Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Exactly ila kwa family za kitanzania/ africa bado ni ngumu,umetoka tu honeymoon unakutana na msururu wa ndugu wameshajifungasha virago vyao wsnahamia kwako,daah aisee halafu wao ndo wanakua mababa wenye nyumba on behalf of their brother,just imagine,hii niliishuhudia kwa best yangu,tulisimamia ndoa yake sasa siku amerudi toka honeymoon alikuta ndugu wa mume washahamia
Siajaabu hata tution classes bi harusi anawajibika.... baada ya kuwaandalia chakula ! ( lakini jamanii hosteli zipo nyingi,Mama ntilie zipo kila kona, Khaa sijui tabia gani zisizoeleweka? ) Lifu tunaishi once !