HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 607
- 553
Habarini,
Nimekutana na hali hii ambapo kuna baadhi ya shule za sekondari zimejiwekea utaratibu wa wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne kulazimisha wanafunzi kusoma kipindi cha likizo bila kupumzika kwa malipo ya 3,000/= kwa madai kuwa vikao vya wazazi ndiyo vimeruhusu.
Huu utaratibu naupinga kwani ni kuwachosha wanafinzi na pia walimu wanatakiwa kupumzika ili kujiandaa na muhula unaofuata kitu ambacho kinsababisha wanafunzi kukinaiwa na shule kwa kupoteza hamu.
Serikali iliwahi kupinga utaratibu huu wa masomo ya ziada kwa malipo ikiwa na maana yake lakini baadhi ya walimu wamebuni huu mradi kwa kuubadilisha na kudai ni "by laws " za shule kila mwanafunzi lazima asome kipindi cha likizo kwa vikao vya wazazi ndiyo vimeridhia,je sheria,ratiba na taratibu za uendeshawaji wa shule zinapangwa na wazazi?
Mzazi analipia ada ili mwanafunzi asome kwa utaratibu uliowekwa na wizara siyo shule na wanafunzi wote wanatakiwa kusoma kwa muda uliopangwa na kwa pamoja lakini walimu wanasema mwanafunzi ambaye atakuwa haudhurii kipindi cha likizo atakuwa na kukosa yaliyofundishwa kipindi cha likizo hatafundishwa na atakuwa amepitwa,je hii ni sawa?
Kipindi cha likizo kuna wanafunzi wanasafiri au wanatakiwa kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii ili kujijenga na kupata uzoefu kwani maisha siyo shule tu lakini muda wote walimu wanataka wafundishe walipwe 3,000 kwa kichwa je hiyo siyo tuition?
Hiyo siyo elimu bora bali bora elimu na kama walimu wanafanya wema basi wafundishe bure kwani huko siyo kujitolea bali ujanjaujanja.
Naomba waziri wa elimu uzuie hii kitu inakera na inaleta ubaguzi kwani kuna wazazi wengine hawana pesa hiyo na pia wanafunzi wanatakiwa wapumuzike kulingana na ratiba.
Uelewa wa mwanafunzi kama ni 20%hata akisoma miaka mia moja hautaongezeka utabaki uleule.
Asante.
Nimekutana na hali hii ambapo kuna baadhi ya shule za sekondari zimejiwekea utaratibu wa wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne kulazimisha wanafunzi kusoma kipindi cha likizo bila kupumzika kwa malipo ya 3,000/= kwa madai kuwa vikao vya wazazi ndiyo vimeruhusu.
Huu utaratibu naupinga kwani ni kuwachosha wanafinzi na pia walimu wanatakiwa kupumzika ili kujiandaa na muhula unaofuata kitu ambacho kinsababisha wanafunzi kukinaiwa na shule kwa kupoteza hamu.
Serikali iliwahi kupinga utaratibu huu wa masomo ya ziada kwa malipo ikiwa na maana yake lakini baadhi ya walimu wamebuni huu mradi kwa kuubadilisha na kudai ni "by laws " za shule kila mwanafunzi lazima asome kipindi cha likizo kwa vikao vya wazazi ndiyo vimeridhia,je sheria,ratiba na taratibu za uendeshawaji wa shule zinapangwa na wazazi?
Mzazi analipia ada ili mwanafunzi asome kwa utaratibu uliowekwa na wizara siyo shule na wanafunzi wote wanatakiwa kusoma kwa muda uliopangwa na kwa pamoja lakini walimu wanasema mwanafunzi ambaye atakuwa haudhurii kipindi cha likizo atakuwa na kukosa yaliyofundishwa kipindi cha likizo hatafundishwa na atakuwa amepitwa,je hii ni sawa?
Kipindi cha likizo kuna wanafunzi wanasafiri au wanatakiwa kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii ili kujijenga na kupata uzoefu kwani maisha siyo shule tu lakini muda wote walimu wanataka wafundishe walipwe 3,000 kwa kichwa je hiyo siyo tuition?
Hiyo siyo elimu bora bali bora elimu na kama walimu wanafanya wema basi wafundishe bure kwani huko siyo kujitolea bali ujanjaujanja.
Naomba waziri wa elimu uzuie hii kitu inakera na inaleta ubaguzi kwani kuna wazazi wengine hawana pesa hiyo na pia wanafunzi wanatakiwa wapumuzike kulingana na ratiba.
Uelewa wa mwanafunzi kama ni 20%hata akisoma miaka mia moja hautaongezeka utabaki uleule.
Asante.