Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

mimi wa darasa la saba na form 4 nn kuoa hata kuongea nae tu siwez zaid ya salam tu mana naona hata mitazamo tupo tofauti kwanza wanakuaga na uswahil mwngi sana. wengine ndio tunawapenda hao wnye degree zao. darasa la saba na form 4 wataolewa na walokataa shule wenzao na vinuka mkojo wenzao mana ndio wanaendana nao. kla mtu na chaguo lake. nani anataka kuzaa watoto vilaza! kilaza na kilaza mwenzie hata vitabu vya dini vimesema hvyo 😛uke:

Heheheheheiiyaaaa....
 
Ah wapi tena huyu utamkuta mkali kweli kwa binti yake na dada zake kuhusu maswala ya shule.......hapa anasema tu....ulimwengu huu binti aishie la saba...ama form iv.....ni wazazi wachache sana wanafanya huu upuuzi wengi wao.....wanakazana wawezavyo kuwasomesha binti zao.....

mie kila siku babangu alikuwa ananiambia mwanangu soma usije kunyanyasika kwa wanaume.....yaan nlikuwa napiga buku ka sina akili nzuri kila nilipokuwa nikikumbuka maneno yake
 
Mkuu watoto wenu mnao wasomesha wataolewa na akina nani kama mnaendeleza kampeni ya wanawake walio soma wasiolewe muwaonee huruma hata wao wanahitaji wanaume wa kuwa sitili kama mwanaume unavyo tafuta mwanamke wa kuku sitili cha msingi ni kuwapa elimu ya uchamungu na kutofautisha elimu zao na ndoa watafanya zinaa mpaka lini, watatembea uchi mpaka lini sikuyamwisho tutajibu sisi wanaume mwanaume umepewa daraja kubwa na mungu mbele yao mambo wanayo yafanya kwa kiasi kikubwa tunachangia sisi wenyewe tumesahau majukumu yetu na ndo maana siku ya mwisho lazima tujibu wajibu mkubwa ulio pewa ni kumsimamia vilivyo awe mcha mungu akiwa mcha mungu mitihani tunayo ijadili juu yao isinge kuwepo swala la haki sawa sisi wenyewe ndio tunalisapoti wakidai wanamakosa? Na mungu hakuliweka mungu ni mjuzi zaidi yetu haya tunayo lalamika sasa hivi aliyaona na ndo mana hakuanzisha wala kuzungumzia swala la usawa wa jinsia cha msingi sisi wenyewe kwanza tuwe wacha mungu afu ndo tuwakalie vilivyo na wao wawe wachamungu tukifanikiwa hata uwe umemaliza chekechea yeye ni zaidi ya profesor atakunyenyekea ili apete radhi za muumba wake
tusali tupige magoti
 
Umeandika hii thread ukiwa umejifungia chumbani na unalia kwa kuachwa nini? Hivi bado unaishi kwenye karne gani vile? Endelea na mawazo yako mgando alafu tutakuja kukumbusha siku na hii thread yako.

Huyu kaachwa wiki hii...haina haja ya kuumiza kichwa. Tena sababu ni kuwa na kibamia plus division five ni sheeedah
 
na wanaume wanaopenda kulalamika wengi wanatabia za kike na wanaliwa kiboga ka mizoga...wanawake wasomi wanajitambue hawaendekezi ufala tena wanatunza familia bila kuteteleka

Hakuna wanawake wasio jitambua kama walio soma
 
Huyu mtu hajielewi, atakua ameshachanganywa na alikurupuka ndio wanaanza kuongea vitu kama hivyo.
Viol kunywa maji baridi.
umeona eh Bebz...!
 
Last edited by a moderator:
kweli kabisa huwezi kulioa janamke lina masters yake halafu ukampangia sheria nyumbani akakubali atataka kila kitu haki sawa
unajiolea zako wa 4m4 tabu hana yeye ndio mzee we ndio baba ake baby wako na kila kitu nyie wenye degree subirieni 30's huko mdandie waume za watu a.k.a michepuko

Mkuu, ina maana ukioa huyo la saba/F4 na mkabahatika kupata mtoto/watoto wa kike, utawasomesha hadi form 4 mwisho?
 
Waache tuwa someshe, ila wawe na heshima na busara kwa waume zao. No matter what? Elimu au kipato, nivitu tofauti linapokuja swala la mapenzi. Mukiangalia sasa hivi, with education kuja kwa kasi, ndivyo hivyo gharama za haru zimeongezeka, si ndoa za kisomi na ndivyo hivyo, taraka zimeongezeka.
 
tatizo sio kuwamiliki hawa tunawamiliki kama michepuko yetu sio kuweka ndani ni majanga hawa wajuaji sana kila kitu kushindana wanapenda haki sawa ila kodi ya meza hawahusiki anajenga kwao

Si wote banhaaa.Mwanaume kumuhudumia mwanamke ni wajibu wake vinginevyo labda uwe mariyooo ndo utalalamika mpk povu likutoke.Na pia inategemea na maelewano ndani ya nyumba kama mi siujui mshahara wako ni sh ngapi why nikuoneshe wangu?
 
Huyu kaachwa wiki hii...haina haja ya kuumiza kichwa. Tena sababu ni kuwa na kibamia plus division five ni sheeedah

heee heee unalo bibi we! bora mie mwanamke na degree yangu kuliko we mwanaume na tigo yako haina rinda..shutuuu

Tatzo shule imepita kushoto sio kosa lako poleeee


mkishindwa hoja ndio mnaanza kejeli
ha ha ha ha ha ha ha
tutaoa darasa la saba na 4m4 sio magubegube yenye degree
 
Back
Top Bottom