LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 497
"Chadema has the potential to be an alternative to ccm ila kwa tunayo yaona siku baada ya siku tunakua na doubt."Finally, someone discussing the topic and not people!
thank!
Lema anapo zungumzia maswala ya posho kuongezwa kwenye vikao vya chama ni kwa maslahi ya walio wachangia ku-organise hicho kikao?
hiyo haiwezi kumpa mtu hitimisho kuwa viongozi wa CDM hutumia muda na resource nyingi kuchumia matumbo yao. tujadili liliopo badala ya kugeneralise mambo. kwa asiyejua anaweza kudhani viongozi hao no corrupt kiasi hicho. you may rephrase your haste conclusion.
if only they could aply this wisdom to all affair, and display some understanding wanapoambiwa hivo! Na mbona double standarda? Mengine yanazungumziwa bila uchunguzi ila yanao waponza lazima yachunguzwe.
natamani ungeweka mfano bidada, at most two conrete examples with evidence.
Inawasumbua zaidi wanachadema kuliko hao watabiri wa nje. Chama cha demokrasia, inakuaje mawazo mbadala yanajafiliwa magazetini na mitandao ya jamii, kwa kutumia insinuations au majina bandia, wanashindwa kuyajadili vikaoni?
wanaopeleka huko ndo hao wanafiki na wasaliti. mambo ya chama hujadiliwa kwenye vikao halali. ndo maana wanafanya uchunguzi kabla ya kulizungumzia. mfano, hivi mwigamba alishindwa kutoa mawazo yake hayo ya kujenga chama vikaoni hadi awe nyuma ya fake ID kwenye mtandao?
Hili la posho linauma sana maana linaonesha watu wanataka posho ili wao KWANZA waanze kufaidi. Na wanao pokea, wanao kataa, wanao lead kwa example wanajulikana. Not everybody is expected kukataa posho kwa sasa ambapo bado ni kanuni la bunge, ila tunategemea kuwaona wakipinga raise.
hujajibu hoja: serikali ya nyinyiem imeshindwa kuwachunguza na kuwashughulikia mafisadi wa CDM?
. Never mind kaka. Elimu yangu ni ya kawaida sana, average tanzanian. Ndio maana naweza kujilinganisha na any illeterate. Kama yeye kaelewa kwanini mimi wa kawaida kabisa nisielewi?
asante mkuu. so do i
Nani anaedelea hiyo agenda tangu yeye kuachana na ubunge? The only example of collective strugle dates waaaay back wataendelezaje ajenda wakati CDM haijashika dola? sera hizi ni miongoni mwa zile zilizonadiwa ili CDM iingie mkataba na wanchi kuiongoza nchi. CCM ikashinda, na serikali inafuata sera zilizomo kwenye ilani ya ccm.
I can't stop doubting politicians. Sio ndugu zetu. Na political parties ni kundi la polititians. Nisipo doubt nitakua kondoo ninae pelekwa machinjioni. Kudoubt na kujiridhisha ni muhimu kwa manufaa ya nchi na kwa manufaa ya kudumisha siasa zenye kutetea maslahi ya wananchi.
kwa uelewa wangu mdogo nilidhani you are among those who never doubted CDM before witnessing what happens recently.