Wanaoongoza kuliwa, wanaoongoza kula JF...!

Wanaoongoza kuliwa, wanaoongoza kula JF...!

wanaoongoza kwa kula ni wajanja wenye uthubutu na mitandao wanaotumia akili na fursa kujitajirisha kupitia jasho la wengine.

Wao hutumia mbinu za kutapeli kwa kuuza ahadi hewa za mafanikio ya haraka, kama uwekezaji wa upatu na kazi za mchongo, ili kuwanasa watu wenye tamaa ya maisha ya mteremko.

Nao wanaoongoza kwa kuliwa ni wale wanaotafuta njia za mkato (short cuts) za kupata utajiri wa usiku mmoja bila kufanya kazi kwa uvumilivu.

Kwa uoga wao wa kuthubutu na kukosa uelewa wa michezo ya kifedha, huishia kuingizwa mjini na kupoteza mitaji yao yote kwa kulipa ada za haraka na kununua matumaini yasiyo na uhalisia.
Done!
 
Siamini,siwezi kuamini,na sitaki kuamini😂
Kweli tena, niliambiwa hakuna mjukuu ataweza kazi ya kuimba na maiki masaa 5 kuamsha kitu hakiamki hata akikesha anaimba tu 🤪🤭
 
Kweli tena, niliambiwa hakuna mjukuu ataweza kazi ya kuimba na maiki masaa 5 kuamsha kitu hakiamki hata akikesha anaimba tu 🤪🤭
😂😂😂😂😂😂,nyau weeeh, wapo wengi humu,nawaona.
 
😂😂😂😂😂😂,nyau weeeh, wapo wengi humu,nawaona.
Wako wapi hao, labda babu yenu sina bahati

Yaani kweli Mimi wa kutegemea joto la hizi Kiko nivutazo wakati kuna wajukuu humu 🤪

Kuweni na huruma na Wazee 🤭
 
Back
Top Bottom