tama
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 602
- 71
vyuo vyote tanzania ni vilaza hakuna jipya 2napitwa ata na Somalia!
Mmmh ya kweli hayo?
vyuo vyote tanzania ni vilaza hakuna jipya 2napitwa ata na Somalia!
wanajf nimefanya uchunguzi kwa muda mrefu nimegundua wanafunzi waliomaliza udom bado hawajapata kazi/ajira wala hawaitwi knye interview, tujadili kwa pamoja tatizo ninini?
1. Chuo ni kipya, bado hakijulikani sana!
2. Waliochaguliwa kujiunga na udom walikuwa vilaza(wanafunzi wale wa kata) hivyo understanding bado iko chini
3. Kwa ujumla elimu ya udom iko chini ya kiwango!
4. Waajiri wengi(private) wanaamini udom ni chuo cha ccm, na wao kuichukia ccm hawataki kuajiri wahitimu wa chuo cha ccm!
Naomba kuwakilisha jamvini mwenye maoni tofauti
Watakuwa wamefundishwa kujiajiri. Kwani kila anaemaliza lazima akaajiriwe?
Kwanza ajira zenyewe ngumu ngumu siku hizi.
mpuuzi mkubwa kilaza ni wewe huwezi hata kujilinganisha na watu wa udom ungeonyesha ni jinsi gani wewe uko competency ndio useme kuwa udom iko chini kama unabisha naomba uonyesha matokeo yako ya form six ulipata ngapi ndio useme acha kukurupuka.WanaJf nimefanya uchunguzi kwa muda mrefu nimegundua wanafunzi waliomaliza UDOM bado hawajapata kazi/ajira wala hawaitwi knye interview, tujadili kwa pamoja tatizo ninini? 1. Chuo ni kipya, bado hakijulikani sana!2. Waliochaguliwa kujiunga na UDOM walikuwa vilaza(wanafunzi wale wa Kata) hivyo understanding bado iko chini3. kwa ujumla elimu ya UDOM iko chini ya kiwango!4. Waajiri wengi(private) wanaamini UDOM ni chuo cha ccm, na wao kuichukia ccm hawataki kuajiri wahitimu wa chuo cha ccm! naomba kuwakilisha jamvini mwenye maoni tofauti
Gpa hazisomi.. Waache siasa