Lema bila vurugu hawezi 'kuonekana'
kwenye vurugu ndio 'anaonekana'
so zikikosekana vurugu inabidi azianzishe i guess
Na wewe umeingizwa mkenge na chizilema endelea kuiwatimulia vumbi ni bora simba mia walioko nje kuliko nyoka mdogo aliyeko ndani
Mlikuja na mbinu za ukabila zikagota! Mkabuni ile ya ukanda, ikayeyuka! Mkaparamia udini, haukulipa! Mkaibua ugaidi, ukawarudi wenyewe! Sasa mnapiga mayowe ya demokrasia! Mbinu hii nayo imeanza kuwarudi!! Sasa mnatapatapa mithili ya vifaranga wanaopigwa na mvua kali wakati mama yao akiliwa na kimbulu! Je baadaye mtakuja na mbinu gani tena?
Tatizo la Chadema wanadanganywa na vijana wa Arusha wanadhani Tanzania yote kama Sakina au Standi ya vifodi.
Ndugu yangu mbona unarudi na tactics zile zile za kupotosha ideas and concepts kwa kytumia habari za sani na bongo? Hayo ya mimi kua na ukaribu na zitto yanatoka wapi na yanahusika vipi? Mnataka kudiscredit hoja kwa kunihusisha personally na Zitto. Ningekua mwanaume ungesema hivo? Try to distant yourself from this type of thinking.
Mi sijawahi kua member wa chadema na sijawahi sema kua mimi ni mwana chadema. Nataka kuona mabadiliko. Kila unaposoma post yangu kaa na hili kichani: sitetei mtu, sitetei chama. Natazama maslahi ya watanzania. iwe posho, ruzuku, utoroshaji wa ushuru etc, yote ni agenda zenye maslahi. Ukiona jina la zitto linajirudia ni sababu he leads those process. Siku mngine akilead nae atatajwa, full stop.
Mimi sio pro-Zitto ila nakubaliana na mengi sana anayo yafanya. He might not be perfect ila Kwa mtu wowote anae taka mabadiliko ni rahisi kumsupport, irrelevant of chama, social status, education, dini, kabila, na mengine yanayo tutenganisha. Hana siasa za fingerpointing, anapiganisha misingi mibovu na kubadili system, not people. Anafata misingi ya chama alicho jichagulia mwenyewe. (Mtu asipofata misingi ya chama chake atafataje misingi ya nchi?) Sijawahi mskia katika siasa za kuchafuana au za kuwekeana sumu.
Siasa ni struggle for power na kila mwanasiasa anataka madaraka. Either collectivelly (chama kipewe madaraka) or personally (yeye apewe madaraka). Kuna wanao tumia nguvu za uma kuonesha they deserve to be trusted. Kuna wanao tumia nguvu za chama chao. Kuna wanao tumia public image. Kuna wanao beba agenda za population, kuna wanao tumia agenda za wanasiasa wengine. Wapo watakao tupilia mbali personal valuea na party values na kujiunga na mafisadi ili ky-protect their pisition and income. Ndio unataka tuwajadili hawa?
Muhimu ni population kua makini na kuhakikisha wanampa support mwanasiasa anae ambatanisha personal motivation yake na maslahi ya wananchi. Wapo wengi ambao personal ambition haipo aligned na maslahi ya wananchi, na hawa ndio kikwazo cha mapinduzi.
Mwanachama mpya wa CHADEMA karibu
ninachojua mimi ni wa Pwani chini ya mwana wa mfalme Ridhiwani kuapiza kuwa kamwe kamwe kaskazini haitakaa ichukue nchi tunamgoja safari hii Salma Kikwete kupitishwa na chama chake kuwa mgombea na hakika wa pwani lazima wawe maraisi kwa kudra za RitzTatizo la Chadema wanadanganywa na vijana wa Arusha wanadhani Tanzania yote kama Sakina au Standi ya vifodi.
Tulia mabosi zako wafundwe, we hujui kitu zaidi ya kumchangia LEMA sadaka!
Think tank yenyewe ni lema na sugu unategemea nini hapo
Na haya je?
1. Kundi la walisha watu sumu wakiongozwa na lwakatare,ben sa8
2. Kundi la wamwagia watu tindikali under henry kileo
3. Kundi la walipua mabomu chini ya lema
..kundi la slaa
...kundi la mbowe
...kundi la zito aka prezo
Tangu Mh KIkwete atangaze deal la kuaga IKULU MACCM mumeehuka haishangazi kwenye psychology wanasema binadamu anakataa kufa mpaka dakika ya mwisho ya kukata roho ,mwenyekiti anadeclare rushwa ni sera ya ccm wewe unajikongoja kumuamini duh watu muna viburi kweliChadema ni genge la wapigaji
Mamlaka yote ya maamuzi ndani ya chadema yako kwenye mkoba wa Mzee Mtei.
Yeye ndio anachagua nani ampe cheo. Mtu yeyote anayeongea kitu tofauti na anavyotaka Mtei huitwa msaliti kwa sababu lengo la kumpa cheo hicho ni kulinda matakwa ya mtei.
Mwali, je kwa resources ilizo nazo chama tawala, huamini kwamba wanaweza kuweka mapandikizi ndani ya upinzani? Je ungeshauri Chadema ikigundua kwamba kuna mvurugaji miongoni mwao, wachukue hatua gani? Tofauti na wewe mimi siamini kuwa Chadema wanawalipa mashabiki wao wakaeneze sumu mitandaoni dhidi ya wanachadema wenzao. Wengi wanaoitetea Chadema mtandaoni, mimi nikiwa mojawapo, wanafanya hivyo kwa sababu moja tu, wanaamini CCM haina ujasiri, uwezo wala nia ya kutokomeza maovu katika jamii. Mathalani leo hii kama NCCR ndio ingekuwa na ushawishi, nguvu na ari ilizo nazo Chadema, nisingesita kuwaunga mkono kwa sababu naamini kwa dhati kuwa adui wetu mkubwa kama Watanzania ni CCM, period.Viongozi wa Chadema wanatumia muda mwingi na resource za Chama kuchumia matumbo yao, then wanatumia resource zaidi kuficha uovu wao na kuwalipa mashabiki wao wakaeneze sumu mitandaoni dhidi ya wanachadema wenzao huku wakidai kua "wanasafisha chama", ndio maana hawawezi kudumisha demokrasia. Kusafisha kwenyewe hawasemi kutachukua muda gani na what are the criteria to this witch hunt!
Yawezekana mwanzoni ulikuwa na hoja nzuri na ulitaka kuipa ushauri Chadema lakini kwa kauli yako hili umeharibu kabisa na kuonesha kuwa huna nia njema na Watanzania. Pengine umesukumwa zaidi na utashi binafsi kuliko utashi halisi bila kutafakari kwa upana athari za kauli kama hizi za kukatisha tamaa. Na kama kuna watakaokubaliana na wewe ni wale walio na woga wa mabadiliko, yalisemwa 1992 na leo, miaka 21 baadaye, unayarudia.Kwa mtindi huu (sorry, i meant kwa mtindo huu) sioni Chadema ikichukua uongozi in the next 100 years. Tukumbushane tu mambo kadhaa...
Lema anapo zungumzia maswala ya posho kuongezwa kwenye vikao vya chama ni kwa maslahi ya walio wachangia ku-organise hicho kikao?1. Viongozi wa Chadema wanatumia muda mwingi na resource za Chama kuchumia matumbo yao
wataje kwa ushahidi mkuu
if only they could aply this wisdom to all affair, and display some understanding wanapoambiwa hivo! Na mbona double standarda? Mengine yanazungumziwa bila uchunguzi ila yanao waponza lazima yachunguzwe.2. Wanasema uchunguzi unaendelea hawawezi kulizungumzia.
watalizungumziaje bila uchunguzi?
Inawasumbua zaidi wanachadema kuliko hao watabiri wa nje. Chama cha demokrasia, inakuaje mawazo mbadala yanajafiliwa magazetini na mitandao ya jamii, kwa kutumia insinuations au majina bandia, wanashindwa kuyajadili vikaoni?3. Chadema na misingi yao: chama kinajiita cha demokrasia ila ukileta mawazo mbadala unaitwa msaliti. !
hali hiyo ingelikuwa kama unavyojaribu kutuaminisha, CDM isingeliwahangaisha watabiri wa kifo chake
Hili la posho linauma sana maana linaonesha watu wanataka posho ili wao KWANZA waanze kufaidi. Na wanao pokea, wanao kataa, wanao lead kwa example wanajulikana. Not everybody is expected kukataa posho kwa sasa ambapo bado ni kanuni la bunge, ila tunategemea kuwaona wakipinga raise.kuhusu ufisadi: serikali imeshindwa kuwakamata mafisadi wa CDM hadi watu mbweke hapa kama......asiye na meno? wachunguzeni
kuhusu posho" hivi nani alilianzisha hili la posho? kiranja wa bunge ni nani na wa chama gani vile? :A S-confused1::help:
. Never mind kaka. Elimu yangu ni ya kawaida sana, average tanzanian. Ndio maana naweza kujilinganisha na any illeterate. Kama yeye kaelewa kwanini mimi wa kawaida kabisa nisielewi?6. Chadema na dharau kwa wanachama:
kwa wewe kuliona hili, mtoto wa nursery haitamsumbua,(Ooop dont mind my language) teh teh teh
Nani anaedelea hiyo agenda tangu yeye kuachana na ubunge? The only example of collective strugle dates waaaay back .7. Chadema na sera za wananchi:
walisema elimu itatolewa bure. walisema wakipewa madaraka mfuko wa saruji utashuka bei, n.k. hizi zilikuwa sera za mtu binafsi, mgombea wa Uraisi 2010, Dr W Slaa. Hakika hazikuwa za chama
I can't stop doubting politicians. Sio ndugu zetu. Na political parties ni kundi la polititians. Nisipo doubt nitakua kondoo ninae pelekwa machinjioni. Kudoubt na kujiridhisha ni muhimu kwa manufaa ya nchi na kwa manufaa ya kudumisha siasa zenye kutetea maslahi ya wananchi.have you ever stopped doubting CDM in your life? NB: Bila kujali itikadi za kisiasa na tukiacha unafiki, usaliti na ubinafsi taifa litasonga mbele kwa kasi ya ajabu
Mlikuja na mbinu za ukabila zikagota! Mkabuni ile ya ukanda, ikayeyuka! Mkaparamia udini, haukulipa! Mkaibua ugaidi, ukawarudi wenyewe! Sasa mnapiga mayowe ya demokrasia! Mbinu hii nayo imeanza kuwarudi!! Sasa mnatapatapa mithili ya vifaranga wanaopigwa na mvua kali wakati mama yao akiliwa na kimbulu! Je baadaye mtakuja na mbinu gani tena?