Wanaodai rais kuongezewa muda sio wachochezi?

Wanaodai rais kuongezewa muda sio wachochezi?

If your intention is to change Tanzania to be Sukuma empire that idea is good, but if you are talking to make our country to remain stable and a peaceful country don't dare to think that again. You can't build a strong house with a very week foundation and you can't reap or harvest a sweet fruit on the bitter tree. evilness will never become holiness.
Something evil is triumph now in the country, kama wangetokea watu wakasema Rais apunguziwe muda kwa kuwa watanzania tunateseka, be honest kungekucha kabla ya watu hao kukamatwa na polisi kuwa ni wachochezi? my brother jitahidi kuwa mkweli, kwa nini hii mbinu ya kumtaka aongezewe muda inashika kasi? ni maandalizi halisi maana hii inaweza ikawa mbinu kutoka Rwanda na Uganda maana walianza hivi
Huu sasa ubaguzi. Ulianza vizuri kwa kiswahili. Hiki kingine kinatoka wapi?
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Samahani sana kaka yangu nilikuwa namjibu Mayalla aliyeanza kuchangia kwa kuweka lugha ya queen Elizabeth.
Asante Vivianet.Tunaosoma tupo wengi. Akiingia Elizabeth mnatuacha wenzenu.
 
Kwenye mfumo gani? hapo ndipo tunaposhindwa kutofautisha mambo, tunatoleaga mifano kwa vitu visivyofanana.
Vivianet! Nchi yetu ni hii Moja. Yeye miaka zaidi ya 10 wenzako kuwe na ukomo. Hapana!
 
Vivianet! Nchi yetu ni hii Moja. Yeye miaka zaidi ya 10 wenzako kuwe na ukomo. Hapana!


Kaka yangu, wakati huo ulikuwa mfumo wa chama kimoja na katiba iliruhusu hivyo, baada ya mfumo wa vyama vingi na katiba kufanyiwa marekebisho kusema Rais aongoze bila kikomo ni uchochezi, hata hivyo nashangaa kuona hao waliotamka hivyo na kufanya maandamano haramu hawajachukuliwa hatua
 
Leo hii pale nmb, watu wote wanasema katiba ibadilishwe haraka ili rais aongezewe muda;
 
Vivianet!: Katiba haitengenezwi ahera. Ni matakwa ya wananchi.
Chama kimoja sio tatizo.
Hata sasa tunacho chama kimoja kinachotawala.
OK, tuseme hivi kwenye katiba ijayo (Chama tawala kitaongoza si zaidi ya vipindi viwili mfululizo) ,kuondoa mazoea.
Hawa watabakia kuwa wapinzani hadi lini?; 1995 hadi Leo.
 
Leo hii pale nmb, watu wote wanasema katiba ibadilishwe haraka ili rais aongezewe muda;


Ebu weka hiyo video, nasisi watanzania walioko hapa Peoria USA tunatamani katika ibadilishwe ili marais wawe wanashitakiwa baada ya kumaliza muda wao, na namba moja atakuwa yule anayevunja katiba ya nchi
 
Vivianet!: Katiba haitengenezwi ahera. Ni matakwa ya wananchi.
Chama kimoja sio tatizo.
Hata sasa tunacho chama kimoja kinachotawala.
OK, tuseme hivi kwenye katiba ijayo (Chama tawala kitaongoza si zaidi ya vipindi viwili mfululizo) ,kuondoa mazoea.
Hawa watabakia kuwa wapinzani hadi lini?; 1995 hadi Leo.


Sawa vyovyote vile wananchi watakavyoridhia, ila mwenyewe hataki katiba mpya
 
Sawa vyovyote vile wananchi watakavyoridhia, ila mwenyewe hataki katiba mpya
wananchi wa wapi mkuu? hawa hawa wanapga kura mwisho unaambiwa wamerithia kwa asilimia 99 km pale kwa kagame?
ukiruhusu mchakato kwenda kwa wananchi tayari wamerithia kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa tatu zisizo nz tume huru!!!!!!
kwanza ni kwa nini haya maoni yamekuja wakati ht muhula mmoja haujaisha?
waache kucheza na nchi yetu hao katiba iko wazi ifuatwe bhasi
 
Back
Top Bottom