Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Husband: I am head of the family.

Wife: I am the neck of the family, and neck turns the head exactly the way it wants. 😛😛😛
 
Wenye degree hamfai na degree zenu.

Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .

Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu.

Mtazalishwa, mtalea watoto, mtadanganywa na hamtaolewa.

Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.

Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?

Wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.

kwani we mtoa mada umeshaoa au unawasemea wenzako?
 
kama ninachopanga hataki tufanyaje?
naoa 4m4 kisha anakaa nyumbani na mahitaji yake yote nitatimiza sio asubuhi tuamke wote mwisho wa mwezi maumivu kwa mmoja hiyo no big NO

kwa hicho kimshahara cha laki 2 unachokitegemea lazima ukimbilie wa form 4
 
hii mada ni muhimu sana kwa akina dada wa kileo hasa wale waliobahatika kufika madarasa ya juu. Wengi wao ni jeuri kupindukia kwa waume zao. haya mambo ya kutafuta haki kupindukia yanawaharibu dada zetu. Ni afadhali wangeishia tu kudai haki zao kama kupendwa, mume kumjali na kumsikiliza lakini siku hizi wamepitiliza wanataka uhuru kupindukia wasiulizwe waendapo au watokapo kazini au matembezi, vikaoni, kichen party, n.k. halafu wao wanataka full control kwa waume zao, ni wakali wasiotaka ushauri na majibu ya hovyo. Nadhani talaka zitazidi sana kwa hawa wasomi wetu kadri siku zinavyoenda.
 
Form 4 au darasa la saba kama Aunt Eze....au Mrs. Tanzania aka actress aka mrs madini..? Haya mambo hayana formula,wewe omba Mungu upate Mke bora,Mtu kuwa na Elimu au kutokuwa nayo hakumfanya awe mke bora au mke mbaya, Kuna watu hawana elimu wanawasumbua waume zao ile mbaya, tena wengine wana elimu kubwa bado wanasumbluliwa na wake zao wasio soma

Hoja yako ni nzuri. Ila naungana na mtoa mada kuwa asilimia kubwa ya wanwake wasomi (sio wote ) ni jeuri ukilinganisha na wenzao wasiosoma (japo nao sio wote lakini asilmia kubwa wanajua kujishusha kwa mumewe)
 
sasa na wewe si ulete fact kukanusha ninayosema

mi mpaka sasa harusi zote za mtaani na maeneo mbalimbali nilizohudhuria wenye degree ndio wameolewa hao darasa la 7 na form 4 bado sijaona wakiolewa labda kijijini.
 
Back
Top Bottom