Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,635
- 6,235
Mkuu, nipo sana JF ila nimekuwa msomaji zaidi. Huwa napenda Makala za Mwali ingawa wakati mwingine zinaegemea zaidi ulipo Moyo wake na huwa anashindwa kuficha hilo.
tatizo hakubaliki beyond Arusha mjini, huwezi kumlinganisha Lema na Zito hata kwa mbalilakini tukubali ukweli Lema ni mpambanaji hasa,hebu kwa miaka ya karibuni mlinganishe Zitto na Lema,nani anazunguka kukijenga chama! acha ushabiki....
Hutetei mtu? Kwa hiyo umeandikiwa hili bandiko lako. Wewe unamtetea Zitto. Maandishi yako yanajionyesha.Sikonge
Ndugu yangu mbona unarudi na tactics zile zile za kupotosha ideas and concepts?
Mi sijawahi kua member wa chadema na sijawahi sema kua mimi ni mwana chadema. Nataka kuona mabadiliko. Kila unaposoma post yangu kaa na hili kichani: sitetei mtu, sitetei chama. Natazama maslahi ya watanzania. iwe posho, ruzuku, utoroshaji wa ushuru etc, yote ni agenda zenye maslahi. Ukiona jina la zitto linajirudia ni sababu he leads those process. Siku mngine akilead nae atatajwa, full stop.
Mimi sio pro-Zitto ila nakubaliana na mengi sana anayo yafanya. He might not be perfect ila Kwa mtu wowote anae taka mabadiliko ni rahisi kumsupport, irrelevant of chama, social status, education, dini, kabila, na mengine yanayo tutenganisha. Hana siasa za fingerpointing, anapiganisha misingi mibovu na kubadili system, not people. Anafata misingi ya chama alicho jichagulia mwenyewe. (Mtu asipofata misingi ya chama chake atafataje misingi ya nchi?) Sijawahi mskia katika siasa za kuchafuana au za kuwekeana sumu.
Siasa ni struggle for power na kila mwanasiasa anataka madaraka. Either collectivelly (chama kipewe madaraka) or personally (yeye apewe madaraka). Kuna wanao tumia nguvu za uma kuonesha they deserve to be trusted. Kuna wanao tumia nguvu za chama chao. Kuna wanao tumia public image. Kuna wanao beba agenda za population, kuna wanao tumia agenda za wanasiasa wengine. Wapo watakao tupilia mbali personal valuea na party values na kujiunga na mafisadi ili ky-protect their pisition and income. Ndio unataka tuwajadili hawa?
Muhimu ni population kua makini na kuhakikisha wanampa support mwanasiasa anae ambatanisha personal motivation yake na maslahi ya wananchi. Wapo wengi ambao personal ambition haipo aligned na maslahi ya wananchi, na hawa ndio kikwazo cha mapinduzi.
Angekuwa ni kichwa kama unavyotaka kutuaminisha kwa eti alikuwa padre, si angebaki hukohuko. Wamemuona hafai ndio wakamtema.
Wewe itakuwa ni zao la Father Kit Cunningham.
Lema kiboko yenu Masalia...
I always keep my mind open, esp. With politicians. As I said wana agenda yao ambayo sometimes ni agenda ya wananchi but sometimes ni agenda yao binafsi au agenda ya kukipandisha chama chao to the expences of their partisans.
Kila mwana siasa ana sura hizo mbili. Kila chama kina sura hizo mbili. Chadema represented hipe, and to some extent it still does. But the dark side is overshadowing what they have realised so far.
Lazima wachukue hatua sasa. Waache hayo ya kusema "tunasafisha chama" bila kuwahusisha wana chama. What are the criteria? When does this start? Where does it end?
People will not wait for them to put their house in order. If they don't do it fast watu watatafuta a new alternative.
Dakika nne tu baadae unayarudia yale yale. Nna uhakika kwa dakika nne tu uwe umeisoma post ya Mwali na umeweza kuijibu ni muujiza au simply hujaisoma na umekurupuka.
Personalizing issue. Tunapi ongea maswala ya watanzania au tunapogusa maswala ya mismanagement lazima urudishe mambo to the most narrowed issue: jina la mtu. Kama sio Zitto ni slaa. Kama sio lema mbowe etc. Huwezi kabisa kujadili ideas, concepts and systems. Lazima urudi to the basics.
Nakushauri ukasome Alegory of the ship by Plato (being ruled by the lesser)