my house.... My rules.......
Muishi na ndugu mwenye uhitaji haswa na awe na shughuli ya kufanya. Ukiishi na ndugu ambaye yupo yupo tu mtaishia kugombana.
Akifika mkae na mumeo mumpe abc utaratibu wa nyumba yenu hawezi mwambieni wazi milango iko wazi
kama ana ugonjwa unaohitaji attention au masharti fulani aseme siku ya kwanza kabisa msije kwazana mbeleni
unajua ndugu zako mwanamke ni rahisi kuwakemea na kuwapiga biti sasa ndugu wa mwenzio wanaweza wakuone una roho mbaya
pia mke jifunze kuchukulia easy baadhi ya vitu na kumbuka hao ni wapitaji tu
mwisho watendee vile wewe ungependa kutendewa
word !