Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Kweli kabisa wadegree hawafai
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu.
Mtazalishwa, mtalea watoto, mtadanganywa na hamtaolewa.
Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?
Wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
Weee chooo kabisa ! Mjinga mkubwa utabaki ivoivo! Kaowe la saba wako tatizo hujasoma unataka kuowa msomi
Weee chooo kabisa ! Mjinga mkubwa utabaki ivoivo! Kaowe la saba wako tatizo hujasoma unataka kuowa msomi
Mwanaume mjanja hawezi oa mwanamke msomi ni wasumbufu mkizinguana kidogo mnavunja familia wanawake wa kuoa ni darasa la saba na form four fullstop
Mwanaume mjanja hawezi oa mwanamke msomi ni wasumbufu mkizinguana kidogo mnavunja familia wanawake wa kuoa ni darasa la saba na form four fullstop
kweli wa degree mna challenge za kijingaupeo wa mwanamke wa darasa la saba/4m4 hauwezi kulingana na aliefika degree wanaume semeni mnaogopa challenge tu
Degree za BRN zisiwasumbue akili jamani. Bora wale waliosoma zamani hawa wa kuanzia 2013 hawa taabu tupu
Mmmh bado na mashaka na upeo wa mwanamke mkuu usimuamn sana mwanamke
Mmmh bado na mashaka na upeo wa mwanamke mkuu usimuamn sana mwanamke
Degree za BRN zisiwasumbue akili jamani. Bora wale waliosoma zamani hawa wa kuanzia 2013 hawa taabu tupu
mkuu degree za BRN bado ndo zinataraji kuingia mwaka wa pili mwezi wa kumi
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu.
Mtazalishwa, mtalea watoto, mtadanganywa na hamtaolewa.
Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?
Wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.