Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
huu ni uchochezi na ni matusi kwa demokrasia ya nchi
mi situmii FB sbb sio mnafki km ww na familia yakoNenda FB kafanye mijadala huko,JF hatudili hoja kiboya namna hii!
Ndio nyie nyie.kesho mtamuita DIKTETA.usimwamini MTANZANIA.acha aongezewe tu kwni inakuuma nn?!!maana anafanya vizuri
acha aongezewe tu kwni inakuuma nn?!!maana anafanya vizuri
Mnafikiri magufuli akibadili katiba,jumuiya za kimataifa zitamuacha salama?mtawekewa vikwazo zaidi ya zimbabwe.njaa kali,pesa hamna,uchumi umekufa,hela haina thamani.
UNAFIKIRI KUNA MTU ATAINGIA BARABARANI TENA KUMSAPOTI MAGUFULI?
MTAJUTA.
Na angetokea wa kutaka apunguziwe muda hata mwezi mmoja kwenye hiyo miaka mitano,angekuwa amesha kamatwa,kwa uchochezi!Kama mnajua hajamaliza miaka mitano nini kinawasukuma kudai aongezewe muda? hivi mna kiwewe cha nini?
Tena huu ni uchochezi wa hali ya Juu sn
Wakoromije nawaona wengi wengi hapa, sijui kiswahili kigumu, hawajui kusoma, au tatizo liko wapi? Maana maada inasema hivi mtu anajibu vile, duh!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] waache tu wajiroge.magufuli kaingia kwa katiba.SIO MAPINDUZI.sasa mdanganyeni.mje muone cha moto.na vile hsmjawahi kuwekeweka vikwazo.mtamchukia mapema.Tanzania ikiwekewa vikwazo watakao umia ni wapinzani maana ccm wanaishi kwenye miji tofauti na wapinzani.
[URL='https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-kasi-hii-ya-magufuli-kuna-haja-kufanya-uchaguzi-wa-rais-2020.980346/page-4']Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...Wanaosema Rais aongezewe muda sio wachochezi?