Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,475
:crying:weekend hii niliamua kuzungukia viwanja mbalimbali kwa ajili yakuona yanayojiri mjini hapa lakini katika mambo yaliyonivuta ni jinsi watu niliwaona wametoka vijana ambao hawajaoa au ambao walikuwa wametoka kama groups walinifurahisha sana sasa ukija kwa wale waliokuwa mke na mume mara mume yuko busy na simu kageukia upande mwingine au wako kama wanasikiliza mahubiri hivi huwa mkiwa pamoja ndo kuweka heshima au kunakuwa hamna habari za kuelezana hembu nisaidieni kwa hili naamini kuna ambao wameshaona hili au wao wenyewe ndo wahanga