Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 17,014
- 26,175
Wanafunzi wa UDSM hasa Engineering na Law , Tangu wanapoingia mwaka wa kwanza mpaka wanamaliza , wanakuwa wamekula kama unavyoona.
JokesWanafunzi wa UDSM hasa Engineering na Law , Tangu wanapoingia mwaka wa kwanza mpaka wanamaliza , wanakuwa wamekula kama unavyoona.
View attachment 3660501
UDSM nilisoma miaka 4 baada ya kumaliza kuna vyakula sikuweza kula miaka mingi sanaWanafunzi wa UDSM hasa Engineering na Law , Tangu wanapoingia mwaka wa kwanza mpaka wanamaliza , wanakuwa wamekula kama unavyoona.
View attachment 3660501
Hupendi wali maharage aka wali kwa maini ya kiswahili?Huna bahati.Huwezi kupata urafiki wa kalamu(pen-pal)na mzee Hashim Rungwe.UDSM nilisoma miaka 4 baada ya kumaliza kuna vyakula sikuweza kula miaka mingi sana
1.chapati
2.mihogo
3.Wali maharage -mpaka leo sipendi
Kuna mambo yanafurahisha sana...
Uwakute sasa maofisini huko..!Hakika watakuwa wameota na majani ya kisamvu mashavuni.Wakionekana popote pale wapewe pongezi nyingi sana.
Kwakweli, mimi nilikula samaki kibua , mpaka leo nikiwaona nafumba macho.UDSM nilisoma miaka 4 baada ya kumaliza kuna vyakula sikuweza kula miaka mingi sana
1.chapati
2.mihogo
3.Wali maharage -mpaka leo sipendi
Kamam hujapata elimu dunia, wewe ni elimu akhera pekee huwezi jua hili.
trueJokes
tapeli yuleHupendi wali maharage aka wali kwa maini ya kiswahili?Huna bahati.Huwezi kupata urafiki wa kalamu(pen-pal)na mzee Hashim Rungwe.
alikua na mabinti wazur wazuri weupeeeNipo changanyikeni kwa màtemba
Hahahaha jirani yangu matembaalikua na mabinti wazur wazuri weupeee
kule kulikua kijijin sana enzi hizo naskia now kumekuchaaHahahaha jirani yangu matemba
Kumekucha msee, kuna apartment za kutosha, na makazi ya watu na ile hali ya hewa ya kule aseeh iko poa sanakule kulikua kijijin sana enzi hizo naskia now kumekuchaa
Nami nina appartments zangu hapo.Nipo changanyikeni kwa màtemba
Kuzuri sana, hasa pale kwa Upendo Florist.Kumekucha msee, kuna apartment za kutosha, na makazi ya watu na ile hali ya hewa ya kule aseeh iko poa sana