Wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru

Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria ya nchi bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Yaani kuwa MC ni ujanja janja anaiba nini? Sababu wote watapandisha bei na mwisho wa siku Kodi ya ukumbi na ya MC atailipa mwenye sherehe. litendee haki fuvu hilo
 
Yaani kuwa MC ni ujanja janja anaiba nini? Sababu wote watapandisha bei na mwisho wa siku Kodi ya ukumbi na ya MC atailipa mwenye sherehe. litendee haki fuvu hilo
Yaani mkuu kila anaepata kipato.. Kidogo au kikubwa lazima alipe kodi
May Mc wasilipe kodi wakati wanapita kwenye flyover??
 
Hawa watu hawana akili kabisa sengerema ni wilaya ndogo sana kuna ukumbi gani pale mwenye ukumbi atoe 220,000 au 270,000 kwa ajili ya halmashauri?

Sengerema asili yake ni wasukuma na wasukuma wengi wanapenda kufanyia sherehe zao manyumbani au kwenye jamii yake.Anyway sasa hivi sherehe tutakuwa tunafanyia makanisani na penyewe waje wadai kodi.

Mfumo mbovu kabisa wa kutafuta mapato..sasa hivi kijana kuoa inakuwa adhabu.
Sengerema hapo imetumika tu kama ignitor ila hio inshu inaonekana iko tayari drafted itumike Nation wide, Hapo imeanzishwa kupima upepo na kwa vile umesikia ina baraka ya Tamisemi tegemea kutekelezwa Nchi nzima
 
WATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru.

Ni baada ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema jijini Mwanza, kupitisha sheria ndogo za ada na ushuri ambazo tayari zimepata baraka za Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)...
Wanakunja hela ndefu hawa, siwahurumii hata kidogo...
 
Someni hiyo mjiandae pia

Ova
20210123_102705.jpg
 
Back
Top Bottom