Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

hatari tupu yeye ni sheria sheria na yeye kwa hili kabila ndio kabisaa

Ukute nawewe pia mwanasheria mkifika ndan napo sheria, utaanza kupangiwa hata tunda ukule kwa sheria, jamani nyie achani wanaume tuwe makin ktka kuoa,,

Rafiki yangu kamuacha mke tena msomi kisa hii ratiba ya kazi wote wanatoka na kurudi hm mwisho mwanamke kaanza kumwambia mke wake ukiwahi kufka pika chakula,, jamaa kuona hvo kamuulza hv kati yangu na ww nan kamuoa mwenzie, Mke kasema TUMEOANA, aaayAaaaa jamaa alipaniki balaa sa iv hawaishi pamoja japo ndugu wanafanya jitihada za kuwaunganisha tena!!

Best angu amekataa kabisa kurudiana nae na hataki tena kuoa mwanamke mfanyakazi.. Kazi kwenu wa dada...
 
Ukute nawewe pia mwanasheria mkifika ndan napo sheria, utaanza kupangiwa hata tunda ukule kwa sheria, jamani nyie achani wanaume tuwe makin ktka kuoa,,

Rafiki yangu kamuacha mke tena msomi kisa hii ratiba ya kazi wote wanatoka na kurudi hm mwisho mwanamke kaanza kumwambia mke wake ukiwahi kufka pika chakula,, jamaa kuona hvo kamuulza hv kati yangu na ww nan kamuoa mwenzie, Mke kasema TUMEOANA, aaayAaaaa jamaa alipaniki balaa sa iv hawaishi pamoja japo ndugu wanafanya jitihada za kuwaunganisha tena!!

Best angu amekataa kabisa kurudiana nae na hataki tena kuoa mwanamke mfanyakazi.. Kazi kwenu wa dada...

kama unaoa msomi kazi aache awe anashinda nyumbani tu sio elimu yake imsaidie pale atakapokuwa single sio ndani ya ndoa na sheria za kijinga
Viol ushuhuda huu hapa
 
Last edited by a moderator:
Hapa sikuungi mkono hata kidogo. Kwa upuuzi huu wanawake mtaendelea kuzichukia ndoa mpaka mbadilike.
 
Mtoa mada naku unga mkono tunao mitaani huku wanawapiga majungu wenzao wenye ndoa
 
Naona ni ujinga tu wa mwanaume asiyejiamini,
yaani mzazi wangu atumie pesa yake kunisomesha leo nimepata kazi nimuache aendelee kuishi kwenye tembe!!

Basi usiolewe kaa uwatunze wazaz wako itakua bora xana
 
Hao hao wa la saba na form 4 mnaishia kuwanyanyasa na kuwaona hawana mchango wowote,wakifanya kitu cha tofauti mnaishia kuwadharau,mmezoea eeh... wasomi wameelimika na hawawez kukubali na cdhani watapenda kunyanyaswa wakati wengine wamesoma kwa shida,kuheshimiana na kupendana nd mambo muhim..
 
wanawakd wasomi wana nafasi zaidi y kuolewa kuliko wasio soma lakini maajabu n kuwa ndoa nyingi ni za wasio na shule,wanajua kuheshimu,wanajua kulinda mapenzi,hawa wasomi huwez hata kusikia wanapanga la maana zaidi ya mitoko,aibu yenu

na ukiwachunguza waliokwenda beijing wote...utaona jinsi shule zinavyoharibu hii taasisi yando
 
wanawakd wasomi wana nafasi zaidi y kuolewa kuliko wasio soma lakini maajabu n kuwa ndoa nyingi ni za wasio na shule,wanajua kuheshimu,wanajua kulinda mapenzi,hawa wasomi huwez hata kusikia wanapanga la maana zaidi ya mitoko,aibu yenu

na ukiwachunguza waliokwenda beijing wote...utaona jinsi shule zinavyoharibu hii taasisi ya ndoa kwa wanawake...
 
Hii mada ina kaukweli aisee.. wanawake wenye degree ni pasua kichwa sana., Wanajifanya wajuaji sana., muda wote facebook, sijui ig.
 
Hao hao wa la saba na form 4 mnaishia kuwanyanyasa na kuwaona hawana mchango wowote,wakifanya kitu cha tofauti mnaishia kuwadharau,mmezoea eeh... wasomi wameelimika na hawawez kukubali na cdhani watapenda kunyanyaswa wakati wengine wamesoma kwa shida,kuheshimiana na kupendana nd mambo muhim..

pitia thread utaona shuhuda za watu wengi kuhusu wanawake wafanyakazi
 
acheni uwoga wa bure mwanamke ata awe na elimu gani hapa duniani mwesho wa siku all she will do is spread legs simple wala usiogope . na ukishindwa dominate a woman u aint a man enough

Wanaoongoza kwa michepuko ni wale wanaotafuta wanaume wanaoona ndio wa level yao.
 
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...

Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....

Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....
hizi ndoa za kutesa watoto wa wanawake wenzenu nani anataka?....kama ni ukweli unafanya hiyo kweli umemshika masikio huyo ''baby'' wako!
 
hizi ndoa za kutesa watoto wa wanawake wenzenu nani anataka?....kama ni ukweli unafanya hiyo kweli umemshika masikio huyo ''baby'' wako!

yaani huyo ni box eti hadi nauli ya kwenda kazini kwako nikupe mimi?
kwa nini asibaki nyumbani kulea watoto ??
shenzzzyyyy
 
Back
Top Bottom