Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
mkishindwa hoja ndio mnaanza kejeli
ha ha ha ha ha ha ha
tutaoa darasa la saba na 4m4 sio magubegube yenye degree
Mke darasa la saba
Mchepuko degree......
mkishindwa hoja ndio mnaanza kejeli
ha ha ha ha ha ha ha
tutaoa darasa la saba na 4m4 sio magubegube yenye degree
mie kila siku babangu alikuwa ananiambia mwanangu soma usije kunyanyasika kwa wanaume.....yaan nlikuwa napiga buku ka sina akili nzuri kila nilipokuwa nikikumbuka maneno yake
sijui lengo nini maana wengine tumeoa hao wenye elimu kubwa zaidi na wanaheshima hamna mfanowe....sijui lakini mtazamo wako!
kila unachoambiwa na mpenzi wako heshimu
we mtoto hueleweki,ila basi tuuuuuuuuuuuu
Mke darasa la saba
Mchepuko degree......
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...
Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....
Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....
mijinaume inayolalamika hovyo imepoteza sifa ya uanaume...shame on them
Si wote banhaaa.Mwanaume kumuhudumia mwanamke ni wajibu wake vinginevyo labda uwe mariyooo ndo utalalamika mpk povu likutoke.Na pia inategemea na maelewano ndani ya nyumba kama mi siujui mshahara wako ni sh ngapi why nikuoneshe wangu?
acheni uwoga wa bure mwanamke ata awe na elimu gani hapa duniani mwesho wa siku all she will do is spread legs simple wala usiogope . na ukishindwa dominate a woman u aint a man enough
ndio utaozea nyumbani sasa!!!
Mke darasa la saba
Mchepuko degree......
Mkuu, ina maana ukioa huyo la saba/F4 na mkabahatika kupata mtoto/watoto wa kike, utawasomesha hadi form 4 mwisho?
Mamy tumekumisije kwenye kijiwe chetu....
Na dhumuni la mchepuko ni kuondoa stress njia kuu.....sasa mchepuko una degree na yeye degree zamsumbua sasa sijui anafwata nini uko.....kha