wanandoa badilikeni

Chauro

JF-Expert Member
Aug 20, 2010
2,968
1,475
:crying:weekend hii niliamua kuzungukia viwanja mbalimbali kwa ajili yakuona yanayojiri mjini hapa lakini katika mambo yaliyonivuta ni jinsi watu niliwaona wametoka vijana ambao hawajaoa au ambao walikuwa wametoka kama groups walinifurahisha sana sasa ukija kwa wale waliokuwa mke na mume mara mume yuko busy na simu kageukia upande mwingine au wako kama wanasikiliza mahubiri hivi huwa mkiwa pamoja ndo kuweka heshima au kunakuwa hamna habari za kuelezana hembu nisaidieni kwa hili naamini kuna ambao wameshaona hili au wao wenyewe ndo wahanga
 
Ngoja nikupe siri

Mapenzi yanaishia pale altareni wakati ukikabidhiwa cheti cha ndoa.
Mind you, cheti cha ndoa kina Nembo ya Taifa (BIBI NA BWANA) na wala si Msalaba, kwa maana kuwa kuanzia pale sheria iko kwenye mkondo!

btw, ingia huko uyaone!
 
Hivi unawezaje kujua kwa uhakika relationship status za watu kwa kuwaangalia tu?
 
ndoa nyingi sana zinamatatizo na visababishi ni wanaume,hivi inakuwaje mwanaume anajua fika huyu ni mke wa mtu na wewe unamtokea?wewe unajua una mke iweje umtokee msichana tena kabinti kadogo? iweje wewe unagirl friend wako na bado unawatokea wengine? mimi bwana tatizo kubwa ni kina baba,hata wasichana wanao jiuuza,wanajiuza kwa sababu wanaume wapo wanao nunua
 
hapa naona pana kazi ina maana watu wanaoana kutimiza wajibu au ni kama fashion fulana ivi
Ngoja nikupe siri

Mapenzi yanaishia pale altareni wakati ukikabidhiwa cheti cha ndoa.
Mind you, cheti cha ndoa kina Nembo ya Taifa (BIBI NA BWANA) na wala si Msalaba, kwa maana kuwa kuanzia pale sheria iko kwenye mkondo!

btw, ingia huko uyaone!
 
Hivi unawezaje kujua kwa uhakika relationship status za watu kwa kuwaangalia tu?
mtu mzima ukiwa makini hata kama utakosea kwenye couples mbili nyingine mbili utakuwa sawa we jaribu siku moja halafu utajipa majibu mwenyewe
 
:crying:weekend hii niliamua kuzungukia viwanja mbalimbali kwa ajili yakuona yanayojiri mjini hapa lakini katika mambo yaliyonivuta ni jinsi watu niliwaona wametoka vijana ambao hawajaoa au ambao walikuwa wametoka kama groups walinifurahisha sana sasa ukija kwa wale waliokuwa mke na mume mara mume yuko busy na simu kageukia upande mwingine au wako kama wanasikiliza mahubiri hivi huwa mkiwa pamoja ndo kuweka heshima au kunakuwa hamna habari za kuelezana hembu nisaidieni kwa hili naamini kuna ambao wameshaona hili au wao wenyewe ndo wahanga

Ulitumia kigezo gani kuwatambua hawa ni wana ndoa au laa?

Kumbe bado hujakua wewe. How old are little pupil?
 
asante mike lakini naomba kupingana na wewe kidogo sio wanaume tu ndo wana matatizo kuna kina mama nao we acha kabisa wako kama ulivoeleza hapa
ndoa nyingi sana zinamatatizo na visababishi ni wanaume,hivi inakuwaje mwanaume anajua fika huyu ni mke wa mtu na wewe unamtokea?wewe unajua una mke iweje umtokee msichana tena kabinti kadogo? iweje wewe unagirl friend wako na bado unawatokea wengine? mimi bwana tatizo kubwa ni kina baba,hata wasichana wanao jiuuza,wanajiuza kwa sababu wanaume wapo wanao nunua
 
we bwana jibu swali niliwajuaje hayo mengine niachie mimi mi ni mtu mzima unajuaje kama nilikutana na couples kadhaa nazifahamu
Ulitumia kigezo gani kuwatambua hawa ni wana ndoa au laa?

Kumbe bado hujakua wewe. How old are little pupil?
 
ndoa nyingi sana zinamatatizo na visababishi ni wanaume,hivi inakuwaje mwanaume anajua fika huyu ni mke wa mtu na wewe unamtokea?wewe unajua una mke iweje umtokee msichana tena kabinti kadogo? Iweje wewe unagirl friend wako na bado unawatokea wengine? Mimi bwana tatizo kubwa ni kina baba,hata wasichana wanao jiuuza,wanajiuza kwa sababu wanaume wapo wanao nunua

kweli wababa tatizo lakini nikisoma hapo juu
tatizoooooooooo kubwa ni wadada/mama "kujirahisisha ovyo kwa wanaume"" mwanamke ukisema no asikwambie mtu ataishia kuchungulia bastola
 
Hivi unawezaje kujua kwa uhakika relationship status za watu kwa kuwaangalia tu?
chek kwenye trafiki jam;
ukiona mwanume na mwanamke wamekaa tu kwenye gari bibi macho mbele bwana bize na mskan basi ujue ao wanandoa
ukiona wanaongea ongea vicheeeko vingi basi ujue kampa lift kimada wake labda apo wanapongezana jinsi walivyopododoa jana
ukiona stor nying bar mkono wa eva umeshikwa na adam mara kamlalia bega mara kamshka ndevu bas ujue ao wachumba au mtu na hawara yake
ukiona bibie macho mbele bwana kashika gazet bar maongez mpk muhudumu aje that vp utaongeza basi ujue ao ni mtu na mume wake
ukiona kwenye meza poch yake bwana kaishika ,miguu imewekwa juu ya mapaja ya bwana ujue uyu ana mke uyu ana mme bt wamemisi kufanya ayo manjonjo so wanafarijiana (ni wahanga wa mapenz mfu uko kwenye uhusiano wao)
NI WACHACHE SANA WANAENDELEZA VICHEKO NA SHAMRA SHAMRA MAHABA AFTA MARRIAGE...............eeeh mola nsaidie mie manake dahhhhhh hatari!!!!!!
 
Hivi unawezaje kujua kwa uhakika relationship status za watu kwa kuwaangalia tu?

Ukitaka kujua huyu ni mke na mume we angalia tu hata kwenye gari wakiwa wote Baba yuko busy na steering mama may be na simu then we angalia msichana na mwanaume asiye mume wake utakuta vicheko kibao wanasimuliana hili na lile. Unajua kwanini hili linatokea Mama au Baba anajua hana haraka ya kuongea na mwenzake nyumbani wataongea lakini ukikuta ni wa muda lazima wamalize kila kitu mle ndani ya gari so utagundua tuu kaka
 
chek kwenye trafiki jam;
ukiona mwanume na mwanamke wamekaa tu kwenye gari bibi macho mbele bwana bize na mskan basi ujue ao wanandoa
ukiona wanaongea ongea vicheeeko vingi basi ujue kampa lift kimada wake labda apo wanapongezana jinsi walivyopododoa jana
ukiona stor nying bar mkono wa eva umeshikwa na adam mara kamlalia bega mara kamshka ndevu bas ujue ao wachumba au mtu na hawara yake
ukiona bibie macho mbele bwana kashika gazet bar maongez mpk muhudumu aje that vp utaongeza basi ujue ao ni mtu na mume wake
ukiona kwenye meza poch yake bwana kaishika ,miguu imewekwa juu ya mapaja ya bwana ujue uyu ana mke uyu ana mme bt wamemisi kufanya ayo manjonjo so wanafarijiana (ni wahanga wa mapenz mfu uko kwenye uhusiano wao)
NI WACHACHE SANA WANAENDELEZA VICHEKO NA SHAMRA SHAMRA MAHABA AFTA MARRIAGE...............eeeh mola nsaidie mie manake dahhhhhh hatari!!!!!!
hapa umesema kweli kabisa rose sijui kwnin watu wakishaowana mapenzi yanapungua jamani me mpaka sometime naogopa hii kitu
 
chek kwenye trafiki jam;
ukiona mwanume na mwanamke wamekaa tu kwenye gari bibi macho mbele bwana bize na mskan basi ujue ao wanandoa
ukiona wanaongea ongea vicheeeko vingi basi ujue kampa lift kimada wake labda apo wanapongezana jinsi walivyopododoa jana
ukiona stor nying bar mkono wa eva umeshikwa na adam mara kamlalia bega mara kamshka ndevu bas ujue ao wachumba au mtu na hawara yake
ukiona bibie macho mbele bwana kashika gazet bar maongez mpk muhudumu aje that vp utaongeza basi ujue ao ni mtu na mume wake
ukiona kwenye meza poch yake bwana kaishika ,miguu imewekwa juu ya mapaja ya bwana ujue uyu ana mke uyu ana mme bt wamemisi kufanya ayo manjonjo so wanafarijiana (ni wahanga wa mapenz mfu uko kwenye uhusiano wao)
NI WACHACHE SANA WANAENDELEZA VICHEKO NA SHAMRA SHAMRA MAHABA AFTA MARRIAGE...............eeeh mola nsaidie mie manake dahhhhhh hatari!!!!!!


mmmmmh macho yako yanajua kukodoa eeeeeeeeeh!umeweza kuona yote hayo binti?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom