Wanaodai rais kuongezewa muda sio wachochezi?

Wanaodai rais kuongezewa muda sio wachochezi?



Mayalla ni njaa kwa kisukuma, Hiyo kasi unayoisifia ingepimwa baada ya terms zake 2 ndio tupige kelele hizo za kumwongezea hiyo miaka mnayodai kaka yangu. Biblia inasema heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo.....Ninaamini ninyi hao mnaodai kuwa aongezewe muda mwakani mtakuja na nyimbo mpya.
 
Mayalla ni njaa kwa kisukuma, Hiyo kasi unayoisifia ingepimwa baada ya terms zake 2 ndio tupige kelele hizo za kumwongezea hiyo miaka mnayodai kaka yangu. Biblia inasema heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo.....Ninaamini ninyi hao mnaodai kuwa aongezewe muda mwakani mtakuja na nyimbo mpya.
Mkuu Vivanet, kweli kwa Kiswahili Mayalla ni njaa ila sio ile njaa ya kuhitaji shibe au mlo no njaa ya baa la njaa, famine, linalotokana ukame, draughts katakana na mabadiliko ya tabianchi.

Baada ya kuiona kasi yake aliyoanza nayo, hatuna haja ya kusubiri, miaka kumi ni michache haitoshi kunyoosha vizuri nchi ikanyooka.

Maadam wanaotaka aongezewe muda sio yeye bali ni watu, na katiba ni ya watu, na walioweka ukomo kwenye katiba ni watu, hivyo watu wakiamua kuuondoa ukomo, watauondoa tuu, kwa sababu katiba sio msahafu kusema haibadilishwi.

Tanzania ni nchi ya kidemokrasia yenye katiba ya watu iliyotengenezwa kidemokrasia na kuongozwa na watu, hivyo tuna serikali nzuri ya watu, inayoongozwa na watu, kwa manufaa ya watu, "of the people, by the people and for the people", we the people, tukiamua Magufuli aongezewe muda, ataongezewa muda!.

Nia tunayo, uwezo tunao na sababu tunazo. Nimezieleza humu Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Na 2025 akiamua mwenyewe kupumzika, tuneshauri Makonda aandaliwe kumpokea
. Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze....

Paskali
 
Mkuu Vivanet, kweli kwa Kiswahili Mayalla ni njaa ila sio ile njaa ya kuhitaji shibe au mlo no njaa ya baa la njaa, famine, linalotokana ukame, draughts katakana na mabadiliko ya tabianchi.

Baada ya kuiona kasi yake aliyoanza nayo, hatuna haja ya kusubiri, miaka kumi ni michache haitoshi kunyoosha vizuri nchi ikanyooka.

Maadam wanaotaka aongezewe muda sio yeye bali ni watu, na katiba ni ya watu, na walioweka ukomo kwenye katiba ni watu, hivyo watu wakiamua kuuondoa ukomo, watauondoa tuu, kwa sababu katiba sio msahafu kusema haibadilishwi.

Tanzania ni nchi ya kidemokrasia yenye katiba ya watu iliyotengenezwa kidemokrasia na kuongozwa na watu, hivyo tuna serikali nzuri ya watu, inayoongozwa na watu, kwa manufaa ya watu, "of the people, by the people and for the people", we the people, tukiamua Magufuli aongezewe muda, ataongezewa muda!.

Nia tunayo, uwezo tunao na sababu tunazo. Nimezieleza humu Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Na 2025 akiamua mwenyewe kupumzika, tuneshauri Makonda aandaliwe kumpokea
. Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze....

Paskali



If your intention is to change Tanzania to be Sukuma empire that idea is good, but if you are talking to make our country to remain stable and a peaceful country don't dare to think that again. You can't build a strong house with a very week foundation and you can't reap or harvest a sweet fruit on the bitter tree. evilness will never become holiness.
Something evil is triumph now in the country, kama wangetokea watu wakasema Rais apunguziwe muda kwa kuwa watanzania tunateseka, be honest kungekucha kabla ya watu hao kukamatwa na polisi kuwa ni wachochezi? my brother jitahidi kuwa mkweli, kwa nini hii mbinu ya kumtaka aongezewe muda inashika kasi? ni maandalizi halisi maana hii inaweza ikawa mbinu kutoka Rwanda na Uganda maana walianza hivi
 
Sio uchochezi hata kidogo. Uchochezi ni kuomba apunguziwe muda wa kuongoza.
 
If your intention is to change Tanzania to be Sukuma empire that idea is good, but if you are talking to make our country to remain stable and a peaceful country don't dare to think that again. You can't build a strong house with a very week foundation and you can't reap or harvest a sweet fruit on the bitter tree. evilness will never become holiness.
Something evil is triumph now in the country, kama wangetokea watu wakasema Rais apunguziwe muda kwa kuwa watanzania tunateseka, be honest kungekucha kabla ya watu hao kukamatwa na polisi kuwa ni wachochezi? my brother jitahidi kuwa mkweli, kwa nini hii mbinu ya kumtaka aongezewe muda inashika kasi? ni maandalizi halisi maana hii inaweza ikawa mbinu kutoka Rwanda na Uganda maana walianza hivi
Mkuu Vivanet, sio mipango mkakati wa re establishment of Ng'wana Ngosha Empire, bali kwa Tanzania hapa tulipofika we need bold able people who practice what they preach, akisema kitu fulani no ni no!. Ingekuwa ni Kikwete amepiga marufuku yale maandamano ya ukuta, watu wangeandanana tuu!.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Ameleta heshima mtaani!

Paskali
 
Mkuu Vivanet, sio mipango mkakati wa re establishment of Ng'wana Ngosha Empire, bali kwa Tanzania hapa tulipofika we need bold able people who practice what they preach, akisema kitu fulani no ni no!. Ingekuwa ni Kikwete amepiga marufuku yale maandamano ya ukuta, watu wangeandanana tuu!.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Ameleta heshima mtaani!

Paskali


Please can you work on my name? am not called Vivanet but Vivianet. I have said it is impossible to get a sweet fruit from a bitter tree, I read your mind since before that you are trying to convince me to appreciate the fifth term leadership. I don't ignore what they are doing but I can't walk along with someone who is stepping down the constitution with a deadly reason that the country has been going astray. And also that is not a permit to allow someone to reign beyond of his terms

Tanzania haihitaji dikteta kama unavyosema wala Magufuli siyo dikteta kama unavyadhani
 
Hao wanaomtaka Rais wetu Magufuli awe Rais wa maisha, hawawezi kuitwa wachochezi kwa kuwa mapendekezo yao yanamfurahisha Mkulu.

Tafsiri mpya ya neno UCHOCHEZI ni matamko yoyote ya kumkosoa Mkulu au kuongea mambo yanayomuudhi Bwana mkubwa.....

Ndiyo maana tokea yaanze maandamano yanayodaiwa ni ya wananchi wanaotaka muda wa Rais Magu uongezwe kutoka mihula 2 ya sasa hadi awe Rais wa maisha, hatujasikia Polisi kuyazuia ingawa hayajaombewa kibali, kwa kuwa yana all blessings za Bwana mkubwa!

Kiuhalisia maandamano na matamko hayo ndiyo yangepaswa yaitwe ya uchochezi kwa kuwa yanakiuka waziwazi Katiba yetu ya nchi ambayo ndiyo sheria mama, ambayo imeweka ukomo wa Rais kukaa madarakani isiwe zaidi ya vipindi 2 vya miaka mitano mitano.
 
Please can you work on my name? am not called Vivanet but Vivianet. I have said it is impossible to get a sweet fruit from a bitter tree, I read your mind since before that you are trying to convince me to appreciate the fifth term leadership. I don't ignore what they are doing but I can't walk along with someone who is stepping down the constitution with a deadly reason that the country has been going astray. And also that is not a permit to allow someone to reign beyond of his terms

Tanzania haihitaji dikteta kama unavyosema wala Magufuli siyo dikteta kama unavyadhani
Vivianet, sometimes you have to swallow the bitter with sweet, ili ukombozi wa kweli upatikane sometimes lazima watu wale mijeledi, wateswe na kuteseka, na ni kwa kupigwa kwao sisi tunaponywa. Ili kupata dhahabu safi, lazima kwanza ipitie kwenye tanuru la moto. Magufuli anaipitisha nchi kwenye tanuru la moto kuisafisha dhahabu yake, ikitoka itakuwa ni dhahabu safi, tatizo rundo la dhahabu chafu ni kubwa sana kwa muda uliopo kuisafisha, hivyo tunampigia chapuo akae as long as it takes kusafika, kama atahitaji muda kama Kagame, Museveni au Mugabe, let it be!.

P.
 
Unapoona raia mmoja masikini amebeba bango linasomeka "JPM aongezewe miaka 100" huku pembeni yake yupo former Prime Minister na mwenyekiti wa Tume ya Katiba iliyosisitiza na kupendekeza umuhimu wa ukomo wa uongozi hadi kwa Wabunge ndo utaelewa kwa nini ukila na kushiba asubuhi, mchana unataka kula tena. Bwana Mkubwa is totally behind all this nonsense.
 
Naamini Tanzania inatawaliwa ki Katiba wala siamini kama Rais wa awamu ya 5 anaweza kufikiria kujiongezea mda wa kuwa Madrakani Urais ni mzigo tena mzito wenda isingekuwa Katiba tungekuwa tunakutana na Maamuzi magumu ya Kuutua kwani Mzigo wa Kutawala uzito wake anaujua alieubeba tuungane kuwa Ombea Viongozi wetu wa kila Ngazi wamebeba mizigo mizito Mungu awatie Nguvu kila mmoja kwa Kada yake aweze kutimiza Majukumu yake kwa mjibu wa Katiba na Kwa uzalendo mkubwa kama kiapo chake Mbere ya Mungu na Dunia/Walimwengu
 
Uchochezi ni nini? nadhani swali hili watu wenye akili za kibashite watasema bado nafanya uchochezi.

Hoja yangu:hivi hizi kauuli zinazotolewa na wanalumumba kuhusu raisi kuitawala Tanzania maisha nafikiri huu ndo uhochezi mkubwa kwa mantiki hizi.

1.Ili raisi atutawale kwa muda wanaotaka wao itabidi avunje katiba na akivunja katiba mpinzani gani ataacha ili litokee so ili litasababisha machafuko makubwa.

2.tuangalie nchi jirani maraisi waliokaa madarakani kwa mda wanaotaka wao kwa kusikiliza mawazo ya kipuuzi wanayopewa na wazee wao baada ya kuwanywesha pombe,hebu fikiria ukurunzinza uingie Tanzania amani itakwepo kweli?

3.kama raisi mstaafu anadiriki kushauri mtu aongeze muda wa kukalia kiti cha uraisi wakati yeye kipindi cha uraisi wake hakuongeza hata sekunde moja,lengo lake ni nini hasa kwa raisi wa wanyonge wakati raisi wa wanyonge mwenyewe anajuta kwa nini aligombea.

Tunapoelekea watasema uraisi uwe wa kurithi ilimradi tu kummpa uraisi DAUD ALBERT BASHITE.

wananchi wa geita mtutake radhi watanzania hii si nchi yenu ni nchi ya watanzania wote mkiona mmempenda mtu sana muiteni aje kuwa kiongozi wenu wa mila huko geita.eleweni uraisi nchini kwetu ni awamu mbili tu.

kwanini vyombo vya dora visiyakamate haya machochezi yakakae magerezani na yaishi kama mashetani?
@1998
 
hongera kwa kuleta thread, lakini ni nyepesi mno...namaanisha utakuwa na upeo mdogo wa kuelewa hoja nzito nzito zitolewazo na watu aina ya mzee mwinyi au umelishwa vibaya. pia usilete uzi wa kiwango cha chini hivi ikiwa waliopita wameleta hoja km hiyo tena kwa kiwango cha juu!
 
hongera kwa kuleta thread, lakini ni nyepesi mno...namaanisha utakuwa na upeo mdogo wa kuelewa hoja nzito nzito zitolewazo na watu aina ya mzee mwinyi au umelishwa vibaya. pia usilete uzi wa kiwango cha chini hivi ikiwa waliopita wameleta hoja km hiyo tena kwa kiwango cha juu!

Hoja yake ni ya msingi. Ebu tulia, uchochez unapimwaje?
 
Tanzania usipomsifia rais ni uchochezi. Ngoja nichoche tuna rais mropokaji hana uwezo wa kuipeleka nchi katika uchumi wa kati. Poleni ujinga wakati wa kwenda si wakati wa kurudi.
 
hongera kwa kuleta thread, lakini ni nyepesi mno...namaanisha utakuwa na upeo mdogo wa kuelewa hoja nzito nzito zitolewazo na watu aina ya mzee mwinyi au umelishwa vibaya. pia usilete uzi wa kiwango cha chini hivi ikiwa waliopita wameleta hoja km hiyo tena kwa kiwango cha juu!
Uzuri wa Tanzania wa leo sio wale wadanganyika wa kushangilia kila kitu. ..usilazimishe watu wakipende wasichokipenda , ni mtazamo tu.
 
Zipo kauli nyingi za uchochezi, lakini kwa kuwa zinakuwa zimetolewa na Bwana yule au zinakuwa zimetolewa na upande wa watawaka zinakuwa hazionekani kuwa za uchochezi.

Nitatoa mifano ya baadhi ya kauli hizo:-

Mwananchi kutoa maoni yake ni haki yake ya kikatiba kwa mujibu wa Katiba, lakini utamsikia Mkulu anapiga mkwara kuwa yeyote atakayetoa maoni kinyume chake anaita ni kuleta fyoko fyoko kwa hiyo atakiona cha moto!

Wabunge kutoa maoni yao bungeni ni wajibu wao kwa mujibu wa Katiba ya nchi na kwa mujibu wa kanuni za kibunge, lakini cha ajabu kila siku tumeshuhudia wabunge wa upinzani wakifukuzwa bungeni kionevu na viongozi wa wabunge ambao ni wanaccm na Mkuu wa nchi anampa big up Spika Ndugai kwa vitendo vyake hivyo vya uonevu na anamhakikishia kuwa Spika akishawatimua na yeye kama Amiri Jeshi Mkuu, wakija huku uraiani na yeye atawashughulikia hao wabunge wanaoitwa na wanaccm kuwa eti ni wabunge watukutu!

Hivi kauli hiyo ya Mkulu na mshikamano wanauonyesha wabunge wa CCM bungeni kutaka kuwaziba mdomo wabunge wa upinzani, je huo sio uchochezi mkubwa?

Je na haya maandamano yanayoendelea nchini kote ambayo hayana hata vibali vya vyombo vya dola ambayo wananchi hao wanadai eti wanaridhishwa sana na utendaji wa Rais na hivyo wanapendekeza Rais wetu asiongoze kwa miaka 10 tu anayohitajika kikatiba, Bali aongoze kwa miaka 100 ijayo mfululizo!

Naamini kama Jeshi letu la Polisi lingekuwa linafanya kazi yake kwa weledi na kwa kutumia taaluna yao ya kazi lingewatia ndani wananchi wote wanaobeba hayo mabango yanayomtaka Rais wetu avunje Katiba ya nchi yetu ili ajiongezee muda wa kutawala!

Badala yake tunashuhudia Jeshi letu la Polisi kila siku linafanya juhudi kubwa kuwakamata viongozi wa vyama vya upinzani kwa 'vijikosa' visivyokuwa na kichwa wala miguu!
 
Uchochezi kama huu ulitokea wakati awamu ya pili ikikaribia kuisha ambapo baadhi ya watu akiwemo marehemu Horace Kolimba (katibu Mkuu wa CCM enzi hizo) walijenga hoja kuwa Mzee Ruksa aongezewe muda wa urais. Aliyemaliza huo ulevi wa madaraka enzi hizo alikuwa ni Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambaye alieleza kuwa wale waliopendekeza muda uongozwe walifanya hivyo kwa manufaa yao binafsi na siyo manufaa ya nchi wala raisi aliyekuwa madarakani Enzi hizo yaani Mzee ruksa. Na lisisitiza kuwa hata yeye kuna watu walimshauri kuwa asing'atuke kwa sababu nchi ilikuwa bado changa kwa yeye kung'atuka. Baadaye aligundua kuwa nchi walizokuwa wakiongelea hao wapambe zilikuwa ni familia zao na siyo Tanzania.
Hapa unaona tofauti ya akili
 
Back
Top Bottom