Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

mwanamke atawaacha wazazi wake na tazama sio wawili bali wamekuwa mwili mmoja
hayo ndio maandiko au uko kinyume na maandiko ?
naomba ukarudie maandiko yanasemaje, maana mm nijuavyo ni mwanaume ndiye anayeacha wazazi wake na si mwanamke. Pls Pls katizame vizuri maandiko.
 
naomba ukarudie maandiko yanasemaje, maana mm nijuavyo ni mwanaume ndiye anayeacha wazazi wake na si mwanamke. Pls Pls katizame vizuri maandiko.

Marko 10:7-9 Kwa sababu hiyo mtu
atamwacha babaye na mamaye,
ataambatana na mkewe;
8 na hao wawili watakuwa mwili
mmoja; hata wamekuwa si
wawili tena, bali mwili mmoja.
9 Basi alichokiunganisha
Mungu, mwanadamu
asikitenganishe.
 
hivi kumbe ukweli unauma hivi ?
ha ha ha ha ha ha ha
wanaume wenyewe unawatukana mtakuwa michepuko yetu ya kudumu kwa kuwa sisi ndio tunaoa haina shida

shenzyyy kabisa wanawake wenye degree zao

hahahahaaaa,,, huo mstari wa mwisho nmecheka sana...
Tena watakoma kweli. Kwasababu ss ndio tunaochagua
 
naomba ukarudie maandiko yanasemaje, maana mm nijuavyo ni mwanaume ndiye anayeacha wazazi wake na si mwanamke. Pls Pls katizame vizuri maandiko.

Soma hapa! Mwanzo 2;21-24
-Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,

22--na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.

23--Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.

24--Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
 
Soma hapa! Mwanzo 2;21-24
-Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,

22--na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.

23--Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.

24--Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


Nashukuru kwa hayo maandiko nilipopataka mm ni hapo kwenye Red nafikiri anatakiwa MO11 apaone.
 
[/COLOR][/SIZE]

Nashukuru kwa hayo maandiko nilipopataka mm ni hapo kwenye Red nafikiri anatakiwa MO11 apaone.

Unafahamu kwenye sensa wayahudi wanawake hawahesabiwi? Soma kwa makini utaelewa.
 
[/COLOR][/SIZE]

Nashukuru kwa hayo maandiko nilipopataka mm ni hapo kwenye Red nafikiri anatakiwa MO11 apaone.
Unapotamka Mwanaume, haiwezi kukamilika Mpaka mwanamke awepo, hvyo amri ya kuwaacha wazazi haikuwa kwa mwanaume tu ila na mwanamke, Ndiyo maana wanakuwa mwIli Mmoja baada ya(tendo la NDoa) ndan ya NDOA..
 
Wanaume wanaosuport hii thread ni walala hoi wasio na mbele wala nyuma.kama wamesoma sana wana diploma.wanatamani wake wenye degree sema wana inferior complex.wanajihisi wenyewe hawana hadhi.poleniiiiii.mtabaki kuona wanawake wakichukua viti maofisin tuu.na bado mtalia sanaaaa
 
[/COLOR][/SIZE]

Nashukuru kwa hayo maandiko nilipopataka mm ni hapo kwenye Red nafikiri anatakiwa MO11 apaone.

umesahau wanawake walikuwa hawahesabiwi ??
 
Wanaume wanaosuport hii thread ni walala hoi wasio na mbele wala nyuma.kama wamesoma sana wana diploma.wanatamani wake wenye degree sema wana inferior complex.wanajihisi wenyewe hawana hadhi.poleniiiiii.mtabaki kuona wanawake wakichukua viti maofisin tuu.na bado mtalia sanaaaa

Hata mabosi wengi wake zao wanalea watoto nyumbani ila wafanyakazi wake wa kike ndio michepuko yao
pole dada
tungewaogopa msingekuwa mnalalamikia maryooo
 
Ndio maana nimesema umri makini wa kuoa ni around 30...
 
Wewe mo11 kajiendeleze.kasomeee uache kampeni za kijinga.maana hii kampeni mnayofanya hapa inaashiria jinsi gani hamjiamini..mwanaume kuogopa mke msomi ni kutojiamini..as know as dume koko
 
Wanaume wanaosuport hii thread ni walala hoi wasio na mbele wala nyuma.kama wamesoma sana wana diploma.wanatamani wake wenye degree sema wana inferior complex.wanajihisi wenyewe hawana hadhi.poleniiiiii.mtabaki kuona wanawake wakichukua viti maofisin tuu.na bado mtalia sanaaaa

acha hizo ww .... Ulitaka tusuport uozo wenu? Kilichoongelewa kwenye hii thread ni ukweli mtupu,,
wanawake wenye digree wamejaa dharau na majivuno na ukicheche hawafai kuwa wake.....
Kama huamin fanya uchunguz utone masingle mom wengi ni magraduate
 
Wewe mo11 kajiendeleze.kasomeee uache kampeni za kijinga.maana hii kampeni mnayofanya hapa inaashiria jinsi gani hamjiamini..mwanaume kuogopa mke msomi ni kutojiamini..as know as dume koko

ww bint sio kwamba hatujasoma tunaelim zetu na kaz zetu nzur tu. Ila wanawake waliosoma ndio hawafai......
Hata wakienda kuomba kaz sehem hupenda sana kuvuliwa chupi ili wapate kaz kirahisi
 
Wewe mo11 kajiendeleze.kasomeee uache kampeni za kijinga.maana hii kampeni mnayofanya hapa inaashiria jinsi gani hamjiamini..mwanaume kuogopa mke msomi ni kutojiamini..as know as dume koko

kwa nini nisome ?
nikasome nini ??
Nani aliyekwambia sijasoma ?
 
Wewe mo11 kajiendeleze.kasomeee uache kampeni za kijinga.maana hii kampeni mnayofanya hapa inaashiria jinsi gani hamjiamini..mwanaume kuogopa mke msomi ni kutojiamini..as know as dume koko

Siyo kuwaogopa hamna msaada wa maan ndani ya ndoa zaid matatizo na kujifanya na degree zenu
 
daaaa mtoa maada umeongea sana asilimia ya wanawake wasomi hawatambui majukumu yao wanataka haki sawa ingawa wao hawajui wajibu wao kwa hali hii watabaki kulea watoto tuuu
 
Back
Top Bottom