Wanaodai rais kuongezewa muda sio wachochezi?

Wanaodai rais kuongezewa muda sio wachochezi?

Watanzania wenzangu tusicheze na mambo yanayoonekana kama mzaha, kumbe ndani yake kuna maafa.

Zaburi 1:1 heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji; wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

Swala hili la Rais kuongezewa muda limeanza kushika kasi kiasi kwamba tumelichukulia kama utani tu na mzaha, ila ukweli ni huu matamshi yote yanayotamkwa ya kumuongezea Rais muda ni uchochezi maana yanaenda kinyume na katiba. Je kama watu wangejitokeza na kusema Rais apunguziwe muda, vyombo vya dola vingechukulia kuwa ni mzaha na utani au mtu huyo angechukuliwa hatua za kisheria?

Je kama wangejitokeza watu wakabeba mabango yaliyoandikwa tunaomba bunge libadilishe vifungu vya katiba Rais apunguziwe muda wa kutawala iwe miaka mitatu tu, vyombo vya dola vingewavumilia?

Kumbukeni wakina Mgabe, Kagame na Museven walipata watu wachache walioanza kuchochea hivyo kuwa waendelee kuongoza na matokeo yake wamefanya hivyo.

Hatujaona Rais akikemea watu hao wanaotoa matamko ya kuvunja katiba na kuchochea fikra za watanzania, maana imani huja kwa kusikia.

Wanaosema Rais aongezewe muda sio wachochezi?
Hao watu wanaotaka Rais aongezewe muda ni waasi kama waasi wengine....hawana tofauti na alshaabab, alqaeda, janjawid, banyamulenge na magenge mengine ya kihalifu kama hayo. Kama kundi hilo litaachiwa liendelee kusigina katiba ya nchi, ipo siku wataitumbukiza nchi hii kwenye umwagaji damu wa kutisha. Mchelea mwana kulia, hulia yeye.
 
Aongezewe tu ili mzidi kunyooka maana hamna namna, kama ameweza kuweka ndan mafisadi nguli we unafikir mchezo
Du wewe ni kilaza hatari aisee! Kwani hao mafisadi walitengenezwa na UKAWA au CCM? Si mlimuita Kafulila tumbiri kwa sababu ya kuwasakama mafisadi hao? Unafiki ni kitu kibaya sana.
 
If your intention is to change Tanzania to be Sukuma empire that idea is good, but if you are talking to make our country to remain stable and a peaceful country don't dare to think that again. You can't build a strong house with a very week foundation and you can't reap or harvest a sweet fruit on the bitter tree. evilness will never become holiness.
Something evil is triumph now in the country, kama wangetokea watu wakasema Rais apunguziwe muda kwa kuwa watanzania tunateseka, be honest kungekucha kabla ya watu hao kukamatwa na polisi kuwa ni wachochezi? my brother jitahidi kuwa mkweli, kwa nini hii mbinu ya kumtaka aongezewe muda inashika kasi? ni maandalizi halisi maana hii inaweza ikawa mbinu kutoka Rwanda na Uganda maana walianza hivi
Hii mbinu Magu ameikopi kwa madikteta wenzake M7, Kagame na Mugabe na kuwatuma watu waanze kuichochea hapa nchini.
 
Maadam wanaotaka aongezewe muda sio yeye bali ni watu, na katiba ni ya watu, na walioweka ukomo kwenye katiba ni watu, hivyo watu wakiamua kuuondoa ukomo, watauondoa tuu, kwa sababu katiba sio msahafu kusema haibadilishwi.
mkuu, nakuheshimu sana.
hayo maoni ya watu wanaotaka Rais aongezewe muda yalikusanywa lini na chombo au tume ipi?
kama yalikusanywa, nani aliwatuma kufanya hivyo na kwa nini?
kwa nini isiwe 2019?
tena wengine wanataka aongoze kwa miaka 100, wakati Biblia imeweka wazi umri wa binadamu.
je, mimi na wenzangu tunaoona ni dikteta tungeandamana kupendekeza kipindi cha urais kipunguzwe tungeonekanaje?
tuache unafiki na kujipenekeza.
 
Watanzania wenzangu tusicheze na mambo yanayoonekana kama mzaha, kumbe ndani yake kuna maafa.

Zaburi 1:1 heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki, wala hakusimama katika njia ya wakosaji; wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

Swala hili la Rais kuongezewa muda limeanza kushika kasi kiasi kwamba tumelichukulia kama utani tu na mzaha, ila ukweli ni huu matamshi yote yanayotamkwa ya kumuongezea Rais muda ni uchochezi maana yanaenda kinyume na katiba. Je kama watu wangejitokeza na kusema Rais apunguziwe muda, vyombo vya dola vingechukulia kuwa ni mzaha na utani au mtu huyo angechukuliwa hatua za kisheria?

Je kama wangejitokeza watu wakabeba mabango yaliyoandikwa tunaomba bunge libadilishe vifungu vya katiba Rais apunguziwe muda wa kutawala iwe miaka mitatu tu, vyombo vya dola vingewavumilia?

Kumbukeni wakina Mgabe, Kagame na Museven walipata watu wachache walioanza kuchochea hivyo kuwa waendelee kuongoza na matokeo yake wamefanya hivyo.

Hatujaona Rais akikemea watu hao wanaotoa matamko ya kuvunja katiba na kuchochea fikra za watanzania, maana imani huja kwa kusikia.

Wanaosema Rais aongezewe muda sio wachochezi?
Mkuu wakati akipokea report ya pili ya mchanga wa dhahabu, rais alitoa msimamo kwamba hatakuwa rais wa milele


Hiyo ni moja, lakini pili hata muhula wa kwanza hajamaliza 2020 kutakuwa na uchaguzi mwingine.Concern ingekuwa Kama tupo kwenye lala salaam. We have a long way to go kabla ya hapo.
 
Naamini Tanzania inatawaliwa ki Katiba wala siamini kama Rais wa awamu ya 5 anaweza kufikiria kujiongezea mda wa kuwa Madrakani Urais ni mzigo tena mzito wenda isingekuwa Katiba tungekuwa tunakutana na Maamuzi magumu ya Kuutua kwani Mzigo wa Kutawala uzito wake anaujua alieubeba tuungane kuwa Ombea Viongozi wetu wa kila Ngazi wamebeba mizigo mizito Mungu awatie Nguvu kila mmoja kwa Kada yake aweze kutimiza Majukumu yake kwa mjibu wa Katiba na Kwa uzalendo mkubwa kama kiapo chake Mbere ya Mungu na Dunia/Walimwengu
Sawa. Sasa unasemaje kuhusu huu uchochezi unaofanywa na waandamanaji wanaotaka kuvunja katiba kwa maandamano yasiyokuwa na kibali?
 
hongera kwa kuleta thread, lakini ni nyepesi mno...namaanisha utakuwa na upeo mdogo wa kuelewa hoja nzito nzito zitolewazo na watu aina ya mzee mwinyi au umelishwa vibaya. pia usilete uzi wa kiwango cha chini hivi ikiwa waliopita wameleta hoja km hiyo tena kwa kiwango cha juu!
Mkuu umemaliza kuchangia au utarudi baadaye? Maana naona hujagusia hoja hata moja.
 
Vivianet, sometimes you have to swallow the bitter with sweet, ili ukombozi wa kweli upatikane sometimes lazima watu wale mijeledi, wateswe na kuteseka, na ni kwa kupigwa kwao sisi tunaponywa. Ili kupata dhahabu safi, lazima kwanza ipitie kwenye tanuru la moto. Magufuli anaipitisha nchi kwenye tanuru la moto kuisafisha dhahabu yake, ikitoka itakuwa ni dhahabu safi, tatizo rundo la dhahabu chafu ni kubwa sana kwa muda uliopo kuisafisha, hivyo tunampigia chapuo akae as long as it takes kusafika, kama atahitaji muda kama Kagame, Museveni au Mugabe, let it be!.

P.

Kaka yangu Mayalla if am not mistaken naamini you are a journalist, unakumbuka jinsi mzee Ben alivyowaita Watanzania malofa kwa kutamani ukombozi wakati nchi ilishakombolewa, ila wewe unasema sometimes we have to swallow the bitter with sweet ili ukombozi wa kweli upatikane, are you against mzee Ben au umesahau kuwa we are a free country?

Unadai kuwa tukubali kuvunja katiba na sheria za nchi kwa ajili ya kuionyoosha nchi na kusafisha dhahabu irudi kwenye ubora wake, that is a very wrong mentality. You can't break the law in order to fulfill your wants/intention. Siku moja my cousin was rushing me to airport I was flying from Santiago to Boston tulipofika kwenye traffic lights tukasimama nikamwambia tupite maana it was night, akasema bora tuchelewe tusivunje sheria, it is true I missed my flight. I love the way unavyojaribu kutetea na kujenga hoja za kutamani kuwa na Ngosha empire, but you are wrong. wanachokifanya watu kudai Rais aongezewe muda ni uchochezi mbaya
 
Kaka yangu Mayalla if am not mistaken naamini you are a journalist, unakumbuka jinsi mzee Ben alivyowaita Watanzania malofa kwa kutamani ukombozi wakati nchi ilishakombolewa, ila wewe unasema sometimes we have to swallow the bitter with sweet ili ukombozi wa kweli upatikane, are you against mzee Ben au umesahau kuwa we are a free country?

Unadai kuwa tukubali kuvunja katiba na sheria za nchi kwa ajili ya kuionyoosha nchi na kusafisha dhahabu irudi kwenye ubora wake, that is a very wrong mentality. You can't break the law in order to fulfill your wants/intention. Siku moja my cousin was rushing me to airport I was flying from Santiago to Boston tulipofika kwenye traffic lights tukasimama nikamwambia tupite maana it was night, akasema bora tuchelewe tusivunje sheria, it is true I missed my flight. I love the way unavyojaribu kutetea na kujenga hoja za kutamani kuwa na Ngosha empire, but you are wrong. wanachokifanya watu kudai Rais aongezewe muda ni uchochezi mbaya
Vivianet, please take time kuzisoma hoja zangu za kwa nini Magufuli aongezewe muda na akiamua kuheshimu katiba hivyo kuondoka mwaka 2025 then soma ni kwa nini Makonda.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana ...

Naomba tubishane kwa hoja na sio aongezewe muda kwa sababu tuu ya katiba imesema mwisho ni 10 years, kwani katiba ni nini? .

Out of topic kumbe unaishi Boston? . I once lived there briefly na ku interact na the fewTanzanians walio settle there.

P
 
mkuu, nakuheshimu sana.
hayo maoni ya watu wanaotaka Rais aongezewe muda yalikusanywa lini na chombo au tume ipi?
kama yalikusanywa, nani aliwatuma kufanya hivyo na kwa nini?
kwa nini isiwe 2019?
tena wengine wanataka aongoze kwa miaka 100, wakati Biblia imeweka wazi umri wa binadamu.
je, mimi na wenzangu tunaoona ni dikteta tungeandamana kupendekeza kipindi cha urais kipunguzwe tungeonekanaje?
tuache unafiki na kujipenekeza.
Mkuu Dafu na Ndimu, kwenye freedom of exptession hakuna standard formular ya kuwaongoza watu ku ji express wala hakuna limitations za idadi ya sampling kutoa maoni fulani hata wakiwa ni watu wawili tuu kati ya Watanzania milioni 50, hao wawili nao ni watu!.

Kwenye hili la Magufuli kuongezewa muda naomba tubishane kwa hoja. Anglia hoja zangu za kwa nini aongezewe muda kisha pangua hoja. Pia nimeshauri iwapo Magufuli ataamua kupumzika ile 2015 then Makonda ndio ampokee. Tuwe tunatumia ushawishi wa nguvu za hoja na sio hoja za nguvu.

Kitendo cha katiba kuweka ukomo wa miaka 10 kwa urais ni hoja ya nguvu, lakini watu wakija na hoja ambazo zina nguvu, watapangua hizo hoja za nguvu kwa kutumia nguvu za hoja na katiba itabadilishwa.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana ...

P.

P
 
Vivianet, please take time kuzisoma hoja zangu za kwa nini Magufuli aongezewe muda na akiamua kuheshimu katiba hivyo kuondoka mwaka 2025 then soma ni kwa nini Makonda.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana ...

Naomba tubishane kwa hoja na sio aongezewe muda kwa sababu tuu ya katiba imesema mwisho ni 10 years, kwani katiba ni nini? .

Out of topic kumbe unaishi Boston? . I once lived there briefly na ku interact na the fewTanzanians walio settle there.

P


Kaka Mayalla I don't stay in Boston, I was just visiting my friend, I currently live in Peoria Illinois. Kama tunabishana kwa hoja, with much respect let me say you have got a deadly agenda. How can you prefer the country to move on without election hata kama huyo unayemtaka angekuwa kama malaika that can't happen. I think you are trying to pull me out of the highway. But ukweli ni kwamba its to early to predict, there is almost 7 yrs ahead why don't we wait a little bit? kwa nini tuanze kudai kwamba aongezewe muda wakati hata hajamaliza term ya kwanza?

I hope this is a hidden agenda, there is something behind the scene brother Mayalla.
Okay let me sleep it is to late here 3:15 am I was working this night
stay blessed, I still love my country
 
Mkuu Vivanet, kweli kwa Kiswahili Mayalla ni njaa ila sio ile njaa ya kuhitaji shibe au mlo no njaa ya baa la njaa, famine, linalotokana ukame, draughts katakana na mabadiliko ya tabianchi.

Baada ya kuiona kasi yake aliyoanza nayo, hatuna haja ya kusubiri, miaka kumi ni michache haitoshi kunyoosha vizuri nchi ikanyooka.

Maadam wanaotaka aongezewe muda sio yeye bali ni watu, na katiba ni ya watu, na walioweka ukomo kwenye katiba ni watu, hivyo watu wakiamua kuuondoa ukomo, watauondoa tuu, kwa sababu katiba sio msahafu kusema haibadilishwi.

Tanzania ni nchi ya kidemokrasia yenye katiba ya watu iliyotengenezwa kidemokrasia na kuongozwa na watu, hivyo tuna serikali nzuri ya watu, inayoongozwa na watu, kwa manufaa ya watu, "of the people, by the people and for the people", we the people, tukiamua Magufuli aongezewe muda, ataongezewa muda!.

Nia tunayo, uwezo tunao na sababu tunazo. Nimezieleza humu Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Na 2025 akiamua mwenyewe kupumzika, tuneshauri Makonda aandaliwe kumpokea
. Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze....

Paskali
Na ilikua njema sana tungefuta hata vyama vingi ili abaki mwenyewe na CCM yake maana hapa inchi ilipopindia ni vyama vya upinzani wamesababisha haya. ukizingatia wingi wa wabunge wa CCM ndani ya bunge hata kwa hati ya dhalula kesho kabla ya leo ipigwe kura CCM iongoze milele na Magufuli aongeze mpaka kiama.
Nifedhea sana kuwa na mtu kama wewe ndani ya taifa.
Mayala= Njaa
 
Back
Top Bottom