Wanaoisaliti CHADEMA ni viongozi

Wanaoisaliti CHADEMA ni viongozi

huu wimbo wa "KUELEKEZA NGUVU VIJIJINI' mbona unajirudia sana, sababu za mipango hiyo kukwamba ni nini, au ukihoji na hilo utaitwa MSALITI?


si kuwa zoezi la kujiimarisha vijijini limekwama la hasha, bali naamini kuna watu ndo wanaangaika kuhamisha na kuleta ajenda zao mbaya kt chama, ivo mda mwing unapotea. mfano ishu ya katiba majuz, utaona ni mapandikiz ndo yanaleta ajenda flan flan ili kuturudisha nyuma

i remember Same mitaa ya makanya walidai kuhitaji, msaada wa kuhimarishwa kichama, pia maeneo ya geita, baadh ya visiwa kt ziwa victoria weng wako tayar kwa m4c lkn shukran kwa kamanda mawazo uko lake zone anaifanya iyo kaz vyema
 
Chadema haiyumbishwi na wasaliti bali wasaliti wanayumbisha watanzania,

Wembe tunaomnyolea ccm, ndio huohuo tutakao wanyolea wasaliti hawa,

Ndio upofu huo kiwa CHADEMA ni strong kuliko Watanzania!!!!!!

Hebu ishini maisha halisi
 
Watanzania tunaumwa ungonjwa wa kulalamika kila kona.kuanzia m/kiti wa kitongoji/mtaa hadi juu.hakuna aliye tayari kutoa majawabu ya kisayansi kwa matatizo tuliyonayo .wachache wanaojitahidi kutoa hupindwa.

Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni,fikra zake na mawazo yake binafsi kwa njia mbalimbali.

Kwa upande wa cdm,ina wasemaji wake na wanajulikana.
 
usaliti ndani ya chama hauondolewi kwa usaliti bali kwa taratibu husika ili tuweze kuondoa usaliti inabidi tuangalie chanzo cha usaliti ni nini,then tutawajua wasaliti wote finally tutachukua maamuzi sahihi siyo kama hivi tunavyofanya jamani tunajenga nyumba moja ya nini kugombania fito.
 
ameni baba, ila yote haya yana mwisho simpend chief mnafiki mkuu kunasiku nilikutana naye mirambo50 kwenye ofisi ya rostam sijui alifata nini.

...hata ofisi za mohamed enterprises kazuru mara kadhaa na muhasibu alihakikishia dogo alipata chake,lazima atobolewe macho...
 
Wewe ugonjwa wako ni kuamini tu wasaliti wanatumwa na CCM, hili ndilo jambo litakaloiua CHADEMA kilaini sana, mnaacha kuyafanyia kazi madai ya watu wanaopigania UWAZI ndani ya CHAMA mnaendeleza tabia ya kuwa VIBARAKA wa wachache ndani ya CHAMA na kuwabambika wenzetu waliowafikisha hapo mlipo majina ya USALITI, dhambi hiyo itawatafuna sana.

Wewe ni msemaji wao?Waliotufikisha hapa mimi na nani?Usipende kuandika kwa hisia na kujadili watu kwa personal attack
 
hakika hili kundi la MBOWE, SLAA, BEN SAANANE, LEMA na wenzao litaaibika sana, sijui ni kwa nini hawataki kusikia changamoto ndani ya CHAMA.

Sina kundi otherwise leta uthibitisho wa haya uliyoandika
 
Hapa ndio utawaona wenye nia ya dhati ya kuleta mabadiliko yaani wanachadema real na wale waliopo chadema kimaslahi yao binafsi. Wanaotaka mabadiliko wanasimamia misingi ya chama na wanatumia nguvu nyingi kuhakikisha chama walichowekeza matumaini yao hakianguki kama ilivyokuwa kwa vyama vyengine. Wale waliopo chadema kimaslahi wapo tayari hata chama kife lakini asiongoze mtu atakae wazuia kupata mkate wao kwa njia isiyokuwa ya halali. Wapo tayari kutoa hata uhai wa mtu kama walivyokwisha jaribu na kushindwa kwa kuwa Mungu hakupenda iwe hivyo na sasa wameona uwezo huo hawana wameamua kumchafua kiongozi wao onsport baada ya kutumia njia za siri na kushindwa. Sisi wengine tulishashtukia mapema chama hiki kilichoanzishwa katika misingi ya kilaghai ila wengine kutokana na frustration zao za maisha wakasema na kuimba chadema mkombozi, people's power bila kufanya tafakari.
 
ningekuwa mwenyekiti CHADEMA ningeitisha kikao mara moja na kumtimulia mbali msaliti Zitto.
 
Wewe ugonjwa wako ni kuamini tu wasaliti wanatumwa na CCM, hili ndilo jambo litakaloiua CHADEMA kilaini sana, mnaacha kuyafanyia kazi madai ya watu wanaopigania UWAZI ndani ya CHAMA mnaendeleza tabia ya kuwa VIBARAKA wa wachache ndani ya CHAMA na kuwabambika wenzetu waliowafikisha hapo mlipo majina ya USALITI, dhambi hiyo itawatafuna sana.

kwa mtu makini lazima atarajie utetezi wako.inawezekana unawaona magamba wenzio na ndo maana unawatetea.
 
Kumbe mambo aliyoyasema Mwigamba ni kweli, maana kuna mahala amenukuliwa Lema akisema" Komputa yake mpakato(Laptop) ilikutwa na mambo megi mazito na kama yangeachwa yakasambaa chama kingekuwa na hali mbaya kuelekea 2015"
Sasa nataka kujua ni mambo gani hayo mabayo yangeleta hali mbaya?
Kwanini yasisemwe ili kuyasafisha sasa yasilete madhara miaka 10 ijayo?
Kwanini yafichwe kama chadema ni chama safi?
Ina maana kuna mabo mengi mabaya yamefanywa na kina Mbowe,Slaa na Lema zaidi ya haya yaliyofumuka?
Naomba majibu.

Unataka yasemwe hapa kwa vile jf ndio kamati kuu ya cdm? poor you
 
lakini tukubali ukweli Lema ni mpambanaji hasa,hebu kwa miaka ya karibuni mlinganishe Zitto na Lema,nani anazunguka kukijenga chama! acha ushabiki....

Mara nyingi lema tupo naye field vijijini tunapiga kazi, zitto je? yupo na mafisadi anakula bata na mdio maana maccm yanampenda.
 
Asitafutwe Mchawi, CHADEMA inauwawa na kukosekana kwa UWAZI ndani ya Chama, Udikteta, Imani potofu kuwa chama ni cha kundi fulani pamoja na baadhi ya wanachama kupigwa upofu kuwa SLAA na MBOWE ni miungu watu na hawana makosa.

sio kila kitu kinakuwa wazi kwa yeyote,hata katika familia tu.unataka uwazi kwa yapi? kuwa wazi.unategemea watu kama shonza,mwampamba,mwigamba hata na kinara wao wangejua kila kitu hali ya chama ingekuwaje? inadaiwa zitto ana mipango ya siri na jack zoka,denis msack na maccm wengine ya yalishawahi kunaswa mawasiliano yake na kuwekwa hapa.sasa je ni busara watu kama hao kujua kila kitu cha chama?
 
Back
Top Bottom