mijinaume inayolalamika hovyo imepoteza sifa ya uanaume...shame on them
pointless kumbe wewe waumia mtu akijenga kwao? we sio mzima kabisaaa.. kwa hyo ukiwa na binti hutaki akujengee kisa kaolewa?
sema mkeo usiwachanganye wote..humu wanaume wa ukweli kibao wake zao wasomi na wanaheshimiana
Maneno mengi ila ukweli ndio huo mwanamke aliye soma ni shidaaaaaah
upeo wa mwanamke wa darasa la saba/4m4 hauwezi kulingana na aliefika degree wanaume semeni mnaogopa challenge tu
Yani kweli kuna umuhimu wa kurudisha jando, wanaume mmesahau wajibu wenu....
Kwanza hamna kuoana, mwanaume anaoa na mwanamke anaoleawa....mwanaume ndo mtenda na ana wajibu wa kumtimizia kila kitu mkewe....
Hebu fikiria, tunaamka asubuhi tunaenda wote kazini, nirudi nikupikie, nikufanyie usafi, usiku unimong'onyoe, tena kwa kunibinua staili zote, na huku unataka mauno ya kufa mtu.....mimba nibebe mie na kwa uchungu nizae....
Mimi ndo niangalie watoto na kutunza nyumba...we ukitoka kazini unapitia baa au unarudi nyumbani uko busy na tv....
Halafu mwisho wa mwezi unausarandia mshahara wangu.....hahaaaa!
mie kila siku babangu alikuwa ananiambia mwanangu soma usije kunyanyasika kwa wanaume.....yaan nlikuwa napiga buku ka sina akili nzuri kila nilipokuwa nikikumbuka maneno yake
mwanamke wa darasa la saba au form iv failure hawafai? nawashauri wanawake hao hawafai kwa maisha ya sasa. mwanaume ukikwama kidogo,labda kazi kusimama jua na wewe na watoto wako mmekwama, bora ukwame wewe. ila watoto wanakuwa machokoraa au makahaba, cha muhimu sasa ni kusikilizana na kusaidiana majukumu zama za kuowa mwanamke kwa kazi moja tu ya kutanua miguu imepitwa na wakati.
wanawake hao ndio wale hata vitu vya kisasa unakuta kaharibu ni headache. wengi wameshindwa nawashauri oweni wanawake wanaojitambua wenye elimu ya kutosha na mnapendana. usiowe mwanamke kwa ajili ya kunyenyekewa huko kunyenyekewa kutakugarimu
Hizi degree na mambo ya 50/50 na wanawake kujifanya na wako watafutaji na vidume kujifanya ukisasa na kudai eti unaoa ili msaidiane majukumu ya kutunza familia hasa ktk kutafuta mahitaji ya familia ni ujinga kabisa kwa mtu anayetambua kazi za Mungu maana Mungu hana ukisasa wala ukizamani na kwa kufanya hivi mara nyingi tunamkosea Mungu sana kwamba Mungu alikukosea kukupa hayo majukumu...kumbuka hilo si jukumu la mwanamke tangu enzi za akina adamu majukumu ya mwanamke yanafahamika na ya mwanaume yanafahamika sasa sisi kwa kujitia upofu na kujivika ukisasa ndio maana siku hizi maadili yapo hovyo kabisa maana yake mama ni kama baba na baba ni kama mama wote wapo bize hakuna ata mmoja anayeweza kufuatilia familia yake kwa ukaribu muda mwingi familia ipo na house girl unashangaa tu mtoto wako wa kiume ni shoga yaani mambo yapo shagharabaghara hovyo hovyo bora liende akina sie tunajificha katika kivuli cha ukisasa mmh maana mwanamke nae siku hizi anauwezo wa kuoa yaani na yeye ana nyumba ndogo(serengeti boy) kaipangishia uko na anaisomesha. Mungu atusaidie kwa kweli eti kidume kabisa unasema naoa msomi ili nikifirisika yeye ndio aiendeshe familia financially duh kweli nimeamini ndio maana ushoga siku hizi unakuja kwa kasi zote watu hawajiamini na ni waoga mno
Uko sahh kbsa mkuu yan mwanaume unakua muoga wa majukum yako mbka unaboa sifa ya mwanamke mbka kwenye maandko wameandka kua mke ni mtu wa kulea familia
sijui lengo nini maana wengine tumeoa hao wenye elimu kubwa zaidi na wanaheshima hamna mfanowe....sijui lakini mtazamo wako!
Mi sijibizanagi na vitoto..Nataka nimprove wrong babako mwenye tabia ya kuwanyanyasa wanawke kisa hawana elimu.
Mie nakuoa na ninakunyanyasa kama kawaida.
Na ndo mana mnashindwa kunyenyekea mwanaume mana mnajiona kama manyanyaso kwako.
Kutii mmeo hakuna ni manyanyaso
Tokea kuumbwa kwa dunia Mungu alimuumba adam akaona si vema kua peke yake akamuumba msaidizi kupitia ubavu wa adam
Sasa basi dunia imelaniwa kutokana na ahadi y Mungu walivunja na Mungu akasema mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu.
Matukio makubwa yakutisha wanawake wamekua wakishiriki kutokana na ushawishi walio nao asilimia 80 ya wanaume wamekua wakipendwa na wakwe %20 wakichukiwa
WAnawake walio olewa asilimia 95 wakichukiwa na ndugu wamume wakiogozw na mawifi.
Haya yote yanatokea kwa kua wanaume wamepoteza urijali hadhi msimamo
Mwanaume kamili n yule mwenye uwezo wa kujali familia na mwenye kuhakikisha wato wote waliochini yake wana haki sawa mkubwa aheshimu mdogo na mdogo aheshimu mkubwa usitke kueshimiwa wakati wewe umepoteza uwezo na huna heshima.
Familia bora mwanaume ukifika ndani usiwe unakimbilia kumkumbatia mkeo wakati kafanya madudu ndani muulize watoto wamekula watoto nao waulize kama unajua msosi upo tena umeleta wewe mulize nichangieni mb nimalizie...........