Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Teh teh kuna mahali jamaa aliandika mwanamke akisoma hadi papuchi yake inaelimika!!!

Hahahaaaaa!! Hamna lolote uoga wenu tu, mwanaume ana nguvu sn kwa mwanamke, ukiwa legelege mpaka unalalamika mwanamke cjui kakupanda kichwani ujue umepoteza sifa ya kuwa mwanaume.
 
Hahahaaaaa!! Hamna lolote uoga wenu tu, mwanaume ana nguvu sn kwa mwanamke, ukiwa legelege mpaka unalalamika mwanamke cjui kakupanda kichwani ujue umepoteza sifa ya kuwa mwanaume.

Sista na ww bana! mi simaanishi hii bana, hii si nimekopi tu ya mtu, soma yangu original pale #1126
 
unajua shida inaanzia hapaaaaa.
mwanaume kuwa na inferiority complex wewe mwenyewe unaanza kujiangalia kinyonge utanaka uangaliwaje?mimi niliolewa mume wangu akiwa std 7 liva na mimi graduate,ila nilimwambia umaridadi unaficha ufukara tena urafiki utaepusha mtu watatu kuja kutuvuruga hivyo alipoanza kuwaza mauzauza nilimwambia nina degree na wala sina plate.number pia huna na wala huna plate.number hivyo hakuna mtu mgeni atauliza hali yako ya shule.sasa zaidi ya miaka mitano ndoani alifanya qt,2 years,certificate 1yr,diploma 2 year,degree sasa hivyo kuoa mwanamke aliekuzidi sio ishu ukimpenda atakuheshimu.
jiulize kinachokufanya uwaze darsa la 7 na form 4?ili umtukana kwamba hana akili au shule tatizo?hiyo nimoja ya inferiority complex behavior
 
unajua shida inaanzia hapaaaaa.
mwanaume kuwa na inferiority complex wewe mwenyewe unaanza kujiangalia kinyonge utanaka uangaliwaje?mimi niliolewa mume wangu akiwa std 7 liva na mimi graduate,ila nilimwambia umaridadi unaficha ufukara tena urafiki utaepusha mtu watatu kuja kutuvuruga hivyo alipoanza kuwaza mauzauza nilimwambia nina degree na wala sina plate.number pia huna na wala huna plate.number hivyo hakuna mtu mgeni atauliza hali yako ya shule.sasa zaidi ya miaka mitano ndoani alifanya qt,2 years,certificate 1yr,diploma 2 year,degree sasa hivyo kuoa mwanamke aliekuzidi sio ishu ukimpenda atakuheshimu.
jiulize kinachokufanya uwaze darsa la 7 na form 4?ili umtukana kwamba hana akili au shule tatizo?hiyo nimoja ya inferiority complex behavior

Baambie
 
Usiogope elimu za siku hizi hizi za BRN unaogopa kweli
 
Mbona hiyo ya 1126 ni ya noel siyo yako?? Au kwangu namba ziko tofauti?

Nadhani huko kwako mpangilio ni tofauti, ila hii hapa naipesti, ikikugusa kumoyo shauri yako usinilaumu!!

Tatizo ni approach mnayotumia mkuu, mi naamini wanawake karibia wote (la saba sijui digrii) wana mitazamo mingi inayofanana, wana tabia nyingi zinazofafana, na pia wana priorities nyingi zinazofanana wakiwa ktk mapenzi ya kawaida au wakiwa ndoani, sasa ni jukumu la mwanamume kum-mold mke wako awe vile unavyotaka, sasa ukiona umefeli badili approach au ongeza approach juu ya approach nyingine. Sometinmes diplomasia peke yake haiendi. Wasomi wengi wanalewa shule, so kwa diplomasia peke yake unaweza kukwama. Kama jambo ni la muhimu ktk ustawi wa ndoa yetu au familia yenu, lazima kama mwanaume ulilazimishe lifanyike au lisifanyike.

Mwanamke ukimsikiliza asilimia 100 mambo hayaendi mkuu, yakienda ujue mtaangukia mtaroni!! Mungu hakukosea alivyosema sisi ndo tuwaongoze, sema tatizo sisi wenyewe hewa tupu!!
 
Nadhani huko kwako mpangilio ni tofauti, ila hii hapa naipesti, ikikugusa kumoyo shauri yako usinilaumu!!

Tatizo ni approach mnayotumia mkuu, mi naamini wanawake karibia wote (la saba sijui digrii) wana mitazamo mingi inayofanana, wana tabia nyingi zinazofafana, na pia wana priorities nyingi zinazofanana wakiwa ktk mapenzi ya kawaida au wakiwa ndoani, sasa ni jukumu la mwanamume kum-mold mke wako awe vile unavyotaka, sasa ukiona umefeli badili approach au ongeza approach juu ya approach nyingine. Sometinmes diplomasia peke yake haiendi. Wasomi wengi wanalewa shule, so kwa diplomasia peke yake unaweza kukwama. Kama jambo ni la muhimu ktk ustawi wa ndoa yetu au familia yenu, lazima kama mwanaume ulilazimishe lifanyike au lisifanyike.

Mwanamke ukimsikiliza asilimia 100 mambo hayaendi mkuu, yakienda ujue mtaangukia mtaroni!! Mungu hakukosea alivyosema sisi ndo tuwaongoze, sema tatizo sisi wenyewe hewa tupu!!

Hapo kweli ulinena haswaaaa!! Ni kweli kabisaaaa, hao wanaotaka sijui drs la saba ni ili tu wawaonee, i hv a frnd married to std 7 aisee anajuta hatari, haya mambo hata hayana formula, mie hao degree holders nawaona wengi tu wameolewa, waweza oa huyo drs la saba wako akakupasua kichwa vilevile.
 
Hapo kweli ulinena haswaaaa!! Ni kweli kabisaaaa, hao wanaotaka sijui drs la saba ni ili tu wawaonee, i hv a frnd married to std 7 aisee anajuta hatari, haya mambo hata hayana formula, mie hao degree holders nawaona wengi tu wameolewa, waweza oa huyo drs la saba wako akakupasua kichwa vilevile.

Exactly sista
 
Asante shosti. Sasa kama mwanaume amekaa hapo anashangaa na hataki kuongoza maisha na mie ninyooshe miguu tushangae wote? Anyways, mwana ke mwenye akili nae anatamani mwanaume mwenye akili kumzidi, sio ubabe usiokuwa na maana

Thank you for your comment.LAKINI MIMI SIO SHOSTI
 
Wenye degree hamfai na degree zenu.

Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .

Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu.

Mtazalishwa, mtalea watoto, mtadanganywa na hamtaolewa.

Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.

Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?

Wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.

Khe khe khe dah...
 
I guess wewe ni darasa la saba. Msomi hawezi kuandika utumbo huu
Wenye degree hamfai na degree zenu.Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu. Mtazalishwa, mtalea watoto, mtadanganywa na hamtaolewa. Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?Wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
 
Wanawake wenye ajira serkalini 98% na wenye DEGREE 99% lao ni moja tu.

NDOA NI ZA DRS 7 NA F4,
WENYE DGRII WANA VIBURI UTAFIKIRI WANA IC KWENYE IC, WANAOLEWA NA DGRI ZAO!

MIFANO IPO MINGI TU!
 
mke mfanyakazi lazima uchangie kwasababu hata mume kuna huduma nyingi anazikosa kutokana na wewe kuto shinda nyumbani na hata mambo ya usiku kwa mke mfanyakazi mara nyingi huwa hayana raha, mfano unakuta wife katoka kuwakiwa na bosi lake mchana kutwa yaan hata akirudi home akili yake haijatulia au unakuta kashapata loss anasubiri mwisho wa mwezi akatwe mshahara hapo ndio hata hamu na wewe hana, tena usiombee ukute na ana mapruducts ya allovera ni full kiguru na njia yaan hamuonani na hata ukuwa nae full masimu kutafuta watu wa kuwaunga

nimecheka sn mkuu
 
Nakuunga mkono mtoa post
 

Attachments

  • 1435470582536.jpg
    1435470582536.jpg
    45.8 KB · Views: 240
Mkuu...matatizo kama haya yanawakuta watu walio less confident

Kutokujiamini kwa mwanaume ni tatizo

Au kuwa na Inferiority Complex ni tatizo

Binafsi mimi nikioa siangalii degree au diploma au darasa la saba

Naangalia tabia ya mtu.....

Kuna wanawake wengi tu ni wasomi na ni wake wazuri tu

Kuna wengine darasa la saba lakini unajuta........

Hii mentality ya kwenye mada hii ni ile ya kumweka mwanamke kama mtumwa na asiye na sauti kwenye familia...Kitu kilichopitwa na wakati

Mkuu kumbe hujaoa?! basi sawa haina shida.omba sana Mungu usipate mwanamke kimeo.utarudi hapa kubadili msimamo wako
 
Back
Top Bottom