JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
good
Kawaida ya wanachuo now days coz mi niliona cm ya fiance wangu eti anamwambia sa ukinichunia unategemea mi ntaishije niliishiwa tu pozi yaan inaonyesha kabisa wako kipesa zaidi sasa wanaume kazi kwenu.......
9008160 said:ulivoona ulifanyaje maana inaonekana ur fiance anahudumia
katika hao 6 mie ni mmoja wapo!!!!!!!
msomi wa kihaya umekuja kutusema huku JF
JJB,kutowaambia huko na kuja hapa kukashifu wanafunzi wa kike wa UDSM ni kukosa ujasiri na kujiamini.Kama wewe ni mwananume usiyekubaliana na hilo,waambie huko huko.Ifikie mahali,msilete ajenda zenu za kitoto hapa.Unataka kuchafua sifa ya UDSM? Kuwa makini kijana
Mzee Tupatupa
It is College life & Campus at large,just concetrate with ure busy schedule and forget about ladies
Wakuu,
Mimi niko chuoni UDSM nafanya Masters mwaka wa kwanza.
Muda mwingi huwa najipumzisha maeneo ya COET block P kwenye room yetu watu wa masters. Kwa kweli nimekua nikikelwa na hawa watoto wa kike kwa tabia zao chafu.
Unakuta mtu unajisomea litoto linatoka huko na kuanza kukuomba namba ya simu bila hata salamu. hujakaa sawa atakuomba hela ya lunch, jamani imekua kama ni tabia sasa. Manake tangu jumatatu nimefatwa na wasichana sita wote wakita namba yangu ya simu na kujitongozesha.
Ni tabia mbovu sana wakuu na inanikera. Usomi wa hawa watusiuoni kabisa. Ni wiki moja tu imepita wamewekewa boom ila cha kusikitisha wanaomba sana hela. Tena wanajirahisha sana kuhusu jambo la kugegedwa!