Wanafunzi wa kike wa UDSM.......

Wanafunzi wa kike wa UDSM.......

Wakuu,
Mimi niko chuoni UDSM nafanya Masters mwaka wa kwanza.
Muda mwingi huwa najipumzisha maeneo ya COET block P kwenye room yetu watu wa masters. Kwa kweli nimekua nikikelwa na hawa watoto wa kike kwa tabia zao chafu.

Unakuta mtu unajisomea litoto linatoka huko na kuanza kukuomba namba ya simu bila hata salamu. hujakaa sawa atakuomba hela ya lunch, jamani imekua kama ni tabia sasa. Manake tangu jumatatu nimefatwa na wasichana sita wote wakita namba yangu ya simu na kujitongozesha.

Ni tabia mbovu sana wakuu na inanikera. Usomi wa hawa watusiuoni kabisa. Ni wiki moja tu imepita wamewekewa boom ila cha kusikitisha wanaomba sana hela. Tena wanajirahisha sana kuhusu jambo la kugegedwa!
kamata fursa na
GEGEDAAA
 
Wakuu,
Mimi niko chuoni UDSM nafanya Masters mwaka wa kwanza.
Muda mwingi huwa najipumzisha maeneo ya COET block P kwenye room yetu watu wa masters. Kwa kweli nimekua nikikelwa na hawa watoto wa kike kwa tabia zao chafu.

Unakuta mtu unajisomea litoto linatoka huko na kuanza kukuomba namba ya simu bila hata salamu. hujakaa sawa atakuomba hela ya lunch, jamani imekua kama ni tabia sasa. Manake tangu jumatatu nimefatwa na wasichana sita wote wakita namba yangu ya simu na kujitongozesha.

Ni tabia mbovu sana wakuu na inanikera. Usomi wa hawa watusiuoni kabisa. Ni wiki moja tu imepita wamewekewa boom ila cha kusikitisha wanaomba sana hela. Tena wanajirahisha sana kuhusu jambo la kugegedwa!
baba zetu sio mafisadi
baba zetu ni bodaboda
 
Ndiyo maana yakimaliza yanaanza kukodoa macho eti nahitaji mwanaume material anioe,nani akuoe wewe kama ni soda hata gesi ilishaisha.Hayo mishipa ya aibu ilishakatika pole mkuu.
Africans mnaapenda kuhukumu sana , kwanza huoni huyu wa hivi ndo mzuri ana uzoefu wa kila rombo!! amepiga uhuni kamaliza, sasa ana tulia, hkn wa kumdanganya tena!
 
Kawaida ya wanachuo now days coz mi niliona cm ya fiance wangu eti anamwambia sa ukinichunia unategemea mi ntaishije niliishiwa tu pozi yaan inaonyesha kabisa wako kipesa zaidi sasa wanaume kazi kwenu.......
Uzuri wa wanachuo kama hao sio wanafiki...hapa papuchi for sale.
Sasa wewe ilikuwa wapekua cm ya fiance tena wakati kashakuvalisha pete?
 
Mkuu hapa kuna hostels za Coet block P? Navyofahamu Masters hapa wanakaa Mabibo Hostel pale bloku F, again nina smell uongo hapa asee eti with in tha period of time mabinti sita wakufuate wakuombe namba as simple as that? again huu mwandiko wako ni wa MASTERS kweli? natoka huku Soed nakuja hado Coe kuitafuta hiyo Hosteli na hao mabinti!!!!!!
 
Back
Top Bottom