UDSM hili linawahusu!

UDSM hili linawahusu!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
17,014
Reaction score
26,175
Wanafunzi wa UDSM hasa Engineering na Law , Tangu wanapoingia mwaka wa kwanza mpaka wanamaliza , wanakuwa wamekula kama unavyoona.

b.jpg
 
Wanafunzi wa UDSM hasa Engineering na Law , Tangu wanapoingia mwaka wa kwanza mpaka wanamaliza , wanakuwa wamekula kama unavyoona.

View attachment 3660501
UDSM nilisoma miaka 4 baada ya kumaliza kuna vyakula sikuweza kula miaka mingi sana
1.chapati
2.mihogo
3.Wali maharage -mpaka leo sipendi
 
Back
Top Bottom