKA: Katiba, Kanuni, Miongozo na maamuzi ya Vikao.
KATUGA: Katiba ni muhimu?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Naamini unaijua vizuri Katiba ya CHADEMA?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Katiba ni public document?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Katibu Mkuu anapatikana vipi?
MNYIKA: Anapendekezwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na Baraza Kuu.
# PART 2
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikiteuliwa na Mshtakiwa?
MNYIKA: Hapana. Ninateuliwa na Baraza Kuu baada ya kuthibitishwa.
KATUGA: Unatuchanganya tena. Hapo mwanzo umesema kwamba unapendekezwa na Mwenyekiti.
MNYIKA: Sahihi, lakini inathibitishwa na Baraza Kuu.
KATUGA: Mbona unatuchanganya?
MNYIKA: Ukitaka kujua Katiba ya CHADEMA, ujue kwanza Katibu Mkuu anaondolewaje.
Mwenyekiti hana uwezo wa kumuondoa Katibu Mkuu.
KATUGA: Unajipa maswali yako.
KATUGA: Nataka uniambie Kifungu cha 3(2)(v) cha Katiba kinasemaje?
MNYIKA: Naomba niruhusiwe kurefresh memory.
KATUGA: Naomba apewe Katiba chini ya Kifungu cha 166.
KATUGA: Ibara ya 3(2)(v) ya CHADEMA inaamini utu?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Wasomee Waheshimiwa Ibara ya 4(1): kushika dola kwa njia ya kidemokrasia ili kuleta maendeleo endelevu.
KATUGA: Kwa hiyo ni sahihi kusema dhumuni la CHADEMA ni kushika dola kwa njia ya kidemokrasia?
MNYIKA: Sahihi, ingawa si pekee.
KATUGA: Kwa jinsi ilivyo, CHADEMA dhumuni lake ni kushika dola kwa njia ya demokrasia.
MNYIKA: Chama kina madhumuni ya kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kushika dola si dhumuni pekee.
KATUGA: Kushika dola ni dhumuni kuu?
MNYIKA: Si dhumuni kubwa.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji kiwango chako cha elimu.
MNYIKA: Kidato cha 6.
KATUGA: Kwa kuwa ni Kidato cha 6, nipo sahihi kusema wewe ni layman wa sheria?
MNYIKA: Sijapita Law School, kwa hiyo ni layman.
KATUGA: Kwa hiyo nipo sahihi nikisema huna uzoefu wa sheria kutoa maoni ya kisheria?
MNYIKA: Nimetoa kwa sababu ya uzoefu wa kisiasa na kibunge wa kutunga hizo sheria.
KATUGA: Maoni uliyotoa wakati wa ushahidi wako yanatokana na uzoefu wako wa kibunge.
LISSU: Waheshimiwa Majaji, sijasikia shahidi akisema sijatoa maoni ya kisheria. Anamlisha maneno.
JAJI NDUNGURU: Si shahidi atasema hivyo kwamba hajasema hivyo.
LISSU: Nasema hivyo kwa sababu Wakili haruhusiwi kumlisha shahidi maneno wakati wa cross-examination.
JAJI NDUNGURU: Ndiyo, shahidi aseme kwamba sikusema.
LISSU: Tukienda hivyo, maana yake mnanizuia niseme lolote ninapoona shahidi anawekewa maneno. Sidhani kama ni sahihi.
[Mahakama inakuwa kimya kwa muda mfupi baada ya objection ya Lissu.]
JAJI NDUNGURU: Nadhani tuendelee.
KATUGA: Asante.
Shahidi, nadhani turudi katika maswali mepesi mepesi, sababu wewe ni Kidato cha Sita.
Ulisema wewe ni Afisa Masurufu.
PART 1
KATUGA: Majukumu yako ni yapi kama Afisa Masuhuri?
MNYIKA: Kuidhinisha maombi ya fedha kutoka kwenye idara na kurugenzi.
KATUGA: Iambie Mahakama kama unahusika na tone tone zetu.
MNYIKA: Nahusika kama Afisa Masuhuri.
KATUGA: Iambie Mahakama kama CHADEMA mna source ya fund kutoka kwa wafadhili, ikiwemo wadau nje ya nchi.
MNYIKA: Ni kweli.
KATUGA: Mwenyekiti akipokea fedha anakuletea wewe?
MNYIKA: Halihusiani.
KATUGA: Makamu wa Rais akipokea fedha, je, atakuletea wewe?
MNYIKA: CHADEMA haina Makamu wa Rais.
KATUGA: Ni Makamu wa Mwenyekiti, lakini umenielewa.
MNYIKA: Fedha zote zinapitia mifumo rasmi ya chama.
KATUGA: Wewe kama Katibu Mkuu ndiyo mlipa mishahara wa watumishi?
MNYIKA: Hapana. Mimi silipi mishahara; naidhinisha malipo.
KATUGA: Si ndiyo kuidhinisha mishahara?
MNYIKA: Hapana. CHADEMA hatulipi mishahara, bali posho.
KATUGA: Hata posho ni stahiki ya mtu, si ndiyo?
MNYIKA: Ndiyo, kama zipo.
KATUGA: Kuna vyama vingine vya siasa ambavyo havina mlengo wenu?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Kuna vyama vingine vya siasa ambavyo haviamini katika No Reforms, No Election.
MNYIKA: Siwezi kuvisemea.
KATUGA: Ni kweli kwamba hivi vyama vingine vya siasa vina wafuasi wake, kama ambavyo Ibara ya 4(iv) ya Katiba ya CHADEMA inatambua vyama vingi?
PART 2
MNYIKA: Kuna vyama vingine vya mfukoni ambavyo havina hata wafuasi; napata shida kuvisemea.
KATUGA: Vyama vingi vinavyosemwa katika Katiba ya CHADEMA, Ibara ya 4, ni vyama vipi?
MNYIKA: Ni vyama vilivyosajiliwa na vyenye usajili wa kudumu.
KATUGA: Kuna vyama vingapi vya siasa?
MNYIKA: Vyama 19 vyenye usajili wa kudumu. Vya usajili wa muda sivifahamu.
KATUGA: Hivi vyama 18, ukitoa CHADEMA, vyenyewe vina wanachama wao na itikadi zao?
MNYIKA: Siwezi kuvisemea.
KATUGA: Ni kweli kwamba chama cha siasa kusajiliwa lazima kiwe na wafuasi?
MNYIKA: Napata shida kuwasemea kwa sababu hao wanachama wanaweza kuhama wote.
KATUGA: Nauliza kwamba, ni sahihi kila chama lazima kiwe na wanachama wake?
MNYIKA: Siwezi kusema kwa vyama vingine kwa sababu kuna vyama vya mfukoni. Si lazima viwe na wanachama kusajiliwa.
KATUGA: Ni kweli kwamba vyama vyote vina itikadi kama CHADEMA?
MNYIKA: Siwezi kuvisemea vyama vyote.
KATUGA: Ni kweli kwamba CHADEMA inatambua vyama vingine kuamini wanachokiamini?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Ni kweli kwamba Mwanachadema yeyote lazima aiheshimu Katiba ya chama?
MNYIKA: Anapaswa, si lazima. Wapo wanaokiuka na wanachukuliwa hatua.
KATUGA: Asiyeifuata anachukuliwa hatua?
MNYIKA: Asiyeifuata ndiye anachukuliwa hatua. Sahihi.
KATUGA: Mtu yeyote anayeamini Katiba ya CHADEMA kutokuamini anachokiamini mwanachama mwingine wa chama kingine—
MNYIKA: Sijaelewa swali.
MNYIKA: Vyama vingi si idadi ya vyama.
KATUGA: Kwa mujibu wa Ibara ndogo ya 4 uliyotusomea, Mwanachadema akikataa kumpa mtu mwingine uhuru wa demokrasia anakuwa amevunja haki ya mtu mwingine?
MNYIKA: Si kweli.
KATUGA: Kama nilikusikia na kukuelewa, unasema tarehe 03 Aprili 2025 ulikuwapo katika mkutano?
MNYIKA: Ndiyo.
PART 3
KATUGA: Waambie Waheshimiwa, nani alikuwa Mwenyekiti wa mkutano?
MNYIKA: Hapakuwa na Mwenyekiti wa mkutano ule.
KATUGA: Kwa hiyo, mikutano ya CHADEMA haina Mwenyekiti?
MNYIKA: Si kila mkutano una Mwenyekiti.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa kama uliwaambia baadhi ya mikutano ya CHADEMA haina Mwenyekiti.
MNYIKA: Niliwaambia kuwa ulikuwa mkutano wa ndani.
KATUGA: Ulisema kuna mikutano ya ndani na hadhara. Je, ule ni mkutano wa wapi kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Si kwa mujibu wa Katiba; ni kwa mujibu wa utendaji. Hutaona kifungu cha aina ya mikutano.
KATUGA: Ule ulikuwa ni mkutano gani?
MNYIKA: Mkutano wa ndani.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, Mwenyekiti alikuwa na cheo gani?
MNYIKA: Mwenyekiti alikuwa ni Mwenyekiti vilevile kwa cheo chake.
KATUGA: Hiki chama chetu cha CHADEMA kinapoita watia nia, hawa watia nia wanaenda kuongea na nani?
MNYIKA: Kuongea na chama.
KATUGA: Nitakuwa sahihi kuwa watia nia hawaendi kuongea na Mwenyekiti, Katibu Mkuu wala Naibu Katibu Mkuu? Wanaenda kuongea na nani?
MNYIKA: Wanaenda kuongea na viongozi wa chama.
KATUGA: Hii kesi ya uhaini ya Mwenyekiti wetu, Tundu Antipas Lissu, uliwahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Sijawahi kuitisha vyombo vya habari makao makuu kuiongelea.
KATUGA: Ulishawahi kuongea kwamba mashahidi wa Jamhuri ni waongo, na kwamba ni kesi ya kubambika?
MNYIKA: Sijaelewa swali lako.
KATUGA: Uliwahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Hapana. Nimesema Mwenyekiti si muhaini, lakini si kuiongelea kesi.
KATUGA: Unaposema Mwenyekiti wetu si muhaini, unatoa ushahidi kwa mujibu wa maoni yako, unavyomjua Mwenyekiti, au shahidi?
MNYIKA: Kwa mujibu wa maoni yangu, ninavyomjua Mwenyekiti.
PART 1
KATUGA: Ulisema wewe ni Mratibu wa Vikao vyote.
MNYIKA: Hapana, mimi si Mratibu wa vikao vyote.
KATUGA: Vikao vya Kamati Kuu anaratibu nani?
MNYIKA: Katibu Mkuu.
KATUGA: Ni wewe umeratibu kikao cha tarehe 29?
MNYIKA: Juzi ni mimi.
KATUGA: Kikao cha Kamati Kuu tarehe 29 Agosti ni kikao cha kikatiba au kikao cha ndani?
MNYIKA: Katibu tu.
KATUGA: Mwenyekiti wake anakuwa nani?
MNYIKA: Makamu Mwenyekiti, na Makamu Mwenyekiti kama Mwenyekiti hayupo.
KATUGA: Baada ya kikao hicho, mlikubaliana kusema mliyokubaliana?
MNYIKA: Mimi nilikuwa nimeshaondoka.
KATUGA: Lakini wewe ni Mratibu.
MNYIKA: Sahihi, ulisema kuratibu, ndiyo maana nikajibu niliondoka.
KATUGA: Ni kweli mlitoa taarifa kwa umma?
[WAKILI NASSORO KATUGA anawaambia Waheshimiwa Majaji kama walijadili kesi hii.]
MNYIKA: Tulipokea taarifa ya kesi iliyopo Mahakamani kwamba Mwenyekiti amekutwa na kesi ya kujibu.
KATUGA: Ni kweli taarifa yenu mlisema mmekubaliana kumtetea Mwenyekiti kwa nguvu zote?
MNYIKA: Sijaiona bado.
KATUGA: Na bado unajiita Katibu Mkuu, ndiyo mtendaji mkuu wa Chama?
PART 2
KATUGA: Waambie Waheshimiwa, nani alikuwa Mwenyekiti wa Mkutano?
MNYIKA: Hapakuwa na Mwenyekiti wa Mkutano ule.
KATUGA: Kwa hiyo mikutano ya CHADEMA haina Mwenyekiti?
MNYIKA: Si kila mkutano una Mwenyekiti.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa kama uliwaambia baadhi ya mikutano ya CHADEMA haina Mwenyekiti.
MNYIKA: Niliwaambia kuwa ulikuwa Mkutano wa ndani.
KATUGA: Ulisema kuna mikutano ya ndani na hadhara. Na ule ni Mkutano wa wapi kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Si kwa mujibu wa Katiba, ni kwa mujibu wa utendaji. Hutaona kifungu cha aina ya mikutano.
KATUGA: Ule ulikuwa ni Mkutano gani?
MNYIKA: Mkutano wa ndani.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, Mwenyekiti alikuwa na cheo gani?
MNYIKA: Mwenyekiti alikuwa ni Mwenyekiti vilevile kwa cheo chake.
KATUGA: Hiki chama chetu cha CHADEMA kinapoita watia nia, na hawa watia nia wanaenda kuongea na nani?
MNYIKA: Kuongea na chama.
KATUGA: Nitakuwa sahihi kuwa watia nia hawaendi kuongea na Mwenyekiti, Katibu Mkuu wala Naibu Katibu Mkuu? Wanaenda kuongea na nani?
MNYIKA: Wanaenda kuongea na viongozi wa chama.
KATUGA: Hii kesi ya uhaini ya Mwenyekiti wetu, Tundu Antipas Lissu, ulishawahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Sijawahi kuitisha vyombo vya habari Makao Makuu kuiongelea.
KATUGA: Ulishawahi kuongea kuwa mashahidi wa Jamhuri ni waongo? Kesi ya kubambika?
MNYIKA: Sijaelewa swali lako.
KATUGA: Uliwahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Hapana. Nimesema Mwenyekiti si Muhaini, lakini si kuiongelea kesi.
KATUGA: Unaposema Mwenyekiti wetu si Muhaini, unatoa ushahidi kwa mujibu wa maoni yako, unavyomjua Mwenyekiti, au shahidi?
MNYIKA: Kwa mujibu wa maoni yangu, ninavyomjua Mwenyekiti.
KATUGA: Ulisema wewe ni Mratibu wa Vikao vyote.
MNYIKA: Hapana, mimi si Mratibu wa vikao vyote.
KATUGA: Vikao vya Kamati Kuu anaratibu nani?
MNYIKA: Katibu Mkuu.
KATUGA: Ni wewe umeratibu Kikao cha tarehe 29?
MNYIKA: Juzi ni mimi.
KATUGA: Kikao cha Kamati Kuu tarehe 29 Agosti ni kikao cha kikatiba au kikao cha ndani?
MNYIKA: Katibu tu.
KATUGA: Mwenyekiti wake anakuwa nani?
MNYIKA: Makamu Mwenyekiti, na Makamu Mwenyekiti kama Mwenyekiti hayupo.
KATUGA: Baada ya kikao hicho mlikubaliana kusema mliyokubaliana?
MNYIKA: Mimi nilikuwa nimeshaondoka.
KATUGA: Lakini wewe ni Mratibu.
MNYIKA: Sahihi, ulisema kuratibu, ndiyo maana nikajibu niliondoka.
KATUGA: Ni kweli mlitoa taarifa kwa umma?
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji kama mlijadili hii kesi.
PART 3
MNYIKA: Tulipokea taarifa ya kesi iliyopo Mahakamani kwamba Mwenyekiti amekutwa na kesi ya kujibu.
KATUGA: Ni kweli taarifa yenu mlisema mmekubaliana kumtetea Mwenyekiti kwa nguvu zote?
MNYIKA: Sijaiona bado.
KATUGA: Na bado unajiita Katibu Mkuu, ndiyo mtendaji mkuu wa Chama?
MNYIKA: Ndiyo, lakini ana wasaidizi wake kama mikono yake.
KATUGA: Wasaidizi wake wanaweza kutenda mambo ya kichama bila Katibu Mkuu kujua?
MNYIKA: Wanaweza kwa baadhi ya majukumu.
KATUGA: Ulisema ulipendekezwa na Mwenyekiti, jina lako?
MNYIKA: Ndiyo, nikathibitishwa na Baraza Kuu.
KATUGA: Lakini juzi mlisema mmejadili kesi hii.
MNYIKA: Ni sahihi kuhusu kupokea taarifa ya kesi.
KATUGA: Lakini ni kuhusu kesi hii?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Ni kweli kwamba, unavyomfahamu Mwenyekiti na alivyokuteua, nitakuwa sahihi nikisema wewe ni shahidi mwenye maslahi?
MNYIKA: Hapana, si maslahi kwa namna unavyotamka wewe. Kuna party interested na public interest.
KATUGA: Unaelewa anashitakiwa nini Mwenyekiti wako kuhusu uhaini?
MNYIKA: Uhaini wa kuchaoisha maneno katika mtandao.
KATUGA: Je, Tundu Lissu ana utii kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
MNYIKA: Sijui.
KATUGA: Je, ni raia wa Tanzania?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Ulikuwa unafuatilia huo Mkutano?
MNYIKA: Nilikuwapo.
KATUGA: Unaweza kuwapo na usifuatilie?
MNYIKA: Nilikuwapo, naufuatilia.
KATUGA: Ule Mkutano wa ndani, watia nia wote walifika?
MNYIKA: Si wote. Kwa hiyo siwezi kujua nani hajafika.
KATUGA: Ulisema mliwaita kwa sababu gani?
MNYIKA: Kuwapa maazimio ya chama kuhusu No reform, No election kutoka Bagamoyo.
PART 4
MNYIKA: Na siku moja kabla walituma waraka, ndiyo wakaambiwa waje siku hiyo kusikia majibu yao.
KATUGA: Mwenyekiti wa Chama alialikwa na nani?
MNYIKA: Naibu Katibu Mkuu Bara ndiyo alimpigia simu.
KATUGA: Ni kweli kwamba alimualika aje aongee na watia nia?
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti na viongozi wengine wa Chama.
KATUGA: Shahidi, jibu swali langu.
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti.
KATUGA: Katika ushahidi wako umeiambia Mahakama kwamba, mbali na kumualika Mwenyekiti, tulimuandikia risala.
MNYIKA: Hapana, sijasema.
KATUGA: Ile risala Mwenyekiti aliyoitoa ilikuwa imeandaliwa na Secretariat?
MNYIKA: Hatukumuandikia risala.
KATUGA: Unajua tofauti kati ya ajenda na risala?
MNYIKA: Risala haitolewi na Mwenyekiti. Inatolewa na mtu mwingine, halafu Mwenyekiti anajibu. Mwenyekiti anatoa hotuba.
KATUGA: Hiyo hotuba mlimuandikia nyinyi au alikuja nayo?
MNYIKA: Hatukumuandikia kwa sababu inatokana na misimamo ya Chama.
KATUGA: Shahidi, katika hiyo hotuba ulisikia sehemu Mwenyekiti anasema Majaji ni Ma-CCM?
MNYIKA: Sikusikia.
KATUGA: Ulisikia alisema Polisi wanaiba kura na vibegi mgongoni?
MNYIKA: Sijawahi kuitisha vyombo vya habari Makao Makuu kuongelea.
KATUGA: Ulishawahi kuongea mashahidi wa Jamhuri kuwa ni waongo? Kesi ya kubambika?
MNYIKA: Sijaelewa swali lako.
KATUGA: Uliwahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Hapana. Nimesema Mwenyekiti si Muhaini, lakini si kuiongelea kesi.
KATUGA: Unaposema Mwenyekiti wetu si Muhaini, unatoa ushahidi kwa mujibu wa maoni yako unavyomjua Mwenyekiti au shahidi?
MNYIKA: Kwa mujibu wa maoni yangu, ninavyomjua Mwenyekiti.
KATUGA: Ulisema wewe ni Mratibu wa Vikao vyote.
MNYIKA: Hapana, mimi si Mratibu wa vikao vyote.
KATUGA: Vikao vya Kamati Kuu anaratibu nani?
MNYIKA: Katibu Mkuu.
KATUGA: Ni wewe umeratibu Kikao cha tarehe 29?
MNYIKA: Juzi ni mimi.
KATUGA: Kikao cha Kamati Kuu tarehe 29 Agosti ni kikao cha kikatiba au kikao cha ndani?
MNYIKA: Katibu tu.
KATUGA: Mwenyekiti wake anakuwa nani?
MNYIKA: Makamu Mwenyekiti, na Makamu Mwenyekiti kama Mwenyekiti hayupo.
KATUGA: Baada ya kikao hicho mlikubaliana kusema mliyokubaliana?
MNYIKA: Mimi nilikuwa nimeshaondoka.
KATUGA: Lakini wewe ni Mratibu.
MNYIKA: Sahihi, ulisema kuratibu, ndiyo maana nikajibu niliondoka.
PART 5
KATUGA: Ni kweli mlitoa taarifa kwa umma. Waambie Waheshimiwa Majaji kama mlijadili hii kesi.
MNYIKA: Tulipokea taarifa ya kesi iliyopo Mahakamani kwamba Mwenyekiti amekutwa na kesi ya kujibu.
KATUGA: Ni kweli taarifa yenu mlisema mmekubaliana kumtetea Mwenyekiti kwa nguvu zote?
MNYIKA: Sijaiona bado.
KATUGA: Na bado unajiita Katibu Mkuu, ndiyo mtendaji mkuu wa Chama?
MNYIKA: Ndiyo, lakini ana wasaidizi wake kama mikono yake.
KATUGA: Wasaidizi wake wanaweza kutenda mambo ya kichama bila Katibu Mkuu kujua?
MNYIKA: Wanaweza kwa baadhi ya majukumu.
KATUGA: Ulisema ulipendekezwa na Mwenyekiti, jina lako?
MNYIKA: Ndiyo, nikathibitishwa na Baraza Kuu.
KATUGA: Lakini juzi mlisema mmejadili kesi hii.
MNYIKA: Ni sahihi kuhusu kupokea taarifa ya kesi.
KATUGA: Lakini ni kuhusu kesi hii?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Ni kweli kwamba, unavyomfahamu Mwenyekiti na alivyokuteua, nitakuwa sahihi nikisema wewe ni shahidi mwenye maslahi?
MNYIKA: Hapana, si maslahi kwa namna unavyotamka wewe. Kuna party interested na public interest.
KATUGA: Unaelewa anashitakiwa nini Mwenyekiti wako kuhusu uhaini?
MNYIKA: Uhaini wa kuchaoisha maneno katika mtandao.
KATUGA: Je, Tundu Lissu ana utii kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
MNYIKA: Sijui.
KATUGA: Je, ni raia wa Tanzania?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Ulikuwa unafuatilia huo Mkutano?
MNYIKA: Nilikuwapo.
KATUGA: Unaweza kuwapo na usifuatilie?
MNYIKA: Nilikuwapo, naufuatilia.
KATUGA: Ule Mkutano wa ndani, watia nia wote walifika?
MNYIKA: Si wote. Kwa hiyo siwezi kujua nani hajafika.
KATUGA: Ulisema mliwaita kwa sababu gani?
MNYIKA: Kuwapa maazimio ya Chama kuhusu No reform, No election kutoka Bagamoyo. Na siku moja kabla walituma waraka, ndiyo wakaambiwa waje siku hiyo kusikia majibu yao.
KATUGA: Mwenyekiti wa Chama alialikwa na nani?
MNYIKA: Naibu Katibu Mkuu Bara ndiyo alimpigia simu.
KATUGA: Ni kweli kwamba alimualika aje aongee na watia nia?
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti na viongozi wengine wa Chama.
KATUGA: Shahidi, jibu swali langu.
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti.
KATUGA: Katika ushahidi wako umeiambia Mahakama kwamba, mbali na kumualika Mwenyekiti, tulimuandikia risala.
MNYIKA: Hapana, sijasema.
KATUGA: Ile risala Mwenyekiti aliyoitoa ilikuwa imeandaliwa na Secretariat?
MNYIKA: Hatukumuandikia risala.
KATUGA: Unajua tofauti kati ya ajenda na risala?
MNYIKA: Risala haitolewi na Mwenyekiti. Inatolewa na mtu mwingine, halafu Mwenyekiti anajibu. Mwenyekiti anatoa hotuba.
KATUGA: Hiyo hotuba mlimuandikia nyinyi au alikuja nayo?
MNYIKA: Hatukumuandikia kwa sababu inatokana na misimamo ya Chama.
KATUGA: Shahidi, katika hiyo hotuba ulisikia sehemu Mwenyekiti anasema Majaji ni Ma-CCM?
MNYIKA: Sikusikia.
KATUGA: Ulisikia alisema Polisi wanaiba kura na vibegi mgongoni?
MNYIKA: Nilisikia.
KATUGA: Ulisikia akisema tunaenda kuhamasisha uasi?
MNYIKA: Nilisikia.
KATUGA: Ulisikia akisema tunaenda kukinukisha?
MNYIKA: Nilisikia.
MNYIKA: Lakini si kwa maana yenu nyinyi. Alifafanua anamaanisha nini.
KATUGA: Kwa hiyo unasema alifafanua?
MNYIKA: Kwa mambo mahususi.
KATUGA: Ulileta hapa Mahakamani?
MNYIKA: Nilileta kwa ushahidi wangu wa mdomo.
PART 6
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, Katiba yetu ya Chama inatambua demokrasia ya vyama vingi.
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu upo kwa mujibu wa sheria.
MNYIKA: Uchaguzi halali.
KATUGA: Shahidi, upo timamu?
MNYIKA: Na wewe upo timamu?
KATUGA: Si kazi yako kuniuliza maswali. Ukitaka, waombe Majaji niwe shahidi.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani na Rais upo kwa mujibu wa sheria.
MNYIKA: Upo kwa mujibu wa sheria.
KATUGA: Unajua kuwa Tanzania ina Katiba?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu upo kwa mujibu wa Katiba au haupo kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Umewekwa kwa mujibu wa Katiba.
JAJI NDUNGURU: Tuandike nini?
KATUGA: Swali jepesi sana, lakini hataki kujibu.
[LISSU anasimama.]
LISSU: Wakili akisema hataki kujibu anakosea. Nimeandika hapa kwamba shahidi kasema uchaguzi unaitishwa kwa mujibu wa Katiba.
KATUGA: Ananichukulia muda.
LISSU: Ninachomaanisha, Waheshimiwa Majaji, ameshajibu.
JAJI NDUNGURU: Kwenye cross-examination, unaweza kuuliza swali hata mara nne.
LISSU: Kama tuna muda huo, tuendelee.
KATUGA: Uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais upo kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Una exist kwa mujibu wa Katiba.
KATUGA: Haya, tuambie maana ya exist kwa Form Six yako.
MNYIKA: Umewekwa.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema Mtanzania yeyote ana haki ya kushiriki uchaguzi?
MNYIKA: Ukiwa huru, haki na halali.
KATUGA: Umetuambia uchaguzi Mkuu umewekwa kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema mtu yeyote Tanzania wa chama chochote ana haki ya kushiriki Uchaguzi Mkuu?
MNYIKA: Anao haki ya kushiriki uchaguzi huru, wa haki na halali.
KATUGA: Sijui, Waheshimiwa Majaji, kama jibu lake mmelipata.
LISSU: Waheshimiwa Majaji, hii submission kwa Majaji au ni examination, kwani ameambiwa na Majaji, hamjasikia?
KATUGA: Kwa hiyo Mtanzania yeyote ana haki ya kushiriki Uchaguzi Mkuu?
MNYIKA: Ana haki ya kushiriki uchaguzi wa haki, huru na halali.
KATUGA: Ni haki kwa Mwanachama wa CHADEMA kuzuia Uchaguzi Mkuu uliowekwa kikatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa CHADEMA inayoamini vyama vingi?
MNYIKA: Ni haki kama si halali. Utakuwa unazuiwa kwa njia za kidemokrasia.
PART 7
KATUGA: Ulikuwa umefafanua maneno ya No reform, No election kwamba ilikuwa chini ya Mwenyekiti nani?
MNYIKA: Si Mwenyekiti, ni Kamati Kuu ya CHADEMA.
KATUGA: Ulisema Kiswahili cha No reform, No election ni nini?
MNYIKA: Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi.
KATUGA: Katika maneno ya No reform, No election kuna maneno “utahamasisha uasi”?
MNYIKA: Hakuna.
KATUGA: Kwenye hayo maneno ya No reform, No election, kuna sehemu kwenye hayo maneno kuna maneno “TUTAKINUKISHA”?
MNYIKA: Kuwapa maazimio ya Chama kuhusu No reform, No election kutoka Bagamoyo.
MNYIKA: Na siku moja kabla walituma waraka, ndiyo wakaambiwa waje siku hiyo kusikia majibu yao.
KATUGA: Mwenyekiti wa Chama alialikwa na nani?
MNYIKA: Naibu Katibu Mkuu Bara ndiyo alimpigia simu.
KATUGA: Ni kweli kwamba alimualika aje aongee na watia nia?
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti na viongozi wengine wa Chama.
KATUGA: Shahidi, jibu swali langu.
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti.
KATUGA: Katika ushahidi wako umeiambia Mahakama kwamba, mbali na kumualika Mwenyekiti, tulimuandikia risala.
MNYIKA: Hapana, sijasema.
KATUGA: Ile risala Mwenyekiti aliyoitoa ilikuwa imeandaliwa na Secretariat?
MNYIKA: Hatukumuandikia risala.
KATUGA: Unajua tofauti kati ya ajenda na risala?
MNYIKA: Risala haitolewi na Mwenyekiti. Inatolewa na mtu mwingine, halafu Mwenyekiti anajibu. Mwenyekiti anatoa hotuba.
KATUGA: Hiyo hotuba mlimuandikia nyinyi au alikuja nayo?
MNYIKA: Hatukumuandikia kwa sababu inatokana na misimamo ya Chama.
KATUGA: Shahidi, katika hiyo hotuba ulisikia sehemu Mwenyekiti anasema Majaji ni Ma-CCM?
MNYIKA: Sikusikia.
KATUGA: Ulisikia alisema Polisi wanaiba kura na vibegi mgongoni?
MNYIKA: Nilisikia.
KATUGA: Ulisikia akisema tunaenda kuhamasisha uasi?
MNYIKA: Nilisikia.
KATUGA: Ulisikia akisema tunaenda kukinukisha?
MNYIKA: Nilisikia.
MNYIKA: Lakini si kwa maana yenu nyinyi. Alifafanua anamaanisha nini.
KATUGA: Kwa hiyo unasema alifafanua?
MNYIKA: Kwa mambo mahususi.
KATUGA: Ulileta hapa Mahakamani?
MNYIKA: Nilileta kwa ushahidi wangu wa mdomo.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, Katiba yetu ya Chama inatambua demokrasia ya vyama vingi.
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu upo kwa mujibu wa sheria.
MNYIKA: Uchaguzi halali.
KATUGA: Shahidi, upo timamu?
MNYIKA: Na wewe upo timamu?
KATUGA: Si kazi yako kuniuliza maswali. Ukitaka, waombe Majaji niwe shahidi.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani na Rais upo kwa mujibu wa sheria.
MNYIKA: Upo kwa mujibu wa sheria.
KATUGA: Unajua kuwa Tanzania ina Katiba?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu upo kwa mujibu wa Katiba au haupo kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Umewekwa kwa mujibu wa Katiba.
JAJI NDUNGURU: Tuandike nini?
KATUGA: Swali jepesi sana, lakini hataki kujibu.
PART [NUMBER]
[Lissu anasimama.]
LISSU: Wakili akisema hataki kujibu anakosea. Nimeandika hapa kwamba shahidi amesema uchaguzi unaitishwa kwa mujibu wa Katiba.
KATUGA: Ananichukulia muda.
LISSU: Ninachomaanisha, Waheshimiwa Majaji, ameshajibu.
JAJI NDUNGURU: Kwenye cross-examination, unaweza kuuliza swali hata mara nne.
LISSU: Kama tuna muda huo, tuendelee.
KATUGA: Uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais upo kwa mujibu wa Katiba.
MNYIKA: Una exist kwa mujibu wa Katiba.
KATUGA: Haya, tuambie maana ya exist kwa Form Six yako.
MNYIKA: Umewekwa.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema Mtanzania yeyote anaamini ana haki ya kushiriki uchaguzi?
MNYIKA: Ukiwa huru, haki na halali.
KATUGA: Umetuambia uchaguzi Mkuu umewekwa kwa mujibu wa Katiba.
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema mtu yeyote Tanzania wa chama chochote ana haki ya kushiriki uchaguzi Mkuu?
MNYIKA: Anayo haki ya kushiriki uchaguzi huru, wa haki na halali.
KATUGA: Sijui, Waheshimiwa Majaji, kama jibu lake mmelipata.
LISSU: Waheshimiwa Majaji, hii submission kwa Majaji au ni examination? Kwani ameambiwa na Majaji, hamjasikia?
KATUGA: Kwa hiyo Mtanzania yeyote ana haki ya kushiriki uchaguzi Mkuu?
MNYIKA: Ana haki ya kushiriki uchaguzi wa haki, huru na halali.
KATUGA: Ni haki kwa Mwanachama wa CHADEMA kuzuia uchaguzi Mkuu uliowekwa kikatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa CHADEMA inayoamini vyama vingi?
MNYIKA: Ni haki kama si halali; utakuwa unazuiwa kwa njia za kidemokrasia.
KATUGA: Ulikuwa umefafanua maneno ya No reform, No election kwamba ilikuwa chini ya Mwenyekiti nani?
MNYIKA: Si Mwenyekiti, ni Kamati Kuu ya CHADEMA.
KATUGA: Ulisema Kiswahili cha No reform, No election ni nini?
MNYIKA: Bila mabadiliko hakuna uchaguzi.
KATUGA: Katika maneno ya No reform, No election kuna maneno “utahamasisha uasi”?
MNYIKA: Hakuna.
KATUGA: Kwenye hayo maneno ya No reform, No election kuna sehemu kwenye hayo maneno kuna maneno “tutakinukisha”?
MNYIKA: Hakuna hayo maneno.
KATUGA: No reform, No election kuna sehemu kuna maneno yanayosema tunaenda kuuvuruga huu uchaguzi?
MNYIKA: Kwenye hayo maneno hakuna, ila kuna maazimio mengine 10.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa kuhusu aliyozungumza Mwenyekiti siku ya tarehe 3 Aprili, ikiwemo kwamba alisema atazuia uchaguzi.
MNYIKA: Yapi haswa, mahususi?
KATUGA: Ukirejea baadhi ya maneno alivyosema Mwenyekiti katika mkutano wa tarehe 3 Aprili.
MNYIKA: Niliyarejea.
KATUGA: Ukiyarejea hayo maneno hapa, ni kwa kuona siku hiyo au kuyasikia?
MNYIKA: Kwa kusikia.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji ushahidi wa maneno ni wa kusikia au kuona.
MNYIKA: Ulishasema ni layman, sifahamu.
KATUGA: Mtu akitamka neno, unalionaje au unalisikia?
MNYIKA: Unayasikia.
KATUGA: Na mimi napima akili yako kama unaelewa majibu yangu.
PART [NUMBER]
KATUGA: Wewe ulikuwa Sekretarieti. Mlipoita waandishi wa habari, mliwawekea kizuizi cha aidha warekodi au warushe baadaye?
MNYIKA: Hatukuwawekea kizuizi.
KATUGA: Chombo cha habari chochote kilichorusha moja kwa moja hakikuwa kimevunja makubaliano yoyote na nyie?
MNYIKA: Hakikuwa kimevunja makubaliano.
KATUGA: Wakati mnawaita waandishi wa habari, mlikuwa na nia au maudhui ya kuhabarisha umma kwa kile mlichokusudia kusema siku ile?
MNYIKA: Ndiyo. No reform, No election.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji kama mliwapa hotuba ya Mwenyekiti kabla hao watu hawajaja.
MNYIKA: Hapana.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, kama kiutaratibu, kama unapaswa kumficha au kumweleza Mwenyekiti wa Chama kama mkutano huu una waandishi wa habari au hakuna.
MNYIKA: Hakuna haja ya kumweleza, lakini siku hiyo niliwaeleza viongozi wote kwamba patakuwa na waandishi wa habari.
KATUGA: Ni kweli mlikuwa na sehemu ambayo waandishi wa habari na yale ambayo hamkutaka waandishi wa habari wayasikie?
MNYIKA: Hapana. Tuliwa ruhusu mapema wakaendelee na kazi. Hatukutaka kuwashikilia siku nzima.
KATUGA: Kwa hiyo, kwa yale masaa matatu mliwashikilia?
MNYIKA: Hapana, sina maana hiyo. Kuna wapo ambao hata masaa matatu hawakumaliza.
KATUGA: Mwenyekiti wako alisema kwamba tuliwatoa waandishi wa habari kwa sababu hatukutaka Part 2 ifikie kwa umma. Wewe unasema mliwatoa kwa sababu wakaendelee na majukumu yao. Haya majibu yapo sawa au hayapo sawa?
MNYIKA: Yapo sawa. Ni sawa na kusema hii chupa ya maji ipo half full or half empty.
KATUGA: Unajua kuwa Mshtakiwa anashitakiwa kwa kutengeneza nia na kutoa hiyo nia kwa kuchapisha maneno kwa kuhamasisha umma kuzuia umma?
MNYIKA: Si kuchochea umma, no, kutishia Serikali. Na kwenye maneno yake siku sikia neno Serikali.
KATUGA: Kwa kuwa Mshtakiwa anashitakiwa kwa kutoa maneno, ni kweli kwamba aliyataja hayo maneno uliyotaja kusikia?
MNYIKA: Sikusikia mahususi.
KATUGA: Nilikuuliza tuhuma zake, ukasema unazijua. Unajua kwamba Mshtakiwa anashitakiwa kutoa hayo maneno?
MNYIKA: Sijui. Mimi najua ni kuchapisha.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema umeyathibitisha kwa ukweli kabisa na wewe ni mtu wa dini?
MNYIKA: Usitumie Busu la Yuda, rudia swali lako vizuri.
[Nassoro anacheka.]
KATUGA: Kwa ushahidi wako ulisema uliyasikia maneno hayo yaliyotolewa na Mshtakiwa, yametolewa na Mwenyekiti wako?
MNYIKA: Nimeyasikia, lakini si yote yaliyo katika hati ya mashtaka.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema kwamba... Hebu ikumbushe Mahakama, hii ulisema mliita waandishi wa habari. Walikuwa wakionekana au wakitega kamera kwa kificho?
## PART [NUMBER]
KATUGA: Wewe ulikuwa sekretarieti. Mlipoita waandishi wa habari, mliwawekea kizuizi cha aidha warekodi au warushe baadaye?
MNYIKA: Hatukuwawekea kizuizi.
KATUGA: Chombo cha habari chochote kilichorusha moja kwa moja hakikuwa kimevunja makubaliano yoyote na nyie?
MNYIKA: Hakikuwa kimevunja makubaliano.
KATUGA: Wakati mnawaita waandishi wa habari, mlikuwa na nia ya kuwahabarisha umma kwa yale mliyokusudia kusema siku ile?
MNYIKA: Ndiyo. No reform, no election.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji kama mliwapa hotuba ya Mwenyekiti kabla hao watu hawajaja.
MNYIKA: Hapana.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, kama kiutaratibu, kama unapaswa kumficha au kumweleza Mwenyekiti wa chama kama mkutano huu una waandishi wa habari au hakuna.
MNYIKA: Hakuna haja ya kumweleza, lakini siku hiyo niliwaeleza viongozi wote kwamba patakuwa na waandishi wa habari.
KATUGA: Ni kweli mlikuwa na sehemu ambayo waandishi wa habari na yale ambayo hamkutaka waandishi wa habari wayasikie?
MNYIKA: Hapana. Tuliwaruhusu mapema wakaendelee na kazi. Hatukutaka kuwashikilia siku nzima.
KATUGA: Kwa hiyo, kwa yale masaa matatu mliwashikilia?
MNYIKA: Hapana, sina maana hiyo. Kuna ambao hata masaa matatu hawakumaliza.
KATUGA: Mwenyekiti wako alisema kwamba tuliwatoa waandishi wa habari kwa sababu hatukutaka Part 2 ifikie kwa umma. Wewe unasema mliwatoa kwa sababu wakaendelee na majukumu yao. Haya majibu yapo sawa au hayapo sawa?
MNYIKA: Yapo sawa. Ni sawa na kusema hii chupa ya maji ipo half full au half empty.
KATUGA: Unajua kwamba Mshtakiwa anashitakiwa kwa kutengeneza nia na kutoa hiyo nia kwa kuchapisha maneno kwa kuhamasisha umma kuzuia umma?
MNYIKA: Si kuchochea umma, no, kutishia Serikali. Na kwenye maneno yake sikusikia neno Serikali.
KATUGA: Kwa kuwa Mshtakiwa anashitakiwa kwa kutoa maneno, ni kweli kwamba aliyataja hayo maneno uliyotaja kusikia?
MNYIKA: Sikuyasikia mahususi.
KATUGA: Nilikuuliza tuhuma zake, ukasema unazijua. Unajua kwamba Mshtakiwa anashitakiwa kutoa hayo maneno?
MNYIKA: Sijui. Mimi najua ni kuchapisha.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema umeyathibitisha kwa ukweli kabisa na wewe ni mtu wa dini?
MNYIKA: Usitumie Busu la Yuda. Rudia swali lako vizuri.
[Nassoro Katuga anacheka.]
KATUGA: Kwa ushahidi wako ulisema uliyasikia maneno hayo yaliyotolewa na Mshtakiwa, yametolewa na Mwenyekiti wako?
MNYIKA: Nimeyasikia, lakini si yote yaliyo katika hati ya mashtaka.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema kwamba...
Hebu ikumbushe Mahakama, hii ulisema mliita waandishi wa habari. Walikuwa wakionekana au wakitega kamera kwa kificho?
MNYIKA: Walikuwa na microphone na kamera zao.
KATUGA: Sasa ni sahihi kwamba mzungumzaji alikuwa anajua wanachukua habari na kwenda kuchapisha?
MNYIKA: Si kila kinachochukuliwa kinaenda kuchapishwa.
KATUGA: Shahidi, unajieleza sana kama vile unaogopa.
MNYIKA: Siogopi, ila unauliza mambo yasiyokuwapo na unalazimisha niyakubali.
KATUGA: Mliwapa tahadhari kwamba wachapishe tu mnachowaruhusu. Mliwapa hiyo tahadhari?
MNYIKA: Hatukuwapa tahadhari kwa sababu tunaheshimu uhuru wa vyombo vya habari.
KATUGA: Mliwapa muhtasari kwamba Mwenyekiti anazungumza hili na hili?
MNYIKA: Hatukuwapa, na hilo nimeshajibu awali.
KATUGA: Nitakuwa sahihi kusema maana ya kuchapisha (publication), kwa mujibu wa sheria, maana yake ni kusambaza kwa mujibu wa sheria?
MNYIKA: Ulisema mimi ni layman, sijui.
KATUGA: Kwa hiyo unaweza kuchapisha na kusambaza?
MNYIKA: Si kila unachochapisha unaweza kusambaza.
KATUGA: Ndiyo tafsiri yako ya Form Six? Wamekutisha sana tatizo.
MNYIKA: Unafikiri unavyotishwa wewe serikalini ndiyo kila mtu anatishwa.
[Mnyika anacheka.]
KATUGA: Nyinyi mnataka taarifa iifikie umma. Na Jambo ni moja na chombo marafiki na CHADEMA. Ni kweli au kweli? Maana hapa Mahakamani kuna ushahidi kwamba Jambo TV ndiyo chombo pekee kinachotangaza habari za CHADEMA bila woga.
MNYIKA: Hilo silifahamu.
KATUGA: Ufahamu nini?
MNYIKA: Silijui hilo.
KATUGA: Kwa kuwa mliwaambia mlitaka habari iwafikie umma, nitakuwa sahihi kwamba kwa Jambo TV, kwa uhuru wake, kukubali kusambaza taarifa iwafikie umma, ilifanya kazi mliyotegemea kufikisha hotuba yake kwa umma?
MNYIKA: Sijaelewa.
KATUGA: Yeye aliulizwa alitaka hotuba yake ifikie umma?
MNYIKA: Sikuwapo.
KATUGA: Wewe pamoja na mambo mengine, ulitaka hotuba ifikie umma au hukutaka?
MNYIKA: Ilitaka ifikie umma pamoja na mambo mengine.
KATUGA: Kwa kuwa nia yako ni hiyo ya uhuru wa habari na haki, hiki chombo kilifanya kazi njema.
MNYIKA: Hiyo kazi njema sijaiona.
JAJI NDUNGURU: Jibu ni sahihi au si sahihi?
MNYIKA: Si sahihi, na sifahamu.
KATUGA: Mheshimiwa Jaji, samahani. Bado kuna maswali mengi na shahidi kasimama muda mrefu. Naomba tuhairishe Mahakama.
[Majaji wanateta.]
JAJI NDUNGURU: Mshtakiwa, unasemaje?
LISSU: Waheshimiwa, mimi sina pingamizi na kuahirisha mpaka kesho.
[Majaji wanaandika.]
*[Maafisa wa Magereza wanaingia kizimbani kwa ajili ya Mheshimiwa Lissu.]*9i
JAJI NDUNGURU: Shauri linahairishwa hadi leo saa 3 asubuhi.
Shahidi utaendelea kuwa chini ya kiapo.
Jitahidi kesho uwapo tena kuendelea na ushahidi.
[Majaji wanatoka.]
SEHEMU YA PILI
Kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu
[Majaji wanaingia Mahakamani.]
[Mheshimiwa Mnyika na Mheshimiwa Lissu wapo Mahakamani.]
WAKILI WA SERIKALI: Waheshimiwa Majaji, kwa upande wa Jamhuri tupo tayari. Shauri linakuja kwa ajili ya maswali ya dodoso, tupo tayari kuendelea.
JAJI NDUNGURU: Mshtakiwa.
LISSU: Waheshimiwa Majaji, nipo tayari kuendelea.
[Nassoro Katuga anasimama.]
KATUGA: Kwa upande wa Jamhuri, nitakuwa na maswali machache kwa shahidi.
JAJI NDUNGURU: Tuendelee.
KATUGA: Nitakuwa na maswali machache sana kwa upande wake.
Nina imani utakiheshimu kile kiapo chako kwa sababu wewe ni Mkristo sana.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema kwa cheo chako wewe ni Mtendaji Mkuu?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Nikisikia unasema kwamba CHADEMA inaongozwa kwa instruments nne za Katiba na nini?
MNYIKA: Katiba, Kanuni, Miongozo na maamuzi ya Vikao.
KATUGA: Katiba ni muhimu?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Naamini unaijua vizuri Katiba ya CHADEMA?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Katiba ni public document?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Katibu Mkuu anapatikana vipi?
MNYIKA: Anapendekezwa na Mwenyekiti na kuthibitishwa na Baraza Kuu.
# PART 2
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikiteuliwa na Mshtakiwa?
MNYIKA: Hapana. Ninateuliwa na Baraza Kuu baada ya kuthibitishwa.
KATUGA: Unatuchanganya tena. Hapo mwanzo umesema kwamba unapendekezwa na Mwenyekiti.
MNYIKA: Sahihi, lakini inathibitishwa na Baraza Kuu.
KATUGA: Mbona unatuchanganya?
MNYIKA: Ukitaka kujua Katiba ya CHADEMA, ujue kwanza Katibu Mkuu anaondolewaje.
Mwenyekiti hana uwezo wa kumuondoa Katibu Mkuu.
KATUGA: Unajipa maswali yako.
KATUGA: Nataka uniambie Kifungu cha 3(2)(v) cha Katiba kinasemaje?
MNYIKA: Naomba niruhusiwe kurefresh memory.
KATUGA: Naomba apewe Katiba chini ya Kifungu cha 166.
KATUGA: Ibara ya 3(2)(v) ya CHADEMA inaamini utu?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Wasomee Waheshimiwa Ibara ya 4(1): kushika dola kwa njia ya kidemokrasia ili kuleta maendeleo endelevu.
KATUGA: Kwa hiyo ni sahihi kusema dhumuni la CHADEMA ni kushika dola kwa njia ya kidemokrasia?
MNYIKA: Sahihi, ingawa si pekee.
KATUGA: Kwa jinsi ilivyo, CHADEMA dhumuni lake ni kushika dola kwa njia ya demokrasia.
MNYIKA: Chama kina madhumuni ya kijamii, kiuchumi na kisiasa. Kushika dola si dhumuni pekee.
KATUGA: Kushika dola ni dhumuni kuu?
MNYIKA: Si dhumuni kubwa.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji kiwango chako cha elimu.
MNYIKA: Kidato cha 6.
KATUGA: Kwa kuwa ni Kidato cha 6, nipo sahihi kusema wewe ni layman wa sheria?
MNYIKA: Sijapita Law School, kwa hiyo ni layman.
KATUGA: Kwa hiyo nipo sahihi nikisema huna uzoefu wa sheria kutoa maoni ya kisheria?
MNYIKA: Nimetoa kwa sababu ya uzoefu wa kisiasa na kibunge wa kutunga hizo sheria.
KATUGA: Maoni uliyotoa wakati wa ushahidi wako yanatokana na uzoefu wako wa kibunge.
LISSU: Waheshimiwa Majaji, sijasikia shahidi akisema sijatoa maoni ya kisheria. Anamlisha maneno.
JAJI NDUNGURU: Si shahidi atasema hivyo kwamba hajasema hivyo.
LISSU: Nasema hivyo kwa sababu Wakili haruhusiwi kumlisha shahidi maneno wakati wa cross-examination.
JAJI NDUNGURU: Ndiyo, shahidi aseme kwamba sikusema.
LISSU: Tukienda hivyo, maana yake mnanizuia niseme lolote ninapoona shahidi anawekewa maneno. Sidhani kama ni sahihi.
[Mahakama inakuwa kimya kwa muda mfupi baada ya objection ya Lissu.]
JAJI NDUNGURU: Nadhani tuendelee.
KATUGA: Asante.
Shahidi, nadhani turudi katika maswali mepesi mepesi, sababu wewe ni Kidato cha Sita.
Ulisema wewe ni Afisa Masurufu.
PART 1
KATUGA: Majukumu yako ni yapi kama Afisa Masuhuri?
MNYIKA: Kuidhinisha maombi ya fedha kutoka kwenye idara na kurugenzi.
KATUGA: Iambie Mahakama kama unahusika na tone tone zetu.
MNYIKA: Nahusika kama Afisa Masuhuri.
KATUGA: Iambie Mahakama kama CHADEMA mna source ya fund kutoka kwa wafadhili, ikiwemo wadau nje ya nchi.
MNYIKA: Ni kweli.
KATUGA: Mwenyekiti akipokea fedha anakuletea wewe?
MNYIKA: Halihusiani.
KATUGA: Makamu wa Rais akipokea fedha, je, atakuletea wewe?
MNYIKA: CHADEMA haina Makamu wa Rais.
KATUGA: Ni Makamu wa Mwenyekiti, lakini umenielewa.
MNYIKA: Fedha zote zinapitia mifumo rasmi ya chama.
KATUGA: Wewe kama Katibu Mkuu ndiyo mlipa mishahara wa watumishi?
MNYIKA: Hapana. Mimi silipi mishahara; naidhinisha malipo.
KATUGA: Si ndiyo kuidhinisha mishahara?
MNYIKA: Hapana. CHADEMA hatulipi mishahara, bali posho.
KATUGA: Hata posho ni stahiki ya mtu, si ndiyo?
MNYIKA: Ndiyo, kama zipo.
KATUGA: Kuna vyama vingine vya siasa ambavyo havina mlengo wenu?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Kuna vyama vingine vya siasa ambavyo haviamini katika No Reforms, No Election.
MNYIKA: Siwezi kuvisemea.
KATUGA: Ni kweli kwamba hivi vyama vingine vya siasa vina wafuasi wake, kama ambavyo Ibara ya 4(iv) ya Katiba ya CHADEMA inatambua vyama vingi?
PART 2
MNYIKA: Kuna vyama vingine vya mfukoni ambavyo havina hata wafuasi; napata shida kuvisemea.
KATUGA: Vyama vingi vinavyosemwa katika Katiba ya CHADEMA, Ibara ya 4, ni vyama vipi?
MNYIKA: Ni vyama vilivyosajiliwa na vyenye usajili wa kudumu.
KATUGA: Kuna vyama vingapi vya siasa?
MNYIKA: Vyama 19 vyenye usajili wa kudumu. Vya usajili wa muda sivifahamu.
KATUGA: Hivi vyama 18, ukitoa CHADEMA, vyenyewe vina wanachama wao na itikadi zao?
MNYIKA: Siwezi kuvisemea.
KATUGA: Ni kweli kwamba chama cha siasa kusajiliwa lazima kiwe na wafuasi?
MNYIKA: Napata shida kuwasemea kwa sababu hao wanachama wanaweza kuhama wote.
KATUGA: Nauliza kwamba, ni sahihi kila chama lazima kiwe na wanachama wake?
MNYIKA: Siwezi kusema kwa vyama vingine kwa sababu kuna vyama vya mfukoni. Si lazima viwe na wanachama kusajiliwa.
KATUGA: Ni kweli kwamba vyama vyote vina itikadi kama CHADEMA?
MNYIKA: Siwezi kuvisemea vyama vyote.
KATUGA: Ni kweli kwamba CHADEMA inatambua vyama vingine kuamini wanachokiamini?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Ni kweli kwamba Mwanachadema yeyote lazima aiheshimu Katiba ya chama?
MNYIKA: Anapaswa, si lazima. Wapo wanaokiuka na wanachukuliwa hatua.
KATUGA: Asiyeifuata anachukuliwa hatua?
MNYIKA: Asiyeifuata ndiye anachukuliwa hatua. Sahihi.
KATUGA: Mtu yeyote anayeamini Katiba ya CHADEMA kutokuamini anachokiamini mwanachama mwingine wa chama kingine—
MNYIKA: Sijaelewa swali.
MNYIKA: Vyama vingi si idadi ya vyama.
KATUGA: Kwa mujibu wa Ibara ndogo ya 4 uliyotusomea, Mwanachadema akikataa kumpa mtu mwingine uhuru wa demokrasia anakuwa amevunja haki ya mtu mwingine?
MNYIKA: Si kweli.
KATUGA: Kama nilikusikia na kukuelewa, unasema tarehe 03 Aprili 2025 ulikuwapo katika mkutano?
MNYIKA: Ndiyo.
PART 3
KATUGA: Waambie Waheshimiwa, nani alikuwa Mwenyekiti wa mkutano?
MNYIKA: Hapakuwa na Mwenyekiti wa mkutano ule.
KATUGA: Kwa hiyo, mikutano ya CHADEMA haina Mwenyekiti?
MNYIKA: Si kila mkutano una Mwenyekiti.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa kama uliwaambia baadhi ya mikutano ya CHADEMA haina Mwenyekiti.
MNYIKA: Niliwaambia kuwa ulikuwa mkutano wa ndani.
KATUGA: Ulisema kuna mikutano ya ndani na hadhara. Je, ule ni mkutano wa wapi kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Si kwa mujibu wa Katiba; ni kwa mujibu wa utendaji. Hutaona kifungu cha aina ya mikutano.
KATUGA: Ule ulikuwa ni mkutano gani?
MNYIKA: Mkutano wa ndani.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, Mwenyekiti alikuwa na cheo gani?
MNYIKA: Mwenyekiti alikuwa ni Mwenyekiti vilevile kwa cheo chake.
KATUGA: Hiki chama chetu cha CHADEMA kinapoita watia nia, hawa watia nia wanaenda kuongea na nani?
MNYIKA: Kuongea na chama.
KATUGA: Nitakuwa sahihi kuwa watia nia hawaendi kuongea na Mwenyekiti, Katibu Mkuu wala Naibu Katibu Mkuu? Wanaenda kuongea na nani?
MNYIKA: Wanaenda kuongea na viongozi wa chama.
KATUGA: Hii kesi ya uhaini ya Mwenyekiti wetu, Tundu Antipas Lissu, uliwahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Sijawahi kuitisha vyombo vya habari makao makuu kuiongelea.
KATUGA: Ulishawahi kuongea kwamba mashahidi wa Jamhuri ni waongo, na kwamba ni kesi ya kubambika?
MNYIKA: Sijaelewa swali lako.
KATUGA: Uliwahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Hapana. Nimesema Mwenyekiti si muhaini, lakini si kuiongelea kesi.
KATUGA: Unaposema Mwenyekiti wetu si muhaini, unatoa ushahidi kwa mujibu wa maoni yako, unavyomjua Mwenyekiti, au shahidi?
MNYIKA: Kwa mujibu wa maoni yangu, ninavyomjua Mwenyekiti.
PART 1
KATUGA: Ulisema wewe ni Mratibu wa Vikao vyote.
MNYIKA: Hapana, mimi si Mratibu wa vikao vyote.
KATUGA: Vikao vya Kamati Kuu anaratibu nani?
MNYIKA: Katibu Mkuu.
KATUGA: Ni wewe umeratibu kikao cha tarehe 29?
MNYIKA: Juzi ni mimi.
KATUGA: Kikao cha Kamati Kuu tarehe 29 Agosti ni kikao cha kikatiba au kikao cha ndani?
MNYIKA: Katibu tu.
KATUGA: Mwenyekiti wake anakuwa nani?
MNYIKA: Makamu Mwenyekiti, na Makamu Mwenyekiti kama Mwenyekiti hayupo.
KATUGA: Baada ya kikao hicho, mlikubaliana kusema mliyokubaliana?
MNYIKA: Mimi nilikuwa nimeshaondoka.
KATUGA: Lakini wewe ni Mratibu.
MNYIKA: Sahihi, ulisema kuratibu, ndiyo maana nikajibu niliondoka.
KATUGA: Ni kweli mlitoa taarifa kwa umma?
[WAKILI NASSORO KATUGA anawaambia Waheshimiwa Majaji kama walijadili kesi hii.]
MNYIKA: Tulipokea taarifa ya kesi iliyopo Mahakamani kwamba Mwenyekiti amekutwa na kesi ya kujibu.
KATUGA: Ni kweli taarifa yenu mlisema mmekubaliana kumtetea Mwenyekiti kwa nguvu zote?
MNYIKA: Sijaiona bado.
KATUGA: Na bado unajiita Katibu Mkuu, ndiyo mtendaji mkuu wa Chama?
PART 2
KATUGA: Waambie Waheshimiwa, nani alikuwa Mwenyekiti wa Mkutano?
MNYIKA: Hapakuwa na Mwenyekiti wa Mkutano ule.
KATUGA: Kwa hiyo mikutano ya CHADEMA haina Mwenyekiti?
MNYIKA: Si kila mkutano una Mwenyekiti.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa kama uliwaambia baadhi ya mikutano ya CHADEMA haina Mwenyekiti.
MNYIKA: Niliwaambia kuwa ulikuwa Mkutano wa ndani.
KATUGA: Ulisema kuna mikutano ya ndani na hadhara. Na ule ni Mkutano wa wapi kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Si kwa mujibu wa Katiba, ni kwa mujibu wa utendaji. Hutaona kifungu cha aina ya mikutano.
KATUGA: Ule ulikuwa ni Mkutano gani?
MNYIKA: Mkutano wa ndani.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, Mwenyekiti alikuwa na cheo gani?
MNYIKA: Mwenyekiti alikuwa ni Mwenyekiti vilevile kwa cheo chake.
KATUGA: Hiki chama chetu cha CHADEMA kinapoita watia nia, na hawa watia nia wanaenda kuongea na nani?
MNYIKA: Kuongea na chama.
KATUGA: Nitakuwa sahihi kuwa watia nia hawaendi kuongea na Mwenyekiti, Katibu Mkuu wala Naibu Katibu Mkuu? Wanaenda kuongea na nani?
MNYIKA: Wanaenda kuongea na viongozi wa chama.
KATUGA: Hii kesi ya uhaini ya Mwenyekiti wetu, Tundu Antipas Lissu, ulishawahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Sijawahi kuitisha vyombo vya habari Makao Makuu kuiongelea.
KATUGA: Ulishawahi kuongea kuwa mashahidi wa Jamhuri ni waongo? Kesi ya kubambika?
MNYIKA: Sijaelewa swali lako.
KATUGA: Uliwahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Hapana. Nimesema Mwenyekiti si Muhaini, lakini si kuiongelea kesi.
KATUGA: Unaposema Mwenyekiti wetu si Muhaini, unatoa ushahidi kwa mujibu wa maoni yako, unavyomjua Mwenyekiti, au shahidi?
MNYIKA: Kwa mujibu wa maoni yangu, ninavyomjua Mwenyekiti.
KATUGA: Ulisema wewe ni Mratibu wa Vikao vyote.
MNYIKA: Hapana, mimi si Mratibu wa vikao vyote.
KATUGA: Vikao vya Kamati Kuu anaratibu nani?
MNYIKA: Katibu Mkuu.
KATUGA: Ni wewe umeratibu Kikao cha tarehe 29?
MNYIKA: Juzi ni mimi.
KATUGA: Kikao cha Kamati Kuu tarehe 29 Agosti ni kikao cha kikatiba au kikao cha ndani?
MNYIKA: Katibu tu.
KATUGA: Mwenyekiti wake anakuwa nani?
MNYIKA: Makamu Mwenyekiti, na Makamu Mwenyekiti kama Mwenyekiti hayupo.
KATUGA: Baada ya kikao hicho mlikubaliana kusema mliyokubaliana?
MNYIKA: Mimi nilikuwa nimeshaondoka.
KATUGA: Lakini wewe ni Mratibu.
MNYIKA: Sahihi, ulisema kuratibu, ndiyo maana nikajibu niliondoka.
KATUGA: Ni kweli mlitoa taarifa kwa umma?
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji kama mlijadili hii kesi.
PART 3
MNYIKA: Tulipokea taarifa ya kesi iliyopo Mahakamani kwamba Mwenyekiti amekutwa na kesi ya kujibu.
KATUGA: Ni kweli taarifa yenu mlisema mmekubaliana kumtetea Mwenyekiti kwa nguvu zote?
MNYIKA: Sijaiona bado.
KATUGA: Na bado unajiita Katibu Mkuu, ndiyo mtendaji mkuu wa Chama?
MNYIKA: Ndiyo, lakini ana wasaidizi wake kama mikono yake.
KATUGA: Wasaidizi wake wanaweza kutenda mambo ya kichama bila Katibu Mkuu kujua?
MNYIKA: Wanaweza kwa baadhi ya majukumu.
KATUGA: Ulisema ulipendekezwa na Mwenyekiti, jina lako?
MNYIKA: Ndiyo, nikathibitishwa na Baraza Kuu.
KATUGA: Lakini juzi mlisema mmejadili kesi hii.
MNYIKA: Ni sahihi kuhusu kupokea taarifa ya kesi.
KATUGA: Lakini ni kuhusu kesi hii?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Ni kweli kwamba, unavyomfahamu Mwenyekiti na alivyokuteua, nitakuwa sahihi nikisema wewe ni shahidi mwenye maslahi?
MNYIKA: Hapana, si maslahi kwa namna unavyotamka wewe. Kuna party interested na public interest.
KATUGA: Unaelewa anashitakiwa nini Mwenyekiti wako kuhusu uhaini?
MNYIKA: Uhaini wa kuchaoisha maneno katika mtandao.
KATUGA: Je, Tundu Lissu ana utii kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
MNYIKA: Sijui.
KATUGA: Je, ni raia wa Tanzania?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Ulikuwa unafuatilia huo Mkutano?
MNYIKA: Nilikuwapo.
KATUGA: Unaweza kuwapo na usifuatilie?
MNYIKA: Nilikuwapo, naufuatilia.
KATUGA: Ule Mkutano wa ndani, watia nia wote walifika?
MNYIKA: Si wote. Kwa hiyo siwezi kujua nani hajafika.
KATUGA: Ulisema mliwaita kwa sababu gani?
MNYIKA: Kuwapa maazimio ya chama kuhusu No reform, No election kutoka Bagamoyo.
PART 4
MNYIKA: Na siku moja kabla walituma waraka, ndiyo wakaambiwa waje siku hiyo kusikia majibu yao.
KATUGA: Mwenyekiti wa Chama alialikwa na nani?
MNYIKA: Naibu Katibu Mkuu Bara ndiyo alimpigia simu.
KATUGA: Ni kweli kwamba alimualika aje aongee na watia nia?
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti na viongozi wengine wa Chama.
KATUGA: Shahidi, jibu swali langu.
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti.
KATUGA: Katika ushahidi wako umeiambia Mahakama kwamba, mbali na kumualika Mwenyekiti, tulimuandikia risala.
MNYIKA: Hapana, sijasema.
KATUGA: Ile risala Mwenyekiti aliyoitoa ilikuwa imeandaliwa na Secretariat?
MNYIKA: Hatukumuandikia risala.
KATUGA: Unajua tofauti kati ya ajenda na risala?
MNYIKA: Risala haitolewi na Mwenyekiti. Inatolewa na mtu mwingine, halafu Mwenyekiti anajibu. Mwenyekiti anatoa hotuba.
KATUGA: Hiyo hotuba mlimuandikia nyinyi au alikuja nayo?
MNYIKA: Hatukumuandikia kwa sababu inatokana na misimamo ya Chama.
KATUGA: Shahidi, katika hiyo hotuba ulisikia sehemu Mwenyekiti anasema Majaji ni Ma-CCM?
MNYIKA: Sikusikia.
KATUGA: Ulisikia alisema Polisi wanaiba kura na vibegi mgongoni?
MNYIKA: Sijawahi kuitisha vyombo vya habari Makao Makuu kuongelea.
KATUGA: Ulishawahi kuongea mashahidi wa Jamhuri kuwa ni waongo? Kesi ya kubambika?
MNYIKA: Sijaelewa swali lako.
KATUGA: Uliwahi kuiongelea hii kesi?
MNYIKA: Hapana. Nimesema Mwenyekiti si Muhaini, lakini si kuiongelea kesi.
KATUGA: Unaposema Mwenyekiti wetu si Muhaini, unatoa ushahidi kwa mujibu wa maoni yako unavyomjua Mwenyekiti au shahidi?
MNYIKA: Kwa mujibu wa maoni yangu, ninavyomjua Mwenyekiti.
KATUGA: Ulisema wewe ni Mratibu wa Vikao vyote.
MNYIKA: Hapana, mimi si Mratibu wa vikao vyote.
KATUGA: Vikao vya Kamati Kuu anaratibu nani?
MNYIKA: Katibu Mkuu.
KATUGA: Ni wewe umeratibu Kikao cha tarehe 29?
MNYIKA: Juzi ni mimi.
KATUGA: Kikao cha Kamati Kuu tarehe 29 Agosti ni kikao cha kikatiba au kikao cha ndani?
MNYIKA: Katibu tu.
KATUGA: Mwenyekiti wake anakuwa nani?
MNYIKA: Makamu Mwenyekiti, na Makamu Mwenyekiti kama Mwenyekiti hayupo.
KATUGA: Baada ya kikao hicho mlikubaliana kusema mliyokubaliana?
MNYIKA: Mimi nilikuwa nimeshaondoka.
KATUGA: Lakini wewe ni Mratibu.
MNYIKA: Sahihi, ulisema kuratibu, ndiyo maana nikajibu niliondoka.
PART 5
KATUGA: Ni kweli mlitoa taarifa kwa umma. Waambie Waheshimiwa Majaji kama mlijadili hii kesi.
MNYIKA: Tulipokea taarifa ya kesi iliyopo Mahakamani kwamba Mwenyekiti amekutwa na kesi ya kujibu.
KATUGA: Ni kweli taarifa yenu mlisema mmekubaliana kumtetea Mwenyekiti kwa nguvu zote?
MNYIKA: Sijaiona bado.
KATUGA: Na bado unajiita Katibu Mkuu, ndiyo mtendaji mkuu wa Chama?
MNYIKA: Ndiyo, lakini ana wasaidizi wake kama mikono yake.
KATUGA: Wasaidizi wake wanaweza kutenda mambo ya kichama bila Katibu Mkuu kujua?
MNYIKA: Wanaweza kwa baadhi ya majukumu.
KATUGA: Ulisema ulipendekezwa na Mwenyekiti, jina lako?
MNYIKA: Ndiyo, nikathibitishwa na Baraza Kuu.
KATUGA: Lakini juzi mlisema mmejadili kesi hii.
MNYIKA: Ni sahihi kuhusu kupokea taarifa ya kesi.
KATUGA: Lakini ni kuhusu kesi hii?
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Ni kweli kwamba, unavyomfahamu Mwenyekiti na alivyokuteua, nitakuwa sahihi nikisema wewe ni shahidi mwenye maslahi?
MNYIKA: Hapana, si maslahi kwa namna unavyotamka wewe. Kuna party interested na public interest.
KATUGA: Unaelewa anashitakiwa nini Mwenyekiti wako kuhusu uhaini?
MNYIKA: Uhaini wa kuchaoisha maneno katika mtandao.
KATUGA: Je, Tundu Lissu ana utii kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
MNYIKA: Sijui.
KATUGA: Je, ni raia wa Tanzania?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Ulikuwa unafuatilia huo Mkutano?
MNYIKA: Nilikuwapo.
KATUGA: Unaweza kuwapo na usifuatilie?
MNYIKA: Nilikuwapo, naufuatilia.
KATUGA: Ule Mkutano wa ndani, watia nia wote walifika?
MNYIKA: Si wote. Kwa hiyo siwezi kujua nani hajafika.
KATUGA: Ulisema mliwaita kwa sababu gani?
MNYIKA: Kuwapa maazimio ya Chama kuhusu No reform, No election kutoka Bagamoyo. Na siku moja kabla walituma waraka, ndiyo wakaambiwa waje siku hiyo kusikia majibu yao.
KATUGA: Mwenyekiti wa Chama alialikwa na nani?
MNYIKA: Naibu Katibu Mkuu Bara ndiyo alimpigia simu.
KATUGA: Ni kweli kwamba alimualika aje aongee na watia nia?
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti na viongozi wengine wa Chama.
KATUGA: Shahidi, jibu swali langu.
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti.
KATUGA: Katika ushahidi wako umeiambia Mahakama kwamba, mbali na kumualika Mwenyekiti, tulimuandikia risala.
MNYIKA: Hapana, sijasema.
KATUGA: Ile risala Mwenyekiti aliyoitoa ilikuwa imeandaliwa na Secretariat?
MNYIKA: Hatukumuandikia risala.
KATUGA: Unajua tofauti kati ya ajenda na risala?
MNYIKA: Risala haitolewi na Mwenyekiti. Inatolewa na mtu mwingine, halafu Mwenyekiti anajibu. Mwenyekiti anatoa hotuba.
KATUGA: Hiyo hotuba mlimuandikia nyinyi au alikuja nayo?
MNYIKA: Hatukumuandikia kwa sababu inatokana na misimamo ya Chama.
KATUGA: Shahidi, katika hiyo hotuba ulisikia sehemu Mwenyekiti anasema Majaji ni Ma-CCM?
MNYIKA: Sikusikia.
KATUGA: Ulisikia alisema Polisi wanaiba kura na vibegi mgongoni?
MNYIKA: Nilisikia.
KATUGA: Ulisikia akisema tunaenda kuhamasisha uasi?
MNYIKA: Nilisikia.
KATUGA: Ulisikia akisema tunaenda kukinukisha?
MNYIKA: Nilisikia.
MNYIKA: Lakini si kwa maana yenu nyinyi. Alifafanua anamaanisha nini.
KATUGA: Kwa hiyo unasema alifafanua?
MNYIKA: Kwa mambo mahususi.
KATUGA: Ulileta hapa Mahakamani?
MNYIKA: Nilileta kwa ushahidi wangu wa mdomo.
PART 6
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, Katiba yetu ya Chama inatambua demokrasia ya vyama vingi.
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu upo kwa mujibu wa sheria.
MNYIKA: Uchaguzi halali.
KATUGA: Shahidi, upo timamu?
MNYIKA: Na wewe upo timamu?
KATUGA: Si kazi yako kuniuliza maswali. Ukitaka, waombe Majaji niwe shahidi.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani na Rais upo kwa mujibu wa sheria.
MNYIKA: Upo kwa mujibu wa sheria.
KATUGA: Unajua kuwa Tanzania ina Katiba?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu upo kwa mujibu wa Katiba au haupo kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Umewekwa kwa mujibu wa Katiba.
JAJI NDUNGURU: Tuandike nini?
KATUGA: Swali jepesi sana, lakini hataki kujibu.
[LISSU anasimama.]
LISSU: Wakili akisema hataki kujibu anakosea. Nimeandika hapa kwamba shahidi kasema uchaguzi unaitishwa kwa mujibu wa Katiba.
KATUGA: Ananichukulia muda.
LISSU: Ninachomaanisha, Waheshimiwa Majaji, ameshajibu.
JAJI NDUNGURU: Kwenye cross-examination, unaweza kuuliza swali hata mara nne.
LISSU: Kama tuna muda huo, tuendelee.
KATUGA: Uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais upo kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Una exist kwa mujibu wa Katiba.
KATUGA: Haya, tuambie maana ya exist kwa Form Six yako.
MNYIKA: Umewekwa.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema Mtanzania yeyote ana haki ya kushiriki uchaguzi?
MNYIKA: Ukiwa huru, haki na halali.
KATUGA: Umetuambia uchaguzi Mkuu umewekwa kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema mtu yeyote Tanzania wa chama chochote ana haki ya kushiriki Uchaguzi Mkuu?
MNYIKA: Anao haki ya kushiriki uchaguzi huru, wa haki na halali.
KATUGA: Sijui, Waheshimiwa Majaji, kama jibu lake mmelipata.
LISSU: Waheshimiwa Majaji, hii submission kwa Majaji au ni examination, kwani ameambiwa na Majaji, hamjasikia?
KATUGA: Kwa hiyo Mtanzania yeyote ana haki ya kushiriki Uchaguzi Mkuu?
MNYIKA: Ana haki ya kushiriki uchaguzi wa haki, huru na halali.
KATUGA: Ni haki kwa Mwanachama wa CHADEMA kuzuia Uchaguzi Mkuu uliowekwa kikatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa CHADEMA inayoamini vyama vingi?
MNYIKA: Ni haki kama si halali. Utakuwa unazuiwa kwa njia za kidemokrasia.
PART 7
KATUGA: Ulikuwa umefafanua maneno ya No reform, No election kwamba ilikuwa chini ya Mwenyekiti nani?
MNYIKA: Si Mwenyekiti, ni Kamati Kuu ya CHADEMA.
KATUGA: Ulisema Kiswahili cha No reform, No election ni nini?
MNYIKA: Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi.
KATUGA: Katika maneno ya No reform, No election kuna maneno “utahamasisha uasi”?
MNYIKA: Hakuna.
KATUGA: Kwenye hayo maneno ya No reform, No election, kuna sehemu kwenye hayo maneno kuna maneno “TUTAKINUKISHA”?
MNYIKA: Kuwapa maazimio ya Chama kuhusu No reform, No election kutoka Bagamoyo.
MNYIKA: Na siku moja kabla walituma waraka, ndiyo wakaambiwa waje siku hiyo kusikia majibu yao.
KATUGA: Mwenyekiti wa Chama alialikwa na nani?
MNYIKA: Naibu Katibu Mkuu Bara ndiyo alimpigia simu.
KATUGA: Ni kweli kwamba alimualika aje aongee na watia nia?
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti na viongozi wengine wa Chama.
KATUGA: Shahidi, jibu swali langu.
MNYIKA: Alimualika Mwenyekiti.
KATUGA: Katika ushahidi wako umeiambia Mahakama kwamba, mbali na kumualika Mwenyekiti, tulimuandikia risala.
MNYIKA: Hapana, sijasema.
KATUGA: Ile risala Mwenyekiti aliyoitoa ilikuwa imeandaliwa na Secretariat?
MNYIKA: Hatukumuandikia risala.
KATUGA: Unajua tofauti kati ya ajenda na risala?
MNYIKA: Risala haitolewi na Mwenyekiti. Inatolewa na mtu mwingine, halafu Mwenyekiti anajibu. Mwenyekiti anatoa hotuba.
KATUGA: Hiyo hotuba mlimuandikia nyinyi au alikuja nayo?
MNYIKA: Hatukumuandikia kwa sababu inatokana na misimamo ya Chama.
KATUGA: Shahidi, katika hiyo hotuba ulisikia sehemu Mwenyekiti anasema Majaji ni Ma-CCM?
MNYIKA: Sikusikia.
KATUGA: Ulisikia alisema Polisi wanaiba kura na vibegi mgongoni?
MNYIKA: Nilisikia.
KATUGA: Ulisikia akisema tunaenda kuhamasisha uasi?
MNYIKA: Nilisikia.
KATUGA: Ulisikia akisema tunaenda kukinukisha?
MNYIKA: Nilisikia.
MNYIKA: Lakini si kwa maana yenu nyinyi. Alifafanua anamaanisha nini.
KATUGA: Kwa hiyo unasema alifafanua?
MNYIKA: Kwa mambo mahususi.
KATUGA: Ulileta hapa Mahakamani?
MNYIKA: Nilileta kwa ushahidi wangu wa mdomo.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, Katiba yetu ya Chama inatambua demokrasia ya vyama vingi.
MNYIKA: Sahihi.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu upo kwa mujibu wa sheria.
MNYIKA: Uchaguzi halali.
KATUGA: Shahidi, upo timamu?
MNYIKA: Na wewe upo timamu?
KATUGA: Si kazi yako kuniuliza maswali. Ukitaka, waombe Majaji niwe shahidi.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu wa Wabunge, Madiwani na Rais upo kwa mujibu wa sheria.
MNYIKA: Upo kwa mujibu wa sheria.
KATUGA: Unajua kuwa Tanzania ina Katiba?
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Uchaguzi Mkuu upo kwa mujibu wa Katiba au haupo kwa mujibu wa Katiba?
MNYIKA: Umewekwa kwa mujibu wa Katiba.
JAJI NDUNGURU: Tuandike nini?
KATUGA: Swali jepesi sana, lakini hataki kujibu.
PART [NUMBER]
[Lissu anasimama.]
LISSU: Wakili akisema hataki kujibu anakosea. Nimeandika hapa kwamba shahidi amesema uchaguzi unaitishwa kwa mujibu wa Katiba.
KATUGA: Ananichukulia muda.
LISSU: Ninachomaanisha, Waheshimiwa Majaji, ameshajibu.
JAJI NDUNGURU: Kwenye cross-examination, unaweza kuuliza swali hata mara nne.
LISSU: Kama tuna muda huo, tuendelee.
KATUGA: Uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais upo kwa mujibu wa Katiba.
MNYIKA: Una exist kwa mujibu wa Katiba.
KATUGA: Haya, tuambie maana ya exist kwa Form Six yako.
MNYIKA: Umewekwa.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema Mtanzania yeyote anaamini ana haki ya kushiriki uchaguzi?
MNYIKA: Ukiwa huru, haki na halali.
KATUGA: Umetuambia uchaguzi Mkuu umewekwa kwa mujibu wa Katiba.
MNYIKA: Ndiyo.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema mtu yeyote Tanzania wa chama chochote ana haki ya kushiriki uchaguzi Mkuu?
MNYIKA: Anayo haki ya kushiriki uchaguzi huru, wa haki na halali.
KATUGA: Sijui, Waheshimiwa Majaji, kama jibu lake mmelipata.
LISSU: Waheshimiwa Majaji, hii submission kwa Majaji au ni examination? Kwani ameambiwa na Majaji, hamjasikia?
KATUGA: Kwa hiyo Mtanzania yeyote ana haki ya kushiriki uchaguzi Mkuu?
MNYIKA: Ana haki ya kushiriki uchaguzi wa haki, huru na halali.
KATUGA: Ni haki kwa Mwanachama wa CHADEMA kuzuia uchaguzi Mkuu uliowekwa kikatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa CHADEMA inayoamini vyama vingi?
MNYIKA: Ni haki kama si halali; utakuwa unazuiwa kwa njia za kidemokrasia.
KATUGA: Ulikuwa umefafanua maneno ya No reform, No election kwamba ilikuwa chini ya Mwenyekiti nani?
MNYIKA: Si Mwenyekiti, ni Kamati Kuu ya CHADEMA.
KATUGA: Ulisema Kiswahili cha No reform, No election ni nini?
MNYIKA: Bila mabadiliko hakuna uchaguzi.
KATUGA: Katika maneno ya No reform, No election kuna maneno “utahamasisha uasi”?
MNYIKA: Hakuna.
KATUGA: Kwenye hayo maneno ya No reform, No election kuna sehemu kwenye hayo maneno kuna maneno “tutakinukisha”?
MNYIKA: Hakuna hayo maneno.
KATUGA: No reform, No election kuna sehemu kuna maneno yanayosema tunaenda kuuvuruga huu uchaguzi?
MNYIKA: Kwenye hayo maneno hakuna, ila kuna maazimio mengine 10.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa kuhusu aliyozungumza Mwenyekiti siku ya tarehe 3 Aprili, ikiwemo kwamba alisema atazuia uchaguzi.
MNYIKA: Yapi haswa, mahususi?
KATUGA: Ukirejea baadhi ya maneno alivyosema Mwenyekiti katika mkutano wa tarehe 3 Aprili.
MNYIKA: Niliyarejea.
KATUGA: Ukiyarejea hayo maneno hapa, ni kwa kuona siku hiyo au kuyasikia?
MNYIKA: Kwa kusikia.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji ushahidi wa maneno ni wa kusikia au kuona.
MNYIKA: Ulishasema ni layman, sifahamu.
KATUGA: Mtu akitamka neno, unalionaje au unalisikia?
MNYIKA: Unayasikia.
KATUGA: Na mimi napima akili yako kama unaelewa majibu yangu.
PART [NUMBER]
KATUGA: Wewe ulikuwa Sekretarieti. Mlipoita waandishi wa habari, mliwawekea kizuizi cha aidha warekodi au warushe baadaye?
MNYIKA: Hatukuwawekea kizuizi.
KATUGA: Chombo cha habari chochote kilichorusha moja kwa moja hakikuwa kimevunja makubaliano yoyote na nyie?
MNYIKA: Hakikuwa kimevunja makubaliano.
KATUGA: Wakati mnawaita waandishi wa habari, mlikuwa na nia au maudhui ya kuhabarisha umma kwa kile mlichokusudia kusema siku ile?
MNYIKA: Ndiyo. No reform, No election.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji kama mliwapa hotuba ya Mwenyekiti kabla hao watu hawajaja.
MNYIKA: Hapana.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, kama kiutaratibu, kama unapaswa kumficha au kumweleza Mwenyekiti wa Chama kama mkutano huu una waandishi wa habari au hakuna.
MNYIKA: Hakuna haja ya kumweleza, lakini siku hiyo niliwaeleza viongozi wote kwamba patakuwa na waandishi wa habari.
KATUGA: Ni kweli mlikuwa na sehemu ambayo waandishi wa habari na yale ambayo hamkutaka waandishi wa habari wayasikie?
MNYIKA: Hapana. Tuliwa ruhusu mapema wakaendelee na kazi. Hatukutaka kuwashikilia siku nzima.
KATUGA: Kwa hiyo, kwa yale masaa matatu mliwashikilia?
MNYIKA: Hapana, sina maana hiyo. Kuna wapo ambao hata masaa matatu hawakumaliza.
KATUGA: Mwenyekiti wako alisema kwamba tuliwatoa waandishi wa habari kwa sababu hatukutaka Part 2 ifikie kwa umma. Wewe unasema mliwatoa kwa sababu wakaendelee na majukumu yao. Haya majibu yapo sawa au hayapo sawa?
MNYIKA: Yapo sawa. Ni sawa na kusema hii chupa ya maji ipo half full or half empty.
KATUGA: Unajua kuwa Mshtakiwa anashitakiwa kwa kutengeneza nia na kutoa hiyo nia kwa kuchapisha maneno kwa kuhamasisha umma kuzuia umma?
MNYIKA: Si kuchochea umma, no, kutishia Serikali. Na kwenye maneno yake siku sikia neno Serikali.
KATUGA: Kwa kuwa Mshtakiwa anashitakiwa kwa kutoa maneno, ni kweli kwamba aliyataja hayo maneno uliyotaja kusikia?
MNYIKA: Sikusikia mahususi.
KATUGA: Nilikuuliza tuhuma zake, ukasema unazijua. Unajua kwamba Mshtakiwa anashitakiwa kutoa hayo maneno?
MNYIKA: Sijui. Mimi najua ni kuchapisha.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema umeyathibitisha kwa ukweli kabisa na wewe ni mtu wa dini?
MNYIKA: Usitumie Busu la Yuda, rudia swali lako vizuri.
[Nassoro anacheka.]
KATUGA: Kwa ushahidi wako ulisema uliyasikia maneno hayo yaliyotolewa na Mshtakiwa, yametolewa na Mwenyekiti wako?
MNYIKA: Nimeyasikia, lakini si yote yaliyo katika hati ya mashtaka.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema kwamba... Hebu ikumbushe Mahakama, hii ulisema mliita waandishi wa habari. Walikuwa wakionekana au wakitega kamera kwa kificho?
## PART [NUMBER]
KATUGA: Wewe ulikuwa sekretarieti. Mlipoita waandishi wa habari, mliwawekea kizuizi cha aidha warekodi au warushe baadaye?
MNYIKA: Hatukuwawekea kizuizi.
KATUGA: Chombo cha habari chochote kilichorusha moja kwa moja hakikuwa kimevunja makubaliano yoyote na nyie?
MNYIKA: Hakikuwa kimevunja makubaliano.
KATUGA: Wakati mnawaita waandishi wa habari, mlikuwa na nia ya kuwahabarisha umma kwa yale mliyokusudia kusema siku ile?
MNYIKA: Ndiyo. No reform, no election.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji kama mliwapa hotuba ya Mwenyekiti kabla hao watu hawajaja.
MNYIKA: Hapana.
KATUGA: Waambie Waheshimiwa Majaji, kama kiutaratibu, kama unapaswa kumficha au kumweleza Mwenyekiti wa chama kama mkutano huu una waandishi wa habari au hakuna.
MNYIKA: Hakuna haja ya kumweleza, lakini siku hiyo niliwaeleza viongozi wote kwamba patakuwa na waandishi wa habari.
KATUGA: Ni kweli mlikuwa na sehemu ambayo waandishi wa habari na yale ambayo hamkutaka waandishi wa habari wayasikie?
MNYIKA: Hapana. Tuliwaruhusu mapema wakaendelee na kazi. Hatukutaka kuwashikilia siku nzima.
KATUGA: Kwa hiyo, kwa yale masaa matatu mliwashikilia?
MNYIKA: Hapana, sina maana hiyo. Kuna ambao hata masaa matatu hawakumaliza.
KATUGA: Mwenyekiti wako alisema kwamba tuliwatoa waandishi wa habari kwa sababu hatukutaka Part 2 ifikie kwa umma. Wewe unasema mliwatoa kwa sababu wakaendelee na majukumu yao. Haya majibu yapo sawa au hayapo sawa?
MNYIKA: Yapo sawa. Ni sawa na kusema hii chupa ya maji ipo half full au half empty.
KATUGA: Unajua kwamba Mshtakiwa anashitakiwa kwa kutengeneza nia na kutoa hiyo nia kwa kuchapisha maneno kwa kuhamasisha umma kuzuia umma?
MNYIKA: Si kuchochea umma, no, kutishia Serikali. Na kwenye maneno yake sikusikia neno Serikali.
KATUGA: Kwa kuwa Mshtakiwa anashitakiwa kwa kutoa maneno, ni kweli kwamba aliyataja hayo maneno uliyotaja kusikia?
MNYIKA: Sikuyasikia mahususi.
KATUGA: Nilikuuliza tuhuma zake, ukasema unazijua. Unajua kwamba Mshtakiwa anashitakiwa kutoa hayo maneno?
MNYIKA: Sijui. Mimi najua ni kuchapisha.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema umeyathibitisha kwa ukweli kabisa na wewe ni mtu wa dini?
MNYIKA: Usitumie Busu la Yuda. Rudia swali lako vizuri.
[Nassoro Katuga anacheka.]
KATUGA: Kwa ushahidi wako ulisema uliyasikia maneno hayo yaliyotolewa na Mshtakiwa, yametolewa na Mwenyekiti wako?
MNYIKA: Nimeyasikia, lakini si yote yaliyo katika hati ya mashtaka.
KATUGA: Nitakuwa sahihi nikisema kwamba...
Hebu ikumbushe Mahakama, hii ulisema mliita waandishi wa habari. Walikuwa wakionekana au wakitega kamera kwa kificho?
MNYIKA: Walikuwa na microphone na kamera zao.
KATUGA: Sasa ni sahihi kwamba mzungumzaji alikuwa anajua wanachukua habari na kwenda kuchapisha?
MNYIKA: Si kila kinachochukuliwa kinaenda kuchapishwa.
KATUGA: Shahidi, unajieleza sana kama vile unaogopa.
MNYIKA: Siogopi, ila unauliza mambo yasiyokuwapo na unalazimisha niyakubali.
KATUGA: Mliwapa tahadhari kwamba wachapishe tu mnachowaruhusu. Mliwapa hiyo tahadhari?
MNYIKA: Hatukuwapa tahadhari kwa sababu tunaheshimu uhuru wa vyombo vya habari.
KATUGA: Mliwapa muhtasari kwamba Mwenyekiti anazungumza hili na hili?
MNYIKA: Hatukuwapa, na hilo nimeshajibu awali.
KATUGA: Nitakuwa sahihi kusema maana ya kuchapisha (publication), kwa mujibu wa sheria, maana yake ni kusambaza kwa mujibu wa sheria?
MNYIKA: Ulisema mimi ni layman, sijui.
KATUGA: Kwa hiyo unaweza kuchapisha na kusambaza?
MNYIKA: Si kila unachochapisha unaweza kusambaza.
KATUGA: Ndiyo tafsiri yako ya Form Six? Wamekutisha sana tatizo.
MNYIKA: Unafikiri unavyotishwa wewe serikalini ndiyo kila mtu anatishwa.
[Mnyika anacheka.]
KATUGA: Nyinyi mnataka taarifa iifikie umma. Na Jambo ni moja na chombo marafiki na CHADEMA. Ni kweli au kweli? Maana hapa Mahakamani kuna ushahidi kwamba Jambo TV ndiyo chombo pekee kinachotangaza habari za CHADEMA bila woga.
MNYIKA: Hilo silifahamu.
KATUGA: Ufahamu nini?
MNYIKA: Silijui hilo.
KATUGA: Kwa kuwa mliwaambia mlitaka habari iwafikie umma, nitakuwa sahihi kwamba kwa Jambo TV, kwa uhuru wake, kukubali kusambaza taarifa iwafikie umma, ilifanya kazi mliyotegemea kufikisha hotuba yake kwa umma?
MNYIKA: Sijaelewa.
KATUGA: Yeye aliulizwa alitaka hotuba yake ifikie umma?
MNYIKA: Sikuwapo.
KATUGA: Wewe pamoja na mambo mengine, ulitaka hotuba ifikie umma au hukutaka?
MNYIKA: Ilitaka ifikie umma pamoja na mambo mengine.
KATUGA: Kwa kuwa nia yako ni hiyo ya uhuru wa habari na haki, hiki chombo kilifanya kazi njema.
MNYIKA: Hiyo kazi njema sijaiona.
JAJI NDUNGURU: Jibu ni sahihi au si sahihi?
MNYIKA: Si sahihi, na sifahamu.
KATUGA: Mheshimiwa Jaji, samahani. Bado kuna maswali mengi na shahidi kasimama muda mrefu. Naomba tuhairishe Mahakama.
[Majaji wanateta.]
JAJI NDUNGURU: Mshtakiwa, unasemaje?
LISSU: Waheshimiwa, mimi sina pingamizi na kuahirisha mpaka kesho.
[Majaji wanaandika.]
*[Maafisa wa Magereza wanaingia kizimbani kwa ajili ya Mheshimiwa Lissu.]*9i
JAJI NDUNGURU: Shauri linahairishwa hadi leo saa 3 asubuhi.
Shahidi utaendelea kuwa chini ya kiapo.
Jitahidi kesho uwapo tena kuendelea na ushahidi.
[Majaji wanatoka.]