Wanaodai rais kuongezewa muda sio wachochezi?

Wanaodai rais kuongezewa muda sio wachochezi?

Mkuu Vivanet, sio mipango mkakati wa re establishment of Ng'wana Ngosha Empire, bali kwa Tanzania hapa tulipofika we need bold able people who practice what they preach, akisema kitu fulani no ni no!. Ingekuwa ni Kikwete amepiga marufuku yale maandamano ya ukuta, watu wangeandanana tuu!.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Ameleta heshima mtaani!

Paskali
Ni mjinga tu wa kariba kama yako who think we have a single person who can govern this country. we have almost 50 Tanzanians who can lead this country.
 
mayala=njaa. Ni fedheha kubwa sana kuwa na mtu kama wewe ndani ya inchi.
Na ilikua njema sana tungefuta hata vyama vingi ili abaki mwenyewe na CCM yake maana hapa inchi ilipopindia ni vyama vya upinzani wamesababisha haya. ukizingatia wingi wa wabunge wa CCM ndani ya bunge hata kwa hati ya dhalula kesho kabla ya leo ipigwe kura CCM iongoze milele na Magufuli aongeze mpaka kiama.
Nifedhea sana kuwa na mtu kama wewe ndani ya taifa.
Mayala= Njaa
Mkuu Igadinho, pole! .
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana ...

Paskali
 
Uchochezi ni pale tu unakuwa kinyume na fikra za mtukufu!!
 
hongera kwa kuleta thread, lakini ni nyepesi mno...namaanisha utakuwa na upeo mdogo wa kuelewa hoja nzito nzito zitolewazo na watu aina ya mzee mwinyi au umelishwa vibaya. pia usilete uzi wa kiwango cha chini hivi ikiwa waliopita wameleta hoja km hiyo tena kwa kiwango cha juu!


Sijajua kiwango chako cha elimu, it is not fair if I will dare to urge with you. wewe mwenye uelewa umetoa mchango gani wa mawazo? mzee Mwinyi alieleza nini chenye ushawishi wa kuvunja katiba. If you have got little ability, don't try to intervane into the issues which are above of your understandings
 
Kwenye hili la Magufuli kuongezewa muda naomba tubishane kwa hoja. Anglia hoja zangu za kwa nini aongezewe muda kisha pangua hoja. Pia nimeshauri iwapo Magufuli ataamua kupumzika ile 2015 then Makonda ndio ampokee. Tuwe tunatumia ushawishi wa nguvu za hoja na sio hoja za nguvu.

Msingi wa post yangu wakati najibu post yako ni swali hili alilouliza mleta mada.

Je kama wangejitokeza watu wakabeba mabango yaliyoandikwa tunaomba bunge libadilishe vifungu vya katiba Rais apunguziwe muda wa kutawala iwe miaka mitatu tu, vyombo vya dola vingewavumilia?

Je, wewe una maoni gani?
Je, waandamanaji wanatumia ushawishi wa nguvu za hoja au hoja za nguvu?
 
Na ilikua njema sana tungefuta hata vyama vingi ili abaki mwenyewe na CCM yake maana hapa inchi ilipopindia ni vyama vya upinzani wamesababisha haya. ukizingatia wingi wa wabunge wa CCM ndani ya bunge hata kwa hati ya dhalula kesho kabla ya leo ipigwe kura CCM iongoze milele na Magufuli aongeze mpaka kiama.
Nifedhea sana kuwa na mtu kama wewe ndani ya taifa.
Mayala= Njaa
Oh you are telling brother Mayalla the truth, si kubaliani na hoja kwamba ni hatari kuwa na watu kama Mayalla nchini. Ni vizuri sana kwa kila jambo kuwa na opposition, tusiamini katika kukubaliana tu ktk kila jambo. kutofautiana ki mtazamo ni jambo zuri sana
 
Katiba ni chaguo la wananchi. Kutamani ukomo wa urais sio dhambi. Kuna chama kilibadili baadhi ya vifungu na vipengele vya katiba zao kuridhia kuongeza mda wa uongozi wa uenyekiti.
Waliopinga wakafukuzwa chamani. Katiba sio biblia wala msahafu.
 
acha aongezewe tu kwni inakuuma nn?!!maana anafanya vizuri
Kipimo cha kufanya vizuri ni kipi? kwa case ya huyu maana yake utakuwa umelinganisha na waliopita...kwahiyo naweza kusema kufanya vizuri sio kigezo pekee bali kuna uwezekano wa atakaekuja akawa bora zaidi
 
Kwani akili zako zina ukubwa gani kaka yangu? unashindwa kuchangia mada unaropoka tu. kwani walioweka katiba walikuwa wanaumwa nini kuamua iwe kipindi cha miaka mitano mitano?
Kabla ya hapo ilikuwa miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom