Mkuu najua unakipenda sana chuo chako,lakini ukweli unabaki pale pale UDOM ni sombasomba ya wanafunzi wa aina mbalimbali aliofaulu sana,wastani na kidogo.Wengi wanaojiunga na chuo hicho ni waliokosa UDSM,SUA,MZUMBE,ARDHI UNIVERSITY,MUHIMBILI UNIVERSITY.Najua utabisha sana lakini true will prevail.Jingine ni kuwa uanzishwaji wa UDOM ulikuwa ni wa kisiasa zaidi badala ya kufuata misingi ya kawaida ya uanzishwa wa Vyuo vikuu.Kwa mfano uwezi kutaka kutoa PHD wakati chuo hakina PHD holders wa kutosha na wenye uzoefu unaohitajika.kinachohalibu zaidi ni pale wanasiasa wanapojipanga kuakikisha ifikapo 2015 chuo kiwe na wanafunzi 50000 bila kujali miundombinu ya chuo.Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anasoma shahada ya uzamili na akafanikiwa kumaliza course work mwaka 2009,lakini cha kushangaza ni kuwa kwa bahati mbaya mbaka leo hii hajapata mwalimu wa kumsimamia disertation yake ili aweze kukamilisha masomo yake.Maana yake ni kuwa chuo kilidahili wanafunzi wa shahada ya uzamili bila ya kujali miundombinu yake.Hii ni aibu kubwa kwa Chuo!!
WanaJf nimefanya uchunguzi kwa muda mrefu nimegundua wanafunzi waliomaliza UDOM bado hawajapata kazi/ajira wala hawaitwi knye interview, tujadili kwa pamoja tatizo ninini?
1. Chuo ni kipya, bado hakijulikani sana!
2. Waliochaguliwa kujiunga na UDOM walikuwa vilaza(wanafunzi wale wa Kata) hivyo understanding bado iko chini
3. kwa ujumla elimu ya UDOM iko chini ya kiwango!
4. Waajiri wengi(private) wanaamini UDOM ni chuo cha ccm, na wao kuichukia ccm hawataki kuajiri wahitimu wa chuo cha ccm!
naomba kuwakilisha jamvini mwenye maoni tofauti
Hii research yako inawezekana ni ya kufikirika.....Udom wamefanya graduation mwezi december.....bila shaka walimaliza mwezi June/July 2010.Kwa upatikanaji wa ajira tanzania,ni fani chache sasa unazoweza kupata kazi mara baada ya kumaliza chuo....Iwe umemaliza UDSM,ARDHI,UOA,TUMAINI,SAUTI au pengine popote,lazima usage sory tu ndo upate ajira.We fikiria hata walimu waliokuwa wameahidiwa ajira ya moja kwa moja na serikari bado wanasaga sori mpaka sasa....ije iweje watu km ma-PUBLIC ADMNISTRATORS,ma-SOCIOLOGIST,ma-HRM, n.k...............
MKUU,TATIZO SIO UDOM WALA UDSM,TATIZO NI MFUMO WA AJIRA HAPA BONGO NI MBOVU SANA....KUNA WATU WANASOMA NA HAWAFANYI KILE WALICHOSOMEA MAISHANI....MAISHA NI MAGUMU BONGO.
WanaJf nimefanya uchunguzi kwa muda mrefu nimegundua wanafunzi waliomaliza UDOM bado hawajapata kazi/ajira wala hawaitwi knye interview, tujadili kwa pamoja tatizo ninini?
1. Chuo ni kipya, bado hakijulikani sana!
2. Waliochaguliwa kujiunga na UDOM walikuwa vilaza(wanafunzi wale wa Kata) hivyo understanding bado iko chini
3. kwa ujumla elimu ya UDOM iko chini ya kiwango!
4. Waajiri wengi(private) wanaamini UDOM ni chuo cha ccm, na wao kuichukia ccm hawataki kuajiri wahitimu wa chuo cha ccm!
naomba kuwakilisha jamvini mwenye maoni tofauti
WanaJf nimefanya uchunguzi kwa muda mrefu nimegundua wanafunzi waliomaliza UDOM bado hawajapata kazi/ajira wala hawaitwi knye interview, tujadili kwa pamoja tatizo ninini?
1. Chuo ni kipya, bado hakijulikani sana!
2. Waliochaguliwa kujiunga na UDOM walikuwa vilaza(wanafunzi wale wa Kata) hivyo understanding bado iko chini
3. kwa ujumla elimu ya UDOM iko chini ya kiwango!
4. Waajiri wengi(private) wanaamini UDOM ni chuo cha ccm, na wao kuichukia ccm hawataki kuajiri wahitimu wa chuo cha ccm!
naomba kuwakilisha jamvini mwenye maoni tofauti
Lisemwalo lipo kama halipo.....................
Mimi nafikiri UDOM mwaajiri wao ni CCM,kwa hiyo ni vizuri wakalalamika kwa Makamba kuwa wamechakachuliwa ajira zaoWanaJf nimefanya uchunguzi kwa muda mrefu nimegundua wanafunzi waliomaliza UDOM bado hawajapata kazi/ajira wala hawaitwi knye interview, tujadili kwa pamoja tatizo ninini?
1. Chuo ni kipya, bado hakijulikani sana!
2. Waliochaguliwa kujiunga na UDOM walikuwa vilaza(wanafunzi wale wa Kata) hivyo understanding bado iko chini
3. kwa ujumla elimu ya UDOM iko chini ya kiwango!
4. Waajiri wengi(private) wanaamini UDOM ni chuo cha ccm, na wao kuichukia ccm hawataki kuajiri wahitimu wa chuo cha ccm!
naomba kuwakilisha jamvini mwenye maoni tofauti
mimi nafikiri udom mwaajiri wao ni ccm,kwa hiyo ni vizuri wakalalamika kwa makamba kuwa wamechakachuliwa ajira zao
naungana nae kwa asilimia laki tatu kama mshahara wangu. Ni kweli bongo ajira ngumu. Pia wahitimu wa vyuo so far hawakuwa na transcript na ilikuwa tatzo sana. Pia ajira kujuana sana. Mfano exim ukiwa kabila flan umeula, na Std Chartered bank policy kabla ya 2009 walikuwa wanabeba graduates Mzumbe na Udsm tu bt mwaka 2009 Hr ambaye mwandani wake alihama toka Std tz,kwenda std chartered bank kama sikosei alienda Arabuni,aliondoka na mwanandani wake ambaye alikuwa profesa mliman. Tangu apo iyo benk imeanza ajiri watu wa IAA,IFM na CBE,hapa tusibishane,saka ukweli upate jibu. Pia utagundua wote walio pale bank temporal na contract kwa sasa ni ifm 95%. So system za ajira ngumu.
Mnanikatisha tamaa, nilikuwa nafikiria kuja nyumbani na nitafute kibarua huko. Nimemaliza BBA (Fin.) pale Georgia Institute of Technology/Ga Tech. Kwa mtaji wa ajira huko nyumbani mnaousema, je niendelee kupiga box?
Ushauri please!!