wakivurugwa wanakimbia huku kutoa tress zao
Huo ni uoga usiokuwa na tija. Wanawaacha dada za watu wanabaki kuchukuliwa na ma driver taxi, fundi magari, fundi umeme, fundi ujenzi nk. Mwanaume sifa ya kwanza kujiamini.
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu. Mtazalishwa,mtalea watoto,mtadanganywa na hamtaolewa. Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?.......wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
point.mbona unaongea kama unaigiza ?
hivi wanawake wa kufanya unayosema wewe wa elimu sio wapo wapi?
ooooh nimechoka kazi nyingi ofisini
ukichelewa kurudi foleni
kupika wengi wenu hamjui
magogo kitandani
kila kazi msaidizi hata kufua kwa mikono wengi wenu hamjui
bado mnataka kuolewa
kisha hela ya.mshahara haionekani
bora ubaki nyumbani uhudumie mume tu
point ni kwamba hamhesimu wapenzi wenuPoor u!!kumbe una mawazo mgando kisa hiki?Degree inahusika vipi na kuwa wife material?.Wanaume wenye mawazo km wewe basi hawajakamilika.Utaogopaje kuoa mwanamke mwenye degree ebu kuwa mwanaume jiamini.
Poor u!!kumbe una mawazo mgando kisa hiki?Degree inahusika vipi na kuwa wife material?.Wanaume wenye mawazo km wewe basi hawajakamilika.Utaogopaje kuoa mwanamke mwenye degree ebu kuwa mwanaume jiamini.
sijui lengo nini maana wengine tumeoa hao wenye elimu kubwa zaidi na wanaheshima hamna mfanowe....sijui lakini mtazamo wako!
umefika umri wa kubalehe
hivi kumbe ukweli unauma hivi ?
ha ha ha ha ha ha ha
wanaume wenyewe unawatukana mtakuwa michepuko yetu ya kudumu kwa kuwa sisi ndio tunaoa haina shida
shenzyyy kabisa wanawake wenye degree zao
Sio kweli.....
mimi wa darasa la saba na form 4 nn kuoa hata kuongea nae tu siwez zaid ya salam tu mana naona hata mitazamo tupo tofauti kwanza wanakuaga na uswahil mwngi sana. wengine ndio tunawapenda hao wnye degree zao. darasa la saba na form 4 wataolewa na walokataa shule wenzao na vinuka mkojo wenzao mana ndio wanaendana nao. kla mtu na chaguo lake. nani anataka kuzaa watoto vilaza! kilaza na kilaza mwenzie hata vitabu vya dini vimesema hvyo 😛uke:
point ni kwamba hamhesimu wapenzi wenu
Tatzo shule imepita kushoto sio kosa lako poleeee
kubali basi nikuoe mke wa mtu,lol