Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Huwezi ku generalize bila research ....maximum we can do ni kila mtu aje na life history yake...

Tuache kuwashuhudia watu uongo...

Kwanza kwenye jamii hao wanawake wenye degree ni asilimia ngapi mpaka liwe tatizo????

Pole sana kijana..badilika kwani hata huyo std 7 wako usipokuwa makini utachapiwa tu na wauza genge na urembo...
Maana kwa tabia hii mkeo lazima ajute kukufahamu ndani ya mwaka...



hapa hatuongelei maisha ya mmoja mmoja tunaongelea maisha ya jamii kwa ujumla ndio maana kuna neno wengi wao ni pasua kichwa ndio maana tunatolea mifano ya wengi wao sio wote sasa wewe unavutia kwako unataka wote waishi kama unavyoishi wewe ?
una uhakika wanao wamekula vizuri mchana na hao mahaouse girl mnaowaachia ?
Hela yako na wewe unajenga kwenu au haki sawa ?
 
Hivi watoto unawaleaje au ndio housegirl ?
Maana mwa mujibu wa mwenzio kazini kutoka saa 11 mpaka home ni usiku asubuhi saa 11 upo barabarani hao watoto unawalea wewe au housegirl ?

acha kukariri wewe sio kila mtu anaamka saa 11 kwenda kazini na anarudi usiku kama hayo ndio maisha yako usidhai wengine wako hivyo.
 
Huwezi ku generalize bila research ....maximum we can do ni kila mtu aje na life history yake...

Tuache kuwashuhudia watu uongo...

Kwanza kwenye jamii hao wanawake wenye degree ni asilimia ngapi mpaka liwe tatizo????

Pole sana kijana..badilika kwani hata huyo std 7 wako usipokuwa makini utachapiwa tu na wauza genge na urembo...
Maana kwa tabia hii mkeo lazima ajute kukufahamu ndani ya mwaka...

mambo ya kuchapiwa ndio usioongee kabisa
mpaka unapata degree unakuwa na sugu huko chini hapa huwezi kukubali.
bado mabosi wale wa chuo kukumbushia viporo safari safari ndo usiseme
 
haki sawa ipo wapi ?
watoto wangu walelewe na house girl kisha mwisho wa mwezi hela haionekani.
kwa nini usibaki nyumbani ?

inaonekana unaoa kwaajili ya kupata pesa za mkeo na sio umempenda.
 
"Mafahari wawili kamwe hawawezi kukaa zizi moja."
Kuishi na mwanamke mwenye kaelimu kadogo "yataka moyo."
 
inaonekana unaoa kwaajili ya kupata pesa za mkeo na sio umempenda.
kwani wake wanatoa pesa zao?huwa zinaisha kwe urembo wa saloon,yaani hela zenu hata haina faida kwenye familia
 
acha kukariri wewe sio kila mtu anaamka saa 11 kwenda kazini na anarudi usiku kama hayo ndio maisha yako usidhai wengine wako hivyo.

ndio maana nikawaambia mnaigiza labda nikuulize wewe unaamka saa ngapi kwenda kazini.
maana ake mnajitenga hapa
 
Huwezi ku generalize bila research ....maximum we can do ni kila mtu aje na life history yake...

Tuache kuwashuhudia watu uongo...

Kwanza kwenye jamii hao wanawake wenye degree ni asilimia ngapi mpaka liwe tatizo????

Pole sana kijana..badilika kwani hata huyo std 7 wako usipokuwa makini utachapiwa tu na wauza genge na urembo...
Maana kwa tabia hii mkeo lazima ajute kukufahamu ndani ya mwaka...

ha ha ha!umenena
 
Comments kama hizi huwa zinanipa raha sana...te te te...

Pressure inasoma ngapi sasa hivi?

Mnalo hilo...ukute wewe ni yule subordinate wangu...

Hasira za kuongozwa na KE...te te te...

Ukija ofisini heshima...dharau kwa huyo STD 7 wako te te te

Kama una hasira andika barua ya ku resign ule jeuri yako...te te te


mambo ya kuchapiwa ndio usioongee kabisa
mpaka unapata degree unakuwa na sugu huko chini hapa huwezi kukubali.
bado mabosi wale wa chuo kukumbushia viporo safari safari ndo usiseme
 
Comments kama hizi huwa zinanipa raha sana...te te te...

Pressure inasoma ngapi sasa hivi?

Mnalo hilo...ukute wewe ni yule subordinate wangu...

Hasira za kuongozwa na KE...te te te...

Ukija ofisini heshima...dharau kwa huyo STD 7 wako te te te

Kama una hasira andika barua ya ku resign ule jeuri yako...te te te
utata.
 
mambo ya kuchapiwa ndio usioongee kabisa
mpaka unapata degree unakuwa na sugu huko chini hapa huwezi kukubali.
bado mabosi wale wa chuo kukumbushia viporo safari safari ndo usiseme

hata chuo chenyewe hujasoma ya chuoni utayajuaje? hao walimu na maboss wa chuo watatembea na wanawafunzi wote wa chuo watawamaliza? tatizo lenu hata kuoa hamjaoa na wala hiyo elimu hamna mnakazi ya kuongelea maisha ya watu ambayo hata hamyajui.Kama wewe hutaki msomi sawa oa asiye na elimu maana ndio umeona atakufaa.
 
Back
Top Bottom