Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

wacha wafu wazikane...mwanaume anashinda kijiweni mwanamke anashinda kibarazani anaimba taarabu.

wewe ndio unatabia za kiswahili katukana watu usiowajua
 
wanaume wenyewe wa siku hizi wavivuuuu....unaondoka kwenda kazini unamwacha amelala, unarudi unakuta ndo anaamka anakuuliza leo tunakula nini. sasa mtu na degree yako hiyo si ni headache tu, ni heri uolewe na hiyo degree au masters walau itakuletea maendeleo kuliko hao ma-looser!

haaa haaa eti ma looser!!
 
Elimu haiwezi kumfanya mtu kukosa heshima....malezi ndiyo kila kitu.....ukiwa na malezi mazuri heshima itakuwepo haijalishi una elimu ama hauna.....
umeolewa?
 
Asilimia kubwa ya wasomi wanawake wasumbufu. Unaposema ulisomeswa, kwani mie sijasomeswa na wazazi wangu? Hio sio hoja ya msomi. Tatizo kukosa heshima na jeuri. Angalieni, wote walio anzisha vima NGO vya kutetea haki za wanawake, asilimia kubwa, wameachwa na waume zao. Na wana hasira mno na kila mwanaume, wana shindwa kujiangalia walipo jikwaa, wako bize kuangalia walipo angukia, yani kulaumi wanaume na mila na desturi zetu. They are failures in life.
 
U
Umefikiria vyema basi binti zako wote, dada zako wote usiwapeleke shule kabisa hao wasiposoma ndiyo waatakuwa na market nzuri zaidi katika soko la kuolewa

Ah wapi tena huyu utamkuta mkali kweli kwa binti yake na dada zake kuhusu maswala ya shule.......hapa anasema tu....ulimwengu huu binti aishie la saba...ama form iv.....ni wazazi wachache sana wanafanya huu upuuzi wengi wao.....wanakazana wawezavyo kuwasomesha binti zao.....
 
Kwa maana hiyo Viol washauri dada zako wasisome ili waolewe mapemaaa na maprofesor, na hata binti zako usiwasomeshe; sawa eeee!
 
Last edited by a moderator:
Asilimia kubwa ya wasomi wanawake wasumbufu. Unaposema ulisomeswa, kwani mie sijasomeswa na wazazi wangu? Hio sio hoja ya msomi. Tatizo kukosa heshima na jeuri. Angalieni, wote walio anzisha vima NGO vya kutetea haki za wanawake, asilimia kubwa, wameachwa na waume zao. Na wana hasira mno na kila mwanaume, wana shindwa kujiangalia walipo jikwaa, wako bize kuangalia walipo angukia, yani kulaumi wanaume na mila na desturi zetu. They are failures in life.
thanks,saluti,umeongea madini
 
tuko pamoja mkuu,michepuko wenye degree,wake zetu la saba au form 4

Mkuu watoto wenu mnao wasomesha wataolewa na akina nani kama mnaendeleza kampeni ya wanawake walio soma wasiolewe muwaonee huruma hata wao wanahitaji wanaume wa kuwa sitili kama mwanaume unavyo tafuta mwanamke wa kuku sitili cha msingi ni kuwapa elimu ya uchamungu na kutofautisha elimu zao na ndoa watafanya zinaa mpaka lini, watatembea uchi mpaka lini sikuyamwisho tutajibu sisi wanaume mwanaume umepewa daraja kubwa na mungu mbele yao mambo wanayo yafanya kwa kiasi kikubwa tunachangia sisi wenyewe tumesahau majukumu yetu na ndo maana siku ya mwisho lazima tujibu wajibu mkubwa ulio pewa ni kumsimamia vilivyo awe mcha mungu akiwa mcha mungu mitihani tunayo ijadili juu yao isinge kuwepo swala la haki sawa sisi wenyewe ndio tunalisapoti wakidai wanamakosa? Na mungu hakuliweka mungu ni mjuzi zaidi yetu haya tunayo lalamika sasa hivi aliyaona na ndo mana hakuanzisha wala kuzungumzia swala la usawa wa jinsia cha msingi sisi wenyewe kwanza tuwe wacha mungu afu ndo tuwakalie vilivyo na wao wawe wachamungu tukifanikiwa hata uwe umemaliza chekechea yeye ni zaidi ya profesor atakunyenyekea ili apete radhi za muumba wake
 
Si kweli ni tabia ya mtu kama umelelewa ktk maadili huwezi badilika baada ya masters hata kidogo.

wewe unaongea kwa hisia hapa sio uhalisia wengi wao ni viburi hata kazi hawataki kufanya chakula housegirl kulea hg
ni tabu toto kulelewa na housegirl ndio maana watoto hawana maadili kulelewa na housegirl wa miaka 16 eti kisa mama kadegree anafanya kazi nisiyojua matumizi.ya mshahara bora ashinde nyumbani tu nijue hela natafuta yake yangu
 
Back
Top Bottom