Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Hahahaha pole sana dada najua Umekatishwa tamaa ya ndoa datz y unaropoka.Ucjali ipo cku utampata mpenda vibovu kama ww,All the best

ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Huyu hata kama akiolewa na mpenda vibovu kama yy ni lazma atumike n then tupwa kule
mkuu hili linatukana kama mishangingi ya magomeni eti ndio wife material labda ya bia hizi ni michepuko material
 
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .

Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu. Mtazalishwa,mtalea watoto,mtadanganywa na hamtaolewa. Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.

Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?.......wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.

Huyo wa la7 utamtoa wap dunia ya sasa labda urud kijijn kutaft
 
Hahahaha pole sana dada najua Umekatishwa tamaa ya ndoa datz y unaropoka.Ucjali ipo cku utampata mpenda vibovu kama ww,All the best

chako je sio kibovu? maana naona unataka nikufanyie promo hapa...nimestuka sifanyi hiyo kazi
 
Huyu hata kama akiolewa na mpenda vibovu kama yy ni lazma atumike n then tupwa kule

hawa wengi wao huishia kuoa maana atataka kuolewa wa kuoa hakuna hiyo atatafuta mume wa watu atamsaidia wengi wa wanaowapata wanakuwa wameyumba kiuchumi maryoo ndio zao au wanakuwa michepuko material sio wife material
kwanza wengi wao sura mbovu shepu mbovu
 
hawa wengi wao huishia kuoa maana atataka kuolewa wa kuoa hakuna hiyo atatafuta mume wa watu atamsaidia wengi wa wanaowapata wanakuwa wameyumba kiuchumi maryoo ndio zao au wanakuwa michepuko material sio wife material
kwanza wengi wao sura mbovu shepu mbovu

hee heeee heee unaringia shepu na suraaa....kweli ww si rizki
 
Yani nimecheka hadi basi. Me ntaendelea tu kusoma kwa kweli.. So mnashauri watoto wa kike wasipelekwe shule au?
 
Umeshinda ww,but Jifunze kauli nzuri dada umri unakutupa mkono ohoo we haya tu
chako je sio kibovu? maana naona unataka nikufanyie promo hapa...nimestuka sifanyi hiyo kazi
 
Back
Top Bottom